Kardinali Pengo: Ni kweli Watanzania hatuwezi kuendesha bandari yetu?

Kardinali Pengo: Ni kweli Watanzania hatuwezi kuendesha bandari yetu?

Nje ya siasa mkataba huu ni wazi unaungwa mkono na watu wachache sana.
ni kweli. watu hawana shida na mkataba, wanahitaji tuingie makubaliano na waarabu, waarabu wana pesa ya kuwekeza na ndicho tunachohitaji. shita ni kwenye terms za mkataba, hazijakaa vizuri. wakiweka terms vizuri, huu uwekezaji ni wa muhimu sana.
 
It's proven beyond doubt hatuwezi. Tumeendesha zaidi ya miaka 50 bila tija yeyote, majirani wote wamehamia Mombasa na Beira. Bandari yenye potential ya kuchangia zaidi ya 70% ya bajeti ya nchi inachangia 30% tu, mnataka uthibitisho gani zaidi?
Wewe unafikiri sababu ni nini?

Je, suluhu yake ni kuzikabidhi bandari zetu ambazo ni lango kuu la usalama wa nchi yetu kwa mamlaka za nchi nyingine kwa njia na namna anayofanya Rais Samia Suluhu Hassan na kundi lake dogo huko CCM ambao wengi wakiwa ni Wazanzibar?

Wewe hii inakuingia akilini kweli?

Anyway, naweza kukusaidia kujibu swali la kwanza la "unadhani kwanini tumeshindwa kuendesha bandari kwa ufanisi Kwa miaka zaidi ya 50"

Sababu kubwa ni moja tu. Mfumo wetu wa kisiasa, kisheria + kikatiba/kisheria ambao huzaa mfumo wa kiutawala ni mbovu au dhaifu usioruhusu watu kutumia akili, maarifa na ubunifu wao kuendesha taasisi za umma kama bandari nk..

Mfumo wetu wa kiutawala ume - politicize kila kitu. Mfano katika ishu ya bandari, ambayo CEO wake huteuliwa na Rais Kwa mtazamo na utaratibu wa kisiasa, hata hivyo bado hana "power" ya kimaamuzi ya namna kusimamia, kuendesha na ku - manage bandari na badala yake power hiyo iko Kwa aliyemteua kupitia Kwa katibu au waziri wa WIZARA isimamiayo sekta hiyo....

Suluhu ni nini?

Sio kuwapa taasisi zetu wageni toka nchi. Sio kuwakodishia au kuwapa raia wa nchi za kigeni taasisi zetu muhimu kama bandari, Shirika la ndege la taifa, Reli na umeme kuzisumamia, kuzirndesha na kuzimeneji...

Tukifanya hivi, hiyo itakua ni kuuza National Sovereignty yetu mchana kweupe kama vile sisi sote ni majuha tusiojua kitu..!!

Suluhu ni hii👇👇👇👇

Kubadilisha mfumo wa kiutawala, kisheria/kikatiba ambao utazaa mfumo mpya na imara wa kiutawala wenye focus wa kujenga taasisi imara zenye full maamuzi. Hii itawezekana tu kama wote tutakaa chini na kukubaliana nchi yetu ijitawaleje na Kisha tuweke utaratibu huo mpya ktk document inayoitwa "KATIBA MPYA" na kuachana na hii ya zamani iliyotuletea matatizo haya..!!
 
"....huenda Serikali imeona kuna tija. Lakini najiuliza, hivi kweli sisi hatuwezi kuendesha bandari yetu wenyewe? Sielewi viongozi wetu ama wanajitafutia pesa na kuwaacha Watanzania wakididimia ama...yaani hata sielewi maana nashindwa kuelewa!

"....je, pesa ni muhimu kuliko kuwajengea uwezo Watanzania ili wao waweze kuiendesha bandari yao?! Kila mmoja wetu ajiulize hilo."

"....mwenyezi Mungu alimweka binadamu ili aweze kutawala mali na hata pesa. Hilo ndilo jawabu langu la ki maadili."

"Huwezi kumtweza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya hela. Ni hilo tu naomba nijizuie kusema zaidi," Pengo.

Kanisa Katoliki TV.
Huyu akae kimya upesi. Anahofia kukosa tax exemptions alizozoea kupata wakati anapitisha bandarini mamisaada yake kutoka ughaibuni.
Akirudia tutamuitia Gwajima amkague kama kwa sasa siyo mjinga mmoja, mpuuzi mmoja na asiyefaa mmoja.
 
Hivi inakuaje tunaweza kuendesha nchi halafu tunashindwa Bandari?
Ndugu yangu hii nchi inajiendea tu ndio maana hata hao unaosema wanaongoza nchi wanakushangaa maana wao wanajua kabisa kuwa hawaongozi ndio maana kuuza bandari hawaoni shida walishalewa wakapitiliza na ulevi wa mwanamke ni hatari zaidi.
 
Huyu akae kimya upesi. Anahofia kukosa tax exemptions alizozoea kupata wakati anapitisha bandarini mamisaada yake kutoka ughaibuni.
Akirudia tutamuitia Gwajima amkague kama kwa sasa siyo mjinga mmoja, mpuuzi mmoja na asiyefaa mmoja.
Unachokifanya ndivyo walivyofanya Waafrika wapumbavu kama ww wakati wa kupigania uhuru nyakati zile wakiwaona wakoloni ni bora kuliko Waafrika wenzao,nilidhani hawa watu walikufa zamani kumbe bado upo mzee.Yaani you don't see the importance of your personality as African you are very poor my friend.Huyo Baba yako Gwajima muulize vzr alienda kupiga magoti mbele ya Mwadhama na hawezi kurudia tena na wala usimkumbushe.
 
Unachokifanya ndivyo walivyofanya Waafrika wapumbavu kama ww wakati wa kupigania uhuru nyakati zile wakiwaona wakoloni ni bora kuliko Waafrika wenzao,nilidhani hawa watu walikufa zamani kumbe bado upo mzee.Yaani you don't see the importance of your personality as African you are very poor my friend.Huyo Baba yako Gwajima muulize vzr alienda kupiga magoti mbele ya Mwadhama na hawezi kurudia tena na wala usimkumbushe.
Roman Catholic ndiyo inaweka Marais duniani. Tuambie huyu mlimuweka?

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
"....huenda Serikali imeona kuna tija. Lakini najiuliza, hivi kweli sisi hatuwezi kuendesha bandari yetu wenyewe? Sielewi viongozi wetu ama wanajitafutia pesa na kuwaacha Watanzania wakididimia ama...yaani hata sielewi maana nashindwa kuelewa!

"....je, pesa ni muhimu kuliko kuwajengea uwezo Watanzania ili wao waweze kuiendesha bandari yao?! Kila mmoja wetu ajiulize hilo."

"....mwenyezi Mungu alimweka binadamu ili aweze kutawala mali na hata pesa. Hilo ndilo jawabu langu la ki maadili."

"Huwezi kumtweza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya hela. Ni hilo tu naomba nijizuie kusema zaidi," Pengo.

Kanisa Katoliki TV.
Enzi za msalaba walikuwa kimya ila sasa wanafungulia maspika yao.
 
Unachokifanya ndivyo walivyofanya Waafrika wapumbavu kama ww wakati wa kupigania uhuru nyakati zile wakiwaona wakoloni ni bora kuliko Waafrika wenzao,nilidhani hawa watu walikufa zamani kumbe bado upo mzee.Yaani you don't see the importance of your personality as African you are very poor my friend.Huyo Baba yako Gwajima muulize vzr alienda kupiga magoti mbele ya Mwadhama na hawezi kurudia tena na wala usimkumbushe.
Dondosha kavideo kanakoonesha Gwajima akimpigia goti kadinali mwanya.
 
It's proven beyond doubt hatuwezi. Tumeendesha zaidi ya miaka 50 bila tija yeyote, majirani wote wamehamia Mombasa na Beira. Bandari yenye potential ya kuchangia zaidi ya 70% ya bajeti ya nchi inachangia 30% tu, mnataka uthibitisho gani zaidi?

Mkuu Bufa, nami naomba nikuulize.

Swali langu litahusu hoja yako (maneno mekundu).

Ni kweli, hakuna ubishi hatuna uwezo kwa mtaji, utaalamu na wataalamu wa kuchimba madini au kuendeleza na kuendesha bandari, hadi unadai Tumeendesha zaidi ya miaka 50 bila tija yeyote, majirani wote wamehamia Mombasa na Beira. Hadi sasa uchimbaji mkubwa uko mikononi mwa wageni kwa mikataba ya aina hiyo ya bandari, Je, nchi imefaidika nini hadi sasa?
 
Ni kweli, hatu. Tumeweza kuendesha nini? Nchi?[emoji28]
Tukiishawapa wageni kila kitu kutokana na kwamba sisi tumeshindwa, tutabaki bila kitu tunachoendesha wenyewe. Hii maana yake ni kwamba serikali inakosa uhalali wa kuwepo. Sasa sijui ni ukoloni mpya ndiyo unajipa uhalali wa kuwepo!?

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Tukiishawapa wageni kila kitu kutokana na kwamba sisi tumeshindwa, tutabaki bila kitu tunachoendesha wenyewe. Hii maana yake ni kwamba serikali inakosa uhalali wa kuwepo. Sasa sijui ni ukoloni mpya ndiyo unajipa uhalali wa kuwepo!?

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Nakubaliana na wewe kwamba kama Viongozi wetu wanafanya maamuzi ya kubinafsisha au kuruhusu uwekezaji wa nje, kwa imani yao kuwa nchini watu wanawaongoza hawana uwezo, waanze kubinafsisha nafasi zao za uongozi. Wanawajibika kujenga uwezo wa wanaowaongoza na si vinginevyo.
 
anashangaa kuendesha bandari haoni Taifa linakopa huku Waziri anaendesha gari ya 200mil plus na wabunge wakilipana posho mlima.

Anashangaa la bandari huku Taifa linakopa na kusaidiwa halafu Cabinet nzima kuanzia Top, PM, VP, Top wa Zenji na full utiriri wanajazana airport kushangaa ndege.

Wakijazana Airport kushangaa ndege huku wakiipaki ndege full tank pale Algeria eti kuwapeleka Yanga, huku shirika la ndege linakula hasara pamoja na delays za kila mara hata kwa local routes.

Mzee Pengo atashangaa mengi sana, kama ana nia ya dhati asichoke kupaza sauti, ikiwezekana apambane usiku na mchana kumtetea masikini wa Tanzania.
 
Bandari sio watu tu, Kuna gharama za uwekezaji, technology nk ambapo bongo imethibitika pasi na shaka kwa miaka zaidi ya 50 hatuwezi. Apewe muwekezaji.
Basi, tukubali hayo unayosema wewe, "apewe mwekezaji".
Swala ninalotaka ulifikirie huyo mwekezaji apewe kwa mkataba gani? Hapa pia bado utang'ang'ania hatuna uwezo wa kuingia kwenye mkataba wowote wenye tija kwa nchi yetu?

Tukubali tu, masharti tutakayopewa na huyo mwekezaji?

Kama bado ulikuwa hujui, hilo swali la mwisho ndilo msingi wa kelele zote unazosikia wakati huu zikitoka kila sehemu ya nchi; siyo uwekezaji wenyewe kwenye bandari.
Mnapenda sana kupindisha kwa maksudi mambo haya, lakini tutawaeleza tu waziwazi mjue kwamba tunajua hila zenu.
 
"....huenda Serikali imeona kuna tija. Lakini najiuliza, hivi kweli sisi hatuwezi kuendesha bandari yetu wenyewe? Sielewi viongozi wetu ama wanajitafutia pesa na kuwaacha Watanzania wakididimia ama...yaani hata sielewi maana nashindwa kuelewa!

"....je, pesa ni muhimu kuliko kuwajengea uwezo Watanzania ili wao waweze kuiendesha bandari yao?! Kila mmoja wetu ajiulize hilo."

"....mwenyezi Mungu alimweka binadamu ili aweze kutawala mali na hata pesa. Hilo ndilo jawabu langu la ki maadili."

"Huwezi kumtweza mwanadamu mwenzako kwa sababu ya hela. Ni hilo tu naomba nijizuie kusema zaidi," Pengo.

Kanisa Katoliki TV.
Wakati Magufuli anatutupa Coco Beach mbona hatukumsikia? Huyu si ndio alikuwa anamuandaa Makonda awe Rais leo anabwata nini?
 
Tatizo maaskofu wangu ni wanafiki na udini sana,akiwa Rais muislam wanakuwa na chokochoko kila siku, akiwa mkristo hata afanye uovu mkubwa hawasemi zaidi sana watampa na kisonzo akusanye sadaka na kwenda ikulu kumfukiza kwa ubani.
Sio
Tatizo presidents muslims mnauza sana mali asili za nchi kwa Waarabu.

Nyerere aliuza nini
Mkapa aliuza nini
Magufuli aliuza nini

Sasa turudi kwa muslims
Anza na Mwinyi Loliondo
Jakaya..........jaza
Ma mdenyi. DPW......jaza. bila kusahau Ngorongoro.

Muslims mnaiuza sana Tanganyika.
Mna ajenda gani?

Tena mnawauzia Waarabu tu basi.
 
Back
Top Bottom