Kariakoo hakuna machimbo tena, kwa atakayepuuza sitaongea tena

Kariakoo hakuna machimbo tena, kwa atakayepuuza sitaongea tena

Kariakoo inategemea zaidi wateja wa nje ya nchi sio ndani.FACT.

Ndio maana nina wasiwasi likifungukiwa lile soko la Ubungo ambalo ni wholesale wateja wa nje ya nchi watahamia pale maanake inasemekana kutakuwa na bei ya China, Kariakoo itaathirika.
Wala hilo halisumbui kama una mtaji coz style hiyo wanayopata mizigo wachina na wewe unaipata ni watu wabadili namna ya kufanya kazi tu mzee. Kenya hapo hiyo kitu ipo miaka. Na Ethiopia ndio usiseme. Unatakiwa udance accordingly
 
Hiyo stail iko maeneo Mengi sana ya Dar hata masokoni.Ila Dawa yao huwa ni ndogo sana.Kwa sisi wana wa kristo tunavitibuaga hivyo viminyio kwa damu ya Yesu,utakuta hataki hata kuongea na wewe tena anakuwa mkali🤣
Ushawqh kukutana nayo hii mkuu? Kuna wamakonde pale wanga kwelikweli. Sidhan kama kun sehem kuna ulozi kias kikubwa Kama sokoni Tanzania hii
 
Nilienda kununua generator mwenye duka akaniambia niende kwa winga nikazungumze nae,winga akaniambia bei ni mil 3.5 Mimi nikamwambia Nina mil 2.2 tu sishushi siongezi!
Winga akakomaa akasema nitoe mil 3.3 nikaamua kuondoka.
Ile naondoka tu mwenye duka akanikimbilia akaniambia toa hiyo hiyo mil 2.2
Mwenye duka anakuelekeza kwa winga!
 
mkuu unanishauri niende Mbagala nimetembea maduka mengi sana hakuna tv ya nchi 65+ na hizo zilizopo unakuta kampuni zisizoeleweka sijui Aborder, Boss, Alitop ukikuta Samsung, LG, TCL au Hisense ni nchi 32 kiufupi kwenye home appliance usijisumbie kwenda huko unawezakuta blender ni heavy duty 50,000
 
Mimi napiga vita uwinga kabisa kwa sababu ni utapeli mtupu, uwinga hauna tija yoyote kwa wafanyabiashara au wateja.
mawinga ni inzi katika biashara tupinge uwepo wa inzi katika biashara😁😁😁😁. Inzi wanaleta kipindupindu Na wachina wakija hapo ubungo ni bora kuwaunga wachina sio hawa NGOZI NYEUSI NYWELE NGUMU.Mijitu mweusi haitakuja kustaarabika kamwe na ndo jamii ya binadamu ambayo itaendelea kutawaliwa milele.
 
Endelea kulia_lia.
Lazima tuwapige vita tunahitaji jamii ya watu waliostaarabika. Mtu unatoka nyumbani unamipango yako ya manununzi. Unaenda kwenye daladala kuna mvivu mmoja hataki kufanya kazi anajiita mpiga debe(WINGA/MZURURAJI)anakuaribia siku. Unafika mjini unakuta majitu mavivu(MAWINGA/WAZURURAJI )mengine kama 10 hv yamejaa madukani wanamaliza hewa na kufanya feni na AC zisifanye kazi vizuri, nao wanakuharibia siku. Unasema ngoja uwende mkoa unakuta wapigadebe(MAWINGA/WAZURURAJI) pale Mbezi nao wanakuharibia utulivu wa akili. Nchi imejaa madalali kila mahali🤔

#wazururaji wote mrudi vijijini mkalime au mtafute passport mkabebe mabox sio lazima tubababe hapa Bongo kuna fursa nyingi za kupata fedha kihalali huko duniani🤝
 
Screenshot_20241003_110121_WhatsApp.jpg
 
Back
Top Bottom