Kariakoo haina umuhimu kwa uchumi wa nchi kama tunavyo aminishana Bongo lala

Kariakoo haina umuhimu kwa uchumi wa nchi kama tunavyo aminishana Bongo lala

Kariakoo haihamisishi ukuaji wa viwanda vya ndani, Kariakoo ni Dumping site ambako asilimia 100 ya products zinazo uzwa pale ni Made in nje.

Ni wajinga pekee ndio wanaoweza kuamini kwamba soko lenye asilimia 100 ya bidhaa za nje ya nchi lina umuhimu sana kwa uchumi wa nchi kuliko, Kilimo, kuliko Madini, kuliko Uvuvi na kulilo utalii.

Kariakiakoo ni makao makuu ya kituo uapnde wa Tanzania cha kupromote products za nje hasa kupromote viwanda vya China na kupelekea China kutoa ajira zaidi kwa wachina.

Huwa nashangaa sana tunapo aminishwa kwamba kariakoo ndio roho ya uchumi wa nchi, yaani sehemu inayo promote viwanda vya China inaweza vipi kuwa roho ya uchumi wa nchi?

Kariakoo ni Dumping site ya products low qualities kutoka nje ya nchi.

Kama angalau asilimia 40 ya bidhaa za kariakoo ni made in Tanzania hapo kungekuwa na logic ila asilimia 100 then wajinga sisi tunaaminishwa kwamba pale ndio uchumi wa nchi ulipo?

Vipi huko wanako enda kuchukua bishaa?

Kariakoo ni kituo moja wapo cha kuua viwanda vya ndani.

Nchi inamalizwa na siasa za kijinga sana.
Naunga Mkono hoja, wangegoma mabibo, Ilala Boma, Manzese, Temeke stereo, Tandale, Rangi 3, Mahakama ya ndizi angalau na sisi wa mabonde kuinana tungepata stress maana masoko hayo ndiyo yameshikilia ustawi wa matumbo yetu.
Unaweza ukamaliza Mwaka mzima bila kuhitaji bidhaa kutoka kariakoo na maisha yakaenda vizuri kabisa.
Naishauri Serikali ikaze hapo hapo ili kukuza makusanyo ya ndani kwaajili ya kujenga Taifa.
 
Kwa nini Kariakoo haukutani na bidhaa yoyote iliyotengenezwa Tz?
Sasa kama badget yakilimo ni bl 10 na kati ya hizo bl 9 nikwajili ya mishahara na bl 1 ndo inaenda kwa wakulima unategemea matokeo Gani?? Watu wakiiponda serikali sio kwamba niwajinga wanaona wanaishi na wanaakili,,,,mkuu tumekwamishwa na uchawa usio na mipaka
 
Back
Top Bottom