Karia ni mbaguzi wa wadau wa mpira

Karia ni mbaguzi wa wadau wa mpira

huna cha kusema kinachoeleweka, uko upande wao, lakini kaka hakuna kiongozi wa mpira atadumu milele kuliko mpira wenyewe. Siku zote na mara zote Mungu huwa anasimama upande wa anaeonewa kidhamira.
Yanga hawajaonewa? Wamefanyiwa nini zaidi ya kuingilia ishu ya Manara ? Ile ni makosa ya Manara na siyo ya timu
 
We ni manara wewe!
Hee!!! Manara mwenyewe aliwahi kuwatukana wanayanga wote kasoro watu 2 tu. Lakini hakuna aliyekwenda mahakamani kumshtaki wala kulalamika kwakuwa aliongea vile akiwa Simba, hivyo ile dhana ya utani wa jadi ilitumika kumalizana nae. Mtani anaweza kukalia jeneza alimowekwa baba yako na kumtukana na usimfanye kitu. Manara ni mtu wa mpira, kazaliwa kwenye familia ya mpira, kakulia kwenye vijiwe vya mpira na ameucheza mpira nani atamshangaa?
 
Yanga hawajaonewa? Wamefanyiwa nini zaidi ya kuingilia ishu ya Manara ? Ile ni makosa ya Manara na siyo ya timu
Kaka alichokifanya Inonga kwa Sure boy ulikiona? adhabu iliyotolewa kwa Inonga umeiona? je, yule refa kafanywa nini na bodi ya ligi? Unaijua sababu kwanini hakupewa red card? Jibu ni ili Inonga asizikose mechi za ligi na simba isicheze pungufu, hakuna sababu ingine nje ya hapo.
 
Kaka alichokifanya Inonga kwa Sure boy ulikiona? adhabu iliyotolewa kwa Inonga umeiona? je, yule refa kafanywa nini na bodi ya ligi? Unaijua sababu kwanini hakupewa red card? Jibu ni ili Inonga asizikose mechi za ligi na simba isicheze pungufu, hakuna sababu ingine nje ya hapo.
kwani we hujui bodi ya ligi huwa wanachelewa kutoa adabu? Utashangaa hata miezi miwili inapiga ila adhabu ipo pale pale,kwahiyo we tatizo lako hapa ni TFF au bodi ya ligi?
 
kwani we hujui bodi ya ligi huwa wanachelewa kutoa adabu? Utashangaa hata miezi miwili inapiga ila adhabu ipo pale pale,kwahiyo we tatizo lako hapa ni TFF au bodi ya ligi?
Kwani TFF na bodi ya ligi ni vitu tofauti sana?
 
Kwani TFF na bodi ya ligi ni vitu tofauti sana?
mkuu mbona umesahau kipindi cha Malinzi? Kama ulienjoy kipindi cha Malinzi basi usilalamike pia hichi kipindi maana hiyo taasisi kuongozwa na mtu mwenye itikatidi ya hizo timu mbili ni lazima,TFF Ina madudu mengi na siyo enzi ya Karia tu
 
Karia aendelee kwanyoosha.
Ona hii chupli, anatafuta mchawi wakati mchawi ni yeye mwenyewe kuruhusu wacheaji 12 wa kigeni, anadhani poulsen angetoa wapi wachezaji wa timu ya taifa? maKocha bora kabisa Nabi na Zoran lakini wanafundisha na kuchezesha wageni tu

 
Nasikia Simba imeachana na Zolan Maki. Mchuma janga anakula na wakwao.
 
Back
Top Bottom