Ninja assasin
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 2,512
- 5,848
mkuu mmetibua party kinyama all in all mmefanya come back ya kibabe hongeren kwa HiloMkuu umesahau ile droo ya goli 3 kwa 3? Hamkushangilia siku ile? Ukizingatia mbeleko ya refa leo, acha tu wananchi wafurahi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikukosa mdogo wangu..!!Manula doh [emoji848]
Hapana mi nachoshanga mi nimemlaumu refa ile offside siyo nawe pia umemlaumu refa. Ila unanilaumu mimi kuhusu offside ndipo hpo sikuelewi?Mbona umekasirika,nimeongea nilichokiona na ninachokijua.
🤣🤣🤣
Mbona mnamlaumu Refa mngetupia magoli tujueWiki moja kabla ya mchezo wa leo Yanga waliitwa underdogs kuwa hawana chochote wala lolote.
Licha ya uwekezaji mkubwa uliofanywa na Simba leo wamepata aibu/ majibu yao kuwa Yanga ni muziki mwingine na sio timu ya kubezwa.
Aliyewaangusha katika mchezo wa leo ni kipa Manula. Mpira unapigwa mita 30 kutoka golini lakini anashindwa kuuzuia.
Tafuteni kipa mrefu huyo mliye naye anawaangusha. Mtambue leo kuwa Yanga ni muziki mwingine sio kama mnavyofikiria.
Hongera sana kocha Charles Boniface Mkwasa Master.
Halafu makocha wanamuamini utafikiri wamepigwa upofu.pazia mkuu lile
Tunashangilia tumecheza mpira kaka! Nyie mmecheza penalt bana!Hahaha hayo maneno tu ....ila hongereni mana mnavyoshangilia kama mmeondoka na point 3 eti
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah
Kuna mwaka Yanga aliongoza 3-0 mpaka half time. Second half Simba alisawazisha yote 3. Yaani ilikuwa sherehe kubwa siku hiyo watu walikesha wakiimba.Hongereni kwa kuambulia walau sare.
Yanga huna hela ya kulipa mishahara mpaka mzulule na bakuliSajili za hawa watu wa kujimwambafai Ni za kuzuia wachezaji wasicheze YANGA na si zaidi ya hilo
Ni uwezo wa timu brother yaan tulikuwa tunamuonesha manara yanga akicheza mpira a.k.a akifungua hatoongea Sasa tunamtaka aje aseme yanga kapaki Basi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dah very sad chura kangangania nguvu iwe sawa!
Sajili za hawa watu wa kujimwambafai Ni za kuzuia wachezaji wasicheze YANGA na si zaidi ya hilo
Nimegundua una uelewa mdogo sana, sasa hapo umejuaje kama hazungumzii mashabiki?Are you sure ilienda na matokeo au kilichotokea ni sehemu ya mchezo?
.
Tofautisha maneno yetu sisi mashabikk na wachezaji sijasikia mahali wachezaji wakisema wameshashinda zaidi ya kwenda kuipambania club
Hahahah
Wafinye ukuta