Kariakoo Derby: Simba SC 2 - 2 Yanga SC | Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara - Uwanja wa Taifa Dar

Hatuzungumzii Uyanga wala Usimba;


Sent from my iPhone using JamiiForums
mkuu huyo mpumbavu na kiongozi wa mambumbu wa simba, pamoja na mama yao jonesia kuwapa penati ila bado ameumia. john heche mtu anayejitambua kasema ukweli
 
Bila ushabiki kwa VAR au marefa wenye viwango goli la pili la yanga ni offside
Nashangaa ni wewe tu ndio umesema, ukweli penati haikuwa halali maana faulo ilifanyika nje ya box na pia goli LA yanga la pili ni clear offside
 
Adeyun akimtafuta sana masanula

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Nchimbi alifunga ?
 
eti uwekezaji wa bil20 kumbe kazi yao kubwa ni kununua mechi, bila kumhonga refa au kununua mechi hakuna ushindi, pumbafu zao........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…