Kardinali Pengo: Ni kweli Watanzania hatuwezi kuendesha bandari yetu?

Kardinali Pengo: Ni kweli Watanzania hatuwezi kuendesha bandari yetu?

Inakuwaje wanashindwa hata kukemea ishu za ubaguzi chadema wameziongea kupitia Mwenyekiti wa wao....siwaelewi kabisa
 
Wafanyakazi wa Bandarini wanatakiwa kushtakiwa kwa incompetence.
Na uhujumu uchumi.
Tumewakabidhi Bandari na wameshindwa kuiendesha hadi imeuzwa kwa Mwarabu

Tunaomba Majina ya Wafanyakazi wote wa Bandari
Na Wabunge walio enda Dubai ili tuhifadhia historia.
 
Kwani kuna lipi mmeweza?

Tazara imewashinda

ATC imewashinda.

Huduma za maji, umeme zimewashinda.
Nakubaliana na wewe kabisa mkuu hivyo vyote vimetushinda ila kuna baadhi tuliwapa watu ikiwemo viwanda na hiyo reli, je tumepata ufanisi wowote? Sasa tuniulize tatizo huwa ni sisi wa Tz hatuna uwezo au ni mfumo na sheria zetu? Mbona tumebinafisha vingi ila matokeo ni mabovu tu. Vipi kuhusu gas nayo.
 
Nakubaliana na wewe kabisa mkuu hivyo vyote vimetushinda ila kuna baadhi tuliwapa watu ikiwemo viwanda na hiyo reli, je tumepata ufanisi wowote? Sasa tuniulize tatizo huwa ni sisi wa Tz hatuna uwezo au ni mfumo na sheria zetu? Mbona tumebinafisha vingi ila matokeo ni mabovu tu. Vipi kuhusu gas nayo.
1. Viwanda tulibinafsisha tukaangukia pua
2. Shirika la reli tulibinafsisha tukaangukia
Tukaangukia pua
3. Shirika la ndege tulibinafsisha tena tukiwa
na ndege nane na muwekezaji akaziuza
Zote tukaangukia pua ofcourse na vingine vingi. Naomba Mama aiachr hii bandari inamharibia CV yake kwa kiwango cha hali ya juu mno.
 
Sio mwarabu tuu ni mtu yoyote mwenye uwezo na hata uzoefu kama tulivyobinafsisha fani ya uhasibu katika makampuni mengi binafsi na hata sekta ya bima.

Bams : kumbuka kuwa sio lazima serikali kusema imeshindwa la hasha ni kutaka kujikita katika kutekeleza majukumu ya jamii zaidi na sio biashara tena.

Ngoja nikupe mifano wa kampuni zilizokuwa zinafanya vibaya ila baada ya kuja wawekezaji sasa serikali inapata mapato makubwa:
1. TBL - South Africa
2. NMB - Uholanzi
3. NBC - South Africa
4. TCC - Japan
5. TOL - Anold Kilewo Rombo Tanzania
Na mengine mengi tuu!

Swali mbona kipindi hicho hakuna pimbi iliyolalamikia hizo nchi tajwa hapo juu! Au Chuki ni nini kumbafu zenu au ni uelewa wa mambo finyu mamayo zenu!!!

Hapo umemaliza mkuu [emoji2][emoji2]ila ndio kubadil mitizamo ya mtu mwenye chuki ni ngumu maana washapandikizwa chuki za dini na ukanda na yalivo punguani yamejaa hivo hivo
 
Ni hivi: Viongozi wa bandari huteuliwa na wanasiasa wa Tanzania. Hili limefanya siasa performance iwe chini muda wote kama walivyoshindwa kuendesha nchi. Tatizo ni kwamba japo wameshindwa lakini hawataki kukubali.

We nchi iliyoshindwa Endeshwa waijua...Congo nao wasemeje?
 
PHD zote hizi zimeshindwa kuendesha Bandari miaka 60 ya Uhuru kweli.?
Nimemkumbuka Mwenyekiti wangu Mchungaji Christopher Mtikila wa Chama chetu cha Democratic Party (DP)
Ni ugonjwa wa Epidomia
Tuna Unyani Bado.
Mzeee uko wapi tuendeleze kurudumu la Dp
 
"....huenda Serikali imeona kuna tija. Lakini najiuliza, hivi kweli sisi hatuwezi kuendesha bandari yetu wenyewe? Sielewi viongozi wetu ama wanajitafutia pesa na kuwaacha Watanzania wakididimia ama...yaani hata sielewi maana nashindwa kuelewa!

"....je, pesa ni muhimu kuliko kuwajengea uwezo Watanzania ili wao waweze kuiendesha bandari yao?! Kila mmoja wetu ajiulize hilo."

"....mwenyezi Mungu alimuumba mwanadamu ili aweze kutawala mali na hata pesa. Hilo ndilo jawabu langu la ki maadili."

"Huwezi kumtweza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya hela. Ni hilo tu naomba nijizuie kusema zaidi," Pengo.

Kanisa Katoliki TV.
Ni ngumu sana kuelewa Some of these comments while everything is controlled from Roma

Dunia imekua very small village and the more we want to diverge the more we fail
We are heading into the true singular and we can’t hide from
 
"....huenda Serikali imeona kuna tija. Lakini najiuliza, hivi kweli sisi hatuwezi kuendesha bandari yetu wenyewe? Sielewi viongozi wetu ama wanajitafutia pesa na kuwaacha Watanzania wakididimia ama...yaani hata sielewi maana nashindwa kuelewa!

"....je, pesa ni muhimu kuliko kuwajengea uwezo Watanzania ili wao waweze kuiendesha bandari yao?! Kila mmoja wetu ajiulize hilo."

"....mwenyezi Mungu alimuumba mwanadamu ili aweze kutawala mali na hata pesa. Hilo ndilo jawabu langu la ki maadili."

"Huwezi kumtweza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya hela. Ni hilo tu naomba nijizuie kusema zaidi," Pengo.

Kanisa Katoliki TV.
Huyu ndiye Pengo, strictly Askofu, jiwe la pembeni. Hapo hasemei ubaya wa mkataba, hapo anaongelea self reliance na maadili ya kuwatoa makuli wa Harbours kwa kutumia kompyuta. Hii itakuwa mara ya 2 anaokoa jahazi: kwenye waraka wa maaskofu kuamuru watu kuikataa katibapendekezwa, na sasa hii ya DPWorld. Kote kuwili saini yake haipo.
 
Bahati yake tuu Catholic is very strong la sivyo tungewapa hao Waajemi nayo waendeshe kanisa! Ametutokea wapi yeye adili na maadali ya mapadre wake kila siku wana kashfa za ngono ! Bandari inamhusu nini!
.....kashgar za nono? Kwa mfano Dr Slaa.....
 
It's proven beyond doubt hatuwezi. Tumeendesha zaidi ya miaka 50 bila tija yeyote, majirani wote wamehamia Mombasa na Beira. Bandari yenye potential ya kuchangia zaidi ya 70% ya bajeti ya nchi inachangia 30% tu, mnataka uthibitisho gani zaidi?
Nikuongezee machache tu ndugu. Mbali na bandari, Tazara tumeweza? Tanesco tumeweza? TTCL tumeweza? ATCL tumeweza? Viwanda tumeweza? NHC tumeweza? Posta tumeweza? Viwanda tumeweza? Elimu Ubora wa taasisi zetu tumeweza? Kwenye Afya tumeweza? Kilimo na ufugaji tumeweza, madini na maji tumeweza? Orodha ni ndefu ya tuliyoshindwa.

Ni dhahiri kwa Mia 60 sasa hatuwezi na tunaendelea kuchemka. Kwanza, Tusipo badili mfumo wa siasa zetu hatuendi popote na hatutaweza chochote, maana kikatiba tunafuata mfumo wa ujamaa ila kiuhalisia tunaishi kibepari.

Ujumaa aling'ang'ana nao Baba wa taifa miaka 24, Hayati Nyerere, akafilisi watu weee ukamshinda.

Akaja Mwinyi, Mkapa na Kikwete wakasimika ubepari miaka yao 30, Mwanga ukaanza kuonekana, Tanzania ikaanza kuondoka kwenye orodha ya mwisho ya nchi masikini.

Akaja Magufuli miaka 6 kaanza kuirudisha nchi kwenye ujamaa, kafilisi watu, kaua biashara, kaua watu, kavuruga kakanyaga haki za watu, kafa akiwa hoi na nchi hoi!

Ndio Samia anaanza tena kuirudisha nchi kwenye reli ila tulishachochora parefu, kurudi ilipokuwa kabla ya Magufuli tutahitaji miaka 15 na zaidi.

Pili, lazima tubadili muundo, mfumo wetu wa uongozi na namna tunavyopata viongozi, kwa mfano kupata kiongozi mzuri kwa sasa anayetokana na zao la viongozi waliopatikana kwenye uchaguzi wa 2020 ni bahati.

Tazama, Mwaka 2015 walipindisha weee wakamuondoa Lowasa hawakuridhika. Kwenye uchaguzi wa ndani, tatu bora akashinda mama mmoja kutoka Zanzibar Amina Salumu Ali, hawakuridhika wakapindisha tena wakamuweka Magufuli, Mungu akaingilia kati akamuweka mmama kutoka Zanzibar tena, Samia Suluhu Hassan kama makusudi na mapenzi yake. Tutafakari!
 
It's proven beyond doubt hatuwezi. Tumeendesha zaidi ya miaka 50 bila tija yeyote, majirani wote wamehamia Mombasa na Beira. Bandari yenye potential ya kuchangia zaidi ya 70% ya bajeti ya nchi inachangia 30% tu, mnataka uthibitisho gani zaidi?
Hatuwezi au wanaopaswa kusimamia, kwa maana Viongozi Serikalini (Wizara husika), ndio hawawezi!

Kwa hoja yako basi tuikabidhi Serikali kwa wanaoweza kuiendesha km Emirate ya Dubai ambayo inafanya makubwa duniani hadi utalii wakati tuna vivutio vingi, ukiacha utajiri wa madini, mito, maziwa, bahari na ardhi yenye rutuba!
 
Hatuwezi au wanaopaswa kusimamia, kwa maana Viongozi Serikalini (Wizara husika), ndio hawawezi!

Kwa hoja yako basi tuikabidhi Serikali kwa wanaoweza kuiendesha km Emirate ya Dubai ambayo inafanya makubwa duniani hadi utalii wakati tuna vivutio vingi, ukiacha utajiri wa madini, mito, maziwa, bahari na ardhi yenye rutuba!

Yes, tuwape wanaoweza milele.
 
Back
Top Bottom