Kariakoo Derby: Simba SC 2 - 2 Yanga SC | Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara - Uwanja wa Taifa Dar

Liwe funzo kwa simba kupenda kwenda na matokeo mfukoni.
Are you sure ilienda na matokeo au kilichotokea ni sehemu ya mchezo?
.
Tofautisha maneno yetu sisi mashabikk na wachezaji sijasikia mahali wachezaji wakisema wameshashinda zaidi ya kwenda kuipambania club
 
Mimi simba lakini leo nimejikuta nikishangilia magoli matatu kwani tumeshinda ngapi ? mbona kama sielewi hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…