technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Liwe funzo kwa simba kupenda kwenda na matokeo mfukoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeona mkuu kutangulia si kufikaMikia why kimya ? ???
Kea hiyo unafurahia draw Pancho Latino au sio?Khaligraph Jordan uko wapi dingii hahahahaha
Manula ni mda sahihi Wa kumpisha beno kakolanya.Absolutely, Manula hatufai magoli anayofungwa huwa ni yaleyale hajawahi kusahihisha makosa.
.
Fck him
njooni huku mikia mtuambie tumebebwa leo?Liwe funzo kwa simba kupenda kwenda na matokeo mfukoni.
Ww ndo unajua soccer sasa.Japo Mimi simba ila goli la Balama nimeshangilia kwa hisia zote sijui simba wenzangu watanichukuliaje
Are you sure ilienda na matokeo au kilichotokea ni sehemu ya mchezo?Liwe funzo kwa simba kupenda kwenda na matokeo mfukoni.
mkuu mnashangiria droo duu
Simba ni wepesi sana mbila mbelekoNyie hamwezi kushinda kwa Simba. Labda mshinde njaa
We're together ntapigana sana leoMatokeo ya.ki.senge sana haya...yameniuma sana..
Endeleeni kutembeza angalau mkaribie level za Simba banaHee unaishi dunia ya wapi mkuu?tena nyie mlitusaidia kutembeza au umesahau
Ubhebhe acha hizo unaijua historia ya huyu referee? Na unadhani kwanini Yanga ilishukuru kumuona yeye?
Naanzaje kusahau mimi jamani
Endeleeni kutembeza angalau mkaribie level za Simba bana
Dah very sad chura kangangania nguvu iwe sawa!Chura hatumpigi teke kama mwaka jana, leo tunamdondoshea tofali