Kariakoo hakuna machimbo tena, kwa atakayepuuza sitaongea tena

Kariakoo hakuna machimbo tena, kwa atakayepuuza sitaongea tena

KARIAKOO NI GIANT WA KITOVU CHA BIASHARA ZOTE EAST AFRICA.
Usibeze uwinga,huenda ndo inaleta utulivu wa vijana ktk kuepuka vishawishi vya magenge ya uhalifu.
Watu wengi waliosoma na kuajiriwa wanaleta dharau sana Kwa ambao hawajaajiriwa.
Kkoo Kuna kila level ya elimi,Tena kwa Sasa degree na master zimejaaa sanaaaa,watu wanatafuta walau mkate wao mdogo na kujipoza na mawazo ya msoto wa madesa na kukosa ajira.

Wacha watu wapige uwinga
 
Umasikin ni mbaya sana aisee. Nyie ndio mkiona mtu kanunua range rover mnamlaumu kwa kununua gari inayotumia mafuta. Mzee ukiona unanunua kitu kwa kubagain ujue hali yako ni mbaya pambana mkuu.
Nyie malimbukeni mkishapataga hela nyingi kwa pupa huwa mna maneno ya dharau sana na ya kifedhuri.

Aina ya watu kama wewe hata ukiuziwa ndizi mbivu Moja kwa 800/= huko mitaani ilihali unatambua bei halisi ya ndizi ni 250/= utanunua tu bila kuhoji, kwa sababu kwako wewe kununua kitu kikiwa overpriced ni jambo la kifahari kisa tu una vihela vinakuwasha.... Ila kihalisia watu kama wewe huwa ni wajinga kwa wenye akili timamu na wanaotambua thamani ya pesa.
 
Ilala unakuta suruali kali sana inawaka kweli kumbe wahuni wameipaka mafuta ya cherehani, ukiipiga maji tu utajua mjini sio kuzuri.
Wabongo wengi kwenye biashara uwa tunaangalia tunachopata wakati huo tu hata kama uko mbeleni kutakua na risk,hatujui biashara aisee,leo uniuzie famba unadhani kesho nitakuja!
 
KARIAKOO NI GIANT WA KITOVU CHA BIASHARA ZOTE EAST AFRICA.
Usibeze uwinga,huenda ndo inaleta utulivu wa vijana ktk kuepuka vishawishi vya magenge ya uhalifu.
Watu wengi waliosoma na kuajiriwa wanaleta dharau sana Kwa ambao hawajaajiriwa.
Kkoo Kuna kila level ya elimi,Tena kwa Sasa degree na master zimejaaa sanaaaa,watu wanatafuta walau mkate wao mdogo na kujipoza na mawazo ya msoto wa madesa na kukosa ajira.

Wacha watu wapige uwinga
Uwinga sio mbaya kihivyo, hakuna anayepiga vita uwinga hapa maana ni maisha ambayo mfanya biashara yeyote yule ambaye Bado hajasimama ni lazima ayapitie....

Kinachopigiwa kelele ni hii kasumba ya nyie mawinga kumpandilia mteja kwa bei ya kumuumiza sana, yaani unakuta bidhaa bei yake halisi ni 40,000/= ila nyie mawinga mnamwambia 85,000/= halafu mwisho wa siku mnamuuzia kwa 70,000/= .. hivi unafikiri huyu mtu akija kujua baadae kwamba bei halisi ya hiyo bidhaa aliyoinunua ni 40,000/= atajiskia vipi??? Obvious lazima ataumia sana na hawezi kabisa kurudi Tena hapo, na takuwa ni ambassador nzuri wa kuwahasa watu wasilisogelee duka lako.

Halafu nyie mawinga hasa wa dar es salaam huwa mna kawaida ya kumbugudhi mteja mpaka mteja anakuwa uncomfortable, unakuta mteja mmoja mnafuata mawinga wanne halafu Kila mmoja anaongea yaani mteja anahisi kuibiwa ibiwa tu... Hiyo tabia huwa inaudhi sana na ndio inafanya tuwaone mawinga mnaharibu biashara za watu.
 
Boss hii kitu hamna,kkoo ndio watu wengi wanshusha mzigo kutoka nchi za nje na. Wanauza kwa jumla,. Tshirt ya 13-14,000 sinza mwenge ni 18-20, usiwadanganye watu, hamna mtu anashusha mfano tshirt sinza akauza 13-15 hakuna zaidi ya kkoo. Machimbo yapo kkoo, huko kwingine ni bei za reja reja. Anayeshusha fridge, mapoti hadi vijiko.
Usije kudanganya kabisa watu kuhusu kkoo. Haswa nyie watu mnaojifanya mnaijua kkoo.
Yaani wewe unaijua kkoo, unaanza kusema mtu akanunue TV mbagala, atoke mbagala fridge akanunue tegeta are you serious.
Wanakuja watu akili kubwa kuliko yako, wafanyabiashara wakubwa, congo zambia, burundi na Rwanda kuchukua mzigo kkoo. Who are you useme kkoo hamna chimbo, na unawaambia watu, sahani nunua kimara, kijiki kanunue temeke are you serious?
 
Upo sahihi. Karume mawinga wengi sana
Uko Karume hata ukienda kununua soksi tu unafuatwa na mawinga kama wanne na bila Aibu wanakutamkia bei za ajabu ajabu tu.. na Tena kama wakikuona una rafudhi ya mikoani, yaani haungei Ile rafudhi yao ya dar dar, wanakutamkia bei ya ovyo sana, wanajua hii ng'ombe acha tupige hela.
 
Uwinga sio mbaya kihivyo, hakuna anayepiga vita uwinga hapa maana ni maisha ambayo mfanya biashara yeyote yule ambaye Bado hajasimama ni lazima ayapitie....

Kinachopigiwa kelele ni hii kasumba ya nyie mawinga kumpandilia mteja kwa bei ya kumuumiza sana, yaani unakuta bidhaa bei yake halisi ni 40,000/= ila nyie mawinga mnamwambia 85,000/= halafu mwisho wa siku mnamuuzia kwa 70,000/= .. hivi unafikiri huyu mtu akija kujua baadae kwamba bei halisi ya hiyo bidhaa aliyoinunua ni 40,000/= atajiskia vipi??? Obvious lazima ataumia sana na hawezi kabisa kurudi Tena hapo, na takuwa ni ambassador nzuri wa kuwahasa watu wasilisogelee duka lako.

Halafu nyie mawinga hasa wa dar es salaam huwa mna kawaida ya kumbugudhi mteja mpaka mteja anakuwa uncomfortable, unakuta mteja mmoja mnafuata mawinga wanne halafu Kila mmoja anaongea yaani mteja anahisi kuibiwa ibiwa tu... Hiyo tabia huwa inaudhi sana na ndio inafanya tuwaone mawinga mnaharibu biashara za watu.
Hakuna winga ana akili timamu
 
Boss hii kitu hamna,kkoo ndio watu wengi wanshusha mzigo kutoka nchi za nje na. Wanauza kwa jumla,. Tshirt ya 13-14,000 sinza mwenge ni 18-20, usiwadanganye watu, hamna mtu anashusha mfano tshirt sinza akauza 13-15 hakuna zaidi ya kkoo. Machimbo yapo kkoo, huko kwingine ni bei za reja reja. Anayeshusha fridge, mapoti hadi vijiko.
Usije kudanganya kabisa watu kuhusu kkoo. Haswa nyie watu mnaojifanya mnaijua kkoo.
Yaani wewe unaijua kkoo, unaanza kusema mtu akanunue TV mbagala, atoke mbagala fridge akanunue tegeta are you serious.
Wanakuja watu akili kubwa kuliko yako, wafanyabiashara wakubwa, congo zambia, burundi na Rwanda kuchukua mzigo kkoo. Who are you useme kkoo hamna chimbo, na unawaambia watu, sahani nunua kimara, kijiki kanunue temeke are you serious?
Wewe huijui Kariakoo ya Sasa
Yenye vibaka na mawinga
Kuna member alisema alinunua mzigo wa jeans huko sijui Mafinga bei nzuri kuliko Kariakoo
We endelea kukariri,
 
Mkishamaliza kuwa discuss hao mawinga wa kariakoo, njooni tuwashangae mawinga wa keko fenicha.
Back in time keko fenicha kama jina lake ilikua ni sehemu mashuhuri ya kuuza fenicha bora kuwahi kutokea hapa nchini.
Waliweza teka masoko mpaka ya Comoros. Yes wacomoro walimiminika sana mitaa ya keko.
Sasa buanaa. Baada ya mawinga kushika hatamu. Sasa hivi madalali ni wengi kuliko bidhaa zinazouzwa.
Guess what?
Limebaki jina tu keko fenicha ila wateja wakutafuta kwa toch.
 
Nilienda kununua generator mwenye duka akaniambia niende kwa winga nikazungumze nae,winga akaniambia bei ni mil 3.5 Mimi nikamwambia Nina mil 2.2 tu sishushi siongezi!
Winga akakomaa akasema nitoe mil 3.3 nikaamua kuondoka.
Ile naondoka tu mwenye duka akanikimbilia akaniambia toa hiyo hiyo mil 2.2
:ALERTA: Hili ni tatizo kubwa sana.
:Alarm:Mimi binafsi nisha acha kununua bidhaa karikoo, Huwa naagiza moja kwa moja China ua UK au USA | Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa |
 
Nyie malimbukeni mkishapataga hela nyingi kwa pupa huwa mna maneno ya dharau sana na ya kifedhuri.

Aina ya watu kama wewe hata ukiuziwa ndizi mbivu Moja kwa 800/= huko mitaani ilihali unatambua bei halisi ya ndizi ni 250/= utanunua tu bila kuhoji, kwa sababu kwako wewe kununua kitu kikiwa overpriced ni jambo la kifahari kisa tu una vihela vinakuwasha.... Ila kihalisia watu kama wewe huwa ni wajinga kwa wenye akili timamu na wanaotambua thamani ya pesa.
Kwa kukusaidia ni kuwa ukiwa na hela akapita muuza ndizi na ukanunua bila kibargain haimaanishi una hela ni kuwa unataka nae apate chochote kitu kuisaidia familia yake. Na wewe unabarikiwa. Maisha unabana ukiwa hapo chini unavyotafuta mtaji ila ukishaanza uwekezaji wajali wengine nakuhakikishia hela zitakuwa zinakufuata. Maisha yangu nimefanyiwa hivyo nilivyokuwa naanza life na mimi nafanya hivyo na kiukweli naziona baraka. Kwa umri wangu wa miaka 45 ninaweza kufunga box nk lakin huwa hizo kazi unampa mtu nae apate riziki ndio maisha yalivyo we baki na mawazo yako uniite mjinga kwangu sio kitu maana kila mtu ana namna amechagua namna ya kuishi humu dunian
 
Na wanatumia miti shamba, wanaongea na mteja huku mkono mmoja uko mfukoni. Huko mfukoni wanaminya kihirizi flani hiv kinaitwa Kiminyio! Mteja hakatai bei
Hiyo stail iko maeneo Mengi sana ya Dar hata masokoni.Ila Dawa yao huwa ni ndogo sana.Kwa sisi wana wa kristo tunavitibuaga hivyo viminyio kwa damu ya Yesu,utakuta hataki hata kuongea na wewe tena anakuwa mkali🤣
 
KARIAKOO NI GIANT WA KITOVU CHA BIASHARA ZOTE EAST AFRICA.
Usibeze uwinga,huenda ndo inaleta utulivu wa vijana ktk kuepuka vishawishi vya magenge ya uhalifu.
Watu wengi waliosoma na kuajiriwa wanaleta dharau sana Kwa ambao hawajaajiriwa.
Kkoo Kuna kila level ya elimi,Tena kwa Sasa degree na master zimejaaa sanaaaa,watu wanatafuta walau mkate wao mdogo na kujipoza na mawazo ya msoto wa madesa na kukosa ajira.

Wacha watu wapige uwinga
Umesema vyema kabisa. Nawafahamu wengi tu wa watu hao.
 
Mi niko kkoo huu ni mwaka 25 mkuu na kwasasa soko linaendeshwa na mawinga. Usipokubali mabadiliko ni kwamba umejiandalia kifo. Na kwa taarifa yako kkoo inategemea zaid wateja wa nje ya nchi sio ndani. So wewe endelea kuishi kwa kukariri maisha wakat wenzio wanavuka ukija kustuka uanze kuilaumu serikali. Maisha lazima ule na watu babu kama unataka kwenda mbali. Kama unataka kwenda karibu kula mwenyewe. Mi nawatumia winga tangu naanza biashara kkoo na wao wanakula na mimi natembea. Winga wananipa idea mipango na sote tunapata maisha yanaenda. We jifanye boss ubaki kuitwa mwenye duka milele. Ctaki huo upuuzi
Kariakoo inategemea zaidi wateja wa nje ya nchi sio ndani.FACT.

Ndio maana nina wasiwasi likifungukiwa lile soko la Ubungo ambalo ni wholesale wateja wa nje ya nchi watahamia pale maanake inasemekana kutakuwa na bei ya China, Kariakoo itaathirika.
 
Back
Top Bottom