Kariakoo the busiest business Centre in East Africa

Wadanganye wakenya, unafikiri Tanzania kama kwenu huko kwenye classes?
Hakuna mahali kariakoo mtanzania haiwezi access labda kwenu huko
 
Nairobi ndio halisia kama New York,Guangzhou na London global business centers sababu ndio makao makuu ya kampuni nyingi za dunia Africa .Hii Kariakoo yenu ni kama Bujumbura tu in the grand scheme of business centers of importance in Africa.
Wivu mbaya sana....
 
aa wapi? mara c.b.d mara residential area,, sasa which one is which?
very disorganized place. unapata watu sijui ni wendawazimu mita chache kando ya barabara wanang'ang'ana na kupika vitu visivyoeleweka na cha ajabu, hawakosi wateja
Wivu huleta chuki ....
 
Pia hizo modern coast tahmeed na tawakal huwa zinabeba mizigo mingi kutokea kariakoo kupeleka mombasa na Nairobi kwahiyo wafanya biashara wa huko wanachukua mizigo mingi sana huku
 
You guys your not busy compare to kariakoo
 
Uchafu tu huo

Mnajishaua na kenya!Kenya ndo mdudu gani? Nchi inadaiwa mpaka kisogoni![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Haki hata unipe milioni mia unambie nichukue uraia wa kenya sikubali

Nchi ya hovyo kuwahi kutokea

Nchi gani hiyo ambayo 95% ya utajiri wa nchi kuanzia majengo,mashamba na bness zote zinamilikiwa na wazungu wachache na kenyatta family huku raia wakiwa masikini kuliko hata nchi yoyote ile ya Africa

Huwa mnachekesha sana wakenya
 

Huwa mnajshaua hivyo lakini mnajazana huku omba omba




 
Kariakoo kuna vyumba zingine za mabati na watu wengi sana wanauza kwa barabara hakupitiki na pia kuchafu sana sana.Sasa mnaleta picha tu za mijigorofa mnaacha kule kubaya na kuchafu zaidi ili kuhadaa waKenya .
Kariakoo kuna nyumba za bati?? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] you mean nyumba za kawaida??? mkuu, Kariakoo unaijua??? [emoji23] [emoji23]
 
Hahahaha, ninyi mnazungumzia beggars, wakati ninyi majambazi na majizi toka Kenya ni 30% ya wafungwa waliojaza magereza ya Tanzania, na wengi tuliwapiga rusasi, beggars na majambazi, wapi ni zaidi?
 
Kariakoo kuna vyumba zingine za mabati na watu wengi sana wanauza kwa barabara hakupitiki na pia kuchafu sana sana.Sasa mnaleta picha tu za mijigorofa mnaacha kule kubaya na kuchafu zaidi ili kuhadaa waKenya .
Hahaha kariakoo kuwe na vibanda vya mabati? πŸ˜…πŸ˜… Kenya ndio kwenye vibanda vya mabati watu mnalala kwenye mabati utafikiri mpo ndani ya bakery
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…