Kariakoo Derby: Simba SC 2 - 2 Yanga SC | Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara - Uwanja wa Taifa Dar

Kariakoo Derby: Simba SC 2 - 2 Yanga SC | Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara - Uwanja wa Taifa Dar

Mbona umekasirika,nimeongea nilichokiona na ninachokijua.
🤣🤣🤣
Hapana mi nachoshanga mi nimemlaumu refa ile offside siyo nawe pia umemlaumu refa. Ila unanilaumu mimi kuhusu offside ndipo hpo sikuelewi?
 
Wiki moja kabla ya mchezo wa leo Yanga waliitwa underdogs kuwa hawana chochote wala lolote.

Licha ya uwekezaji mkubwa uliofanywa na Simba leo wamepata aibu/ majibu yao kuwa Yanga ni muziki mwingine na sio timu ya kubezwa.

Aliyewaangusha katika mchezo wa leo ni kipa Manula. Mpira unapigwa mita 30 kutoka golini lakini anashindwa kuuzuia.

Tafuteni kipa mrefu huyo mliye naye anawaangusha. Mtambue leo kuwa Yanga ni muziki mwingine sio kama mnavyofikiria.

Hongera sana kocha Charles Boniface Mkwasa Master.
Mbona mnamlaumu Refa mngetupia magoli tujue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sajili za hawa watu wa kujimwambafai Ni za kuzuia wachezaji wasicheze YANGA na si zaidi ya hilo

Pamoja na hayo ipo shida sana upande wa Golikipa Manula; honestly sijawahi kumpa umuhim wala kumkubali juu ya uchezaji wake


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Are you sure ilienda na matokeo au kilichotokea ni sehemu ya mchezo?
.
Tofautisha maneno yetu sisi mashabikk na wachezaji sijasikia mahali wachezaji wakisema wameshashinda zaidi ya kwenda kuipambania club
Nimegundua una uelewa mdogo sana, sasa hapo umejuaje kama hazungumzii mashabiki?
 
Back
Top Bottom