Wala hilo halisumbui kama una mtaji coz style hiyo wanayopata mizigo wachina na wewe unaipata ni watu wabadili namna ya kufanya kazi tu mzee. Kenya hapo hiyo kitu ipo miaka. Na Ethiopia ndio usiseme. Unatakiwa udance accordinglyKariakoo inategemea zaidi wateja wa nje ya nchi sio ndani.FACT.
Ndio maana nina wasiwasi likifungukiwa lile soko la Ubungo ambalo ni wholesale wateja wa nje ya nchi watahamia pale maanake inasemekana kutakuwa na bei ya China, Kariakoo itaathirika.
Ushawqh kukutana nayo hii mkuu? Kuna wamakonde pale wanga kwelikweli. Sidhan kama kun sehem kuna ulozi kias kikubwa Kama sokoni Tanzania hiiHiyo stail iko maeneo Mengi sana ya Dar hata masokoni.Ila Dawa yao huwa ni ndogo sana.Kwa sisi wana wa kristo tunavitibuaga hivyo viminyio kwa damu ya Yesu,utakuta hataki hata kuongea na wewe tena anakuwa mkali🤣
Kama umeibiwa si uende kushitaki kwa mamlaka husika! Au umelazimishwa kumnunua!?One of the dumbest and lame excuse iliyotolewa katika uzi huu. Mkalime muache wizi!!!!
Mwenye duka anakuelekeza kwa winga!Nilienda kununua generator mwenye duka akaniambia niende kwa winga nikazungumze nae,winga akaniambia bei ni mil 3.5 Mimi nikamwambia Nina mil 2.2 tu sishushi siongezi!
Winga akakomaa akasema nitoe mil 3.3 nikaamua kuondoka.
Ile naondoka tu mwenye duka akanikimbilia akaniambia toa hiyo hiyo mil 2.2
Sio kweliKARIAKOO NI GIANT WA KITOVU CHA BIASHARA ZOTE EAST AFRICA.
Mimi napiga vita uwinga kabisa kwa sababu ni utapeli mtupu, uwinga hauna tija yoyote kwa wafanyabiashara au wateja.Uwinga sio mbaya kihivyo, hakuna anayepiga vita uwinga hapa maana ni maisha ambayo mfanya biashara yeyote yule ambaye Bado hajasimama ni lazima ayapitie....
Ndo mahakamani hapa wacha tuwapike. Kwanini mnaibia watu nyie wasakatonge. Mpaka watu wanalalamika unahisi tatizo ni wateja au ww kwa akili yako unahisi watu wanatoa shuhuda hapa wanawasingizia???Kama umeibiwa si uende kushitaki kwa mamlaka husika! Au umelazimishwa kumnunua!?
mawinga ni inzi katika biashara tupinge uwepo wa inzi katika biashara😁😁😁😁. Inzi wanaleta kipindupindu Na wachina wakija hapo ubungo ni bora kuwaunga wachina sio hawa NGOZI NYEUSI NYWELE NGUMU.Mijitu mweusi haitakuja kustaarabika kamwe na ndo jamii ya binadamu ambayo itaendelea kutawaliwa milele.Mimi napiga vita uwinga kabisa kwa sababu ni utapeli mtupu, uwinga hauna tija yoyote kwa wafanyabiashara au wateja.
Endelea kulia_lia.O hapa wacha tuwapike. Kwanini mnaibia watu nyie wasakatonge.
Lazima tuwapige vita tunahitaji jamii ya watu waliostaarabika. Mtu unatoka nyumbani unamipango yako ya manununzi. Unaenda kwenye daladala kuna mvivu mmoja hataki kufanya kazi anajiita mpiga debe(WINGA/MZURURAJI)anakuaribia siku. Unafika mjini unakuta majitu mavivu(MAWINGA/WAZURURAJI )mengine kama 10 hv yamejaa madukani wanamaliza hewa na kufanya feni na AC zisifanye kazi vizuri, nao wanakuharibia siku. Unasema ngoja uwende mkoa unakuta wapigadebe(MAWINGA/WAZURURAJI) pale Mbezi nao wanakuharibia utulivu wa akili. Nchi imejaa madalali kila mahali🤔Endelea kulia_lia.
Bongo wafanyabiashara ni wachache tunawamachinga wengi ambao hawajui misingi ya biashara na mijitu kama hii mimachinga ya kwenye fremu biashara zao za uchuuzi huwa hazina future.
Wachina wanakuja kufanya biashara. Hawa wamachinga wa kariakoo na fremu zao watatia adabu soon😁😁😁UBUNGO ndiyo dawa ya wahuni wote wa kkoo..
yatakuja kulialia hapa na tutayakaanga mbaya mbovu🤣🤣🤣🤣Wachina wakikamilisha soko lao na kuanza kuuza Kwa bei nzuri na kukataa mawinga
Tusione matapeli ya kariakoo yakilalalamikia serikali
Ndo tofauti ya kufanya biashara na kufanya umachinga. Machinga hajali kesho itakuwaje yeye ilimradi leo kauza .Machinga wengi wanaharibu mitaji hawajui kanuni za biashara.Keko furniture ilikufaga hivi hivi
Kuendekeza mawinga
Hasa nyeusi na blue ukifua unatupa. Suruali ya kitambaa Karume usiguse ni kiwi tupu. Kadeti na jeans unaweza kubahatisha.Ilala unakuta suruali kali sana inawaka kweli kumbe wahuni wameipaka mafuta ya cherehani, ukiipiga maji tu utajua mjini sio kuzuri.