Kariakoo: Nimenunua Raba kali kinoma kwa 15,000/=. Madukani huwa naona zinauzwa 70,000/=

Heee heeee heeeee 🀣 🀣 🀣
Wasikuzingue hawa, hebu kula wimbo huu πŸ‘‡

 
Kibisa katimba Raba raba mtoni ,jinsi kali karl kani ,alikuwa na fujo weekend ya sabato si mnakumbuka brother men? Ana shati la kitenge kifuani lina chapa kubwa ya kenge ya rangi ya udhurungi...ni kazeze ni kazeze.
 
Ila bro we bado ndezi.sana, umenunua mdosho unakuja kusfia hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tofautisha Raba kali na Raba uliyoipenda

Mbona chongo unataka kutuamisha chongo kuwa ni kengeza we mjuba unavalisha nani hiyo raba sasa

Sent from my MI PLAY using JamiiForums mobile app
 
material yaliyotumika tengeneza itakuwa tofauti na ndio maana bei huwa tofauti
Hamna lolote ndo vile vile tu juzi nimekwenda kinunua yale mabeg ya plastic Yana kua pair 3 kwa 150000 wakati uko instagram uwa wana tangaza 250000 ata ivo nikagundua nimepigwa 10000....so dar kichwa kichwa watu uwa wanapiga sana faida aisee
 
Mkuu umeula, hapa bongo viatu OG vichache Sana , tunadanganyana Tu na brand , kiatu cha 20000 unauziwa 80000 , Bora uagize nje kwenye uhakika ..... Respect to Kariakoo , nishawah nunua mkanda 3000 pale wakat madukan ni 15000 , the same brand and quality
 
Hivi faida ya kuvaa viatu original iko wapi hasa?? Kwamba ufahari wa kuonekana umevaa maviatu ya gharama ndefu? Nani kwanza atajua kama umevaa OG au fake ikiwa kwa muonekano havina tofauti.
Fake ni fake tu mkuu huwez kuvaa famba kama hilo nyakati hizi madude kibao ya ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…