babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,632
- 29,912
babayao 255 kwani tofauti ipo wapi,si zote ni concrete jungle,halafu pia pale githu kuna raia pia kutoka nje ya inchi kama vile wanaija(nigerians),sudanese etc etc
Ndio sababu Tanzania inaongoza katika " Economic inclusiveness ", hapo kwenu ni wageni tu na matajiri ndio wanaruhusiwa Kuwepo CBD, rejea kitabu cha " This time tomorrow ".Karioakoo ni kila kitu. Ni residential, ni market ni cbd, yani hakueleweki! Kule sio nadra kupata wanawake waluofunga leso wakipiga gumzo kando ya barabara kwenye mikeka wakingoja waume zao watoke kazi mida za jioni. Planning ya Dar ni ya kutia huruma. Just 500 meters from TPA utakuta nyumba za makazi hapo karioakoo. Kuna picha fulani niliona kwenye huu uzi ya wanawake ambao wamebeba mitungi za maji vichwani hapo mbele ya TPA
Ninadhani ndugu zangu nyinyi mna obssession bigger than yours syndrome.Ukisema Bussiest unamaanisha nini? Unamaanisha iko na watu wengi wanafanya biashara au inatengeneza hela nyingi kuliko sehemu yoyote EA? Manake GDP ya Nairobi ni $58B na GDP ya Dar ni $26B.... Common logic itaonyesha haiwezekani eti bussiest business center ikawa iko Dar!
Oooh shhiiit.... ndo anataka apafananishe na Kariakoo hapo!!
Huu ujinga mnatoleaga wapi? kwamba Nairobi ina uchumi wa Tanzania nzima?Ukisema Bussiest unamaanisha nini? Unamaanisha iko na watu wengi wanafanya biashara au inatengeneza hela nyingi kuliko sehemu yoyote EA? Manake GDP ya Nairobi ni $58B na GDP ya Dar ni $26B.... Common logic itaonyesha haiwezekani eti bussiest business center ikawa iko Dar!
Kariakoo ni eneo kubwa mno, haiwez kua under one building, unapanda daladala humo humo unashuka humo humo, ni muunganiko wa mitaa mingi mnoWaambie hao.....,
Hujui unachoongea, tumia hata Google map itakusaidia, Atleast utaona muonekano wa k/koo ulivyo...NDINDA.....buda githurai is high density residential estate meant for the low middle class.....ofcourse in such an estate there is petty crime,even new york which is the world financial centre has lots of crime in places like harlem,queens and brooklyns,so those crimes news are irrelevant,by the way few isolated pics of githu which are not pitureseque cannot dispute the fact githu is a decent estate and a concrete jungle like kariakoo.
Si lakini ni ukweli, ama unapinga hilo? Nyinyi ndo mmeanzisha mada ya "bigger than ours", I'am just responding in kind 😎Ninadhani ndugu zangu nyinyi mna obssession bigger than yours syndrome.
I can see the three towers. Wakenya ambao wamefika dariSLUM husema majengo ya kariakoo ni kama Githurai. Sijui 44 au 45
Aisee kama Gikomba vile
Hujafika kariakoo inaonekana.Hii picha ni kuhadaa watu nyie.Kariakoo huko Dar ya kweli ni ile wachuuzi wengi zaidi wanauza barabarani ,msongamano na uchafu umejaa na vyumba vingine ni mabati zimechakaa kweli kweli.Hii picha hapa juu watanzania wengi hawawezi kwenda pale they can't afford that side of Kariakoo.
GDP ni kando na ukusanyaji wa kodi, GDP ni hesabu za ukijumlisha mapato ya viwanda, kampuni na biashara ambazo ziko official ...... Sasa mtu akisema kwamba eneo flani hapo dar ndo busiest in EA wakati Dar yote haifikii Nairobi kwa mapato ya Biashara, hio itakuaje???pesa ni namba tu buda,nikikwambia tunazembea katika ukusanyaji wa mapato na kuweka rekodi sawa za kihasibu namaanisha.
jaribu kufika hapo hata siku moja utagundua kuna sehemu tunazembea katika kukusanya mapato.kariakoo serikali inaibiwa si kawaida.
Ona ukichaa mwingine huuu.i!!!!![emoji23][emoji23][emoji23]Waambie watupee barabara Kama hii ya Kisumu huko dar tuhame hii forum[emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484]View attachment 1184827View attachment 1184828
Ukweli unabaki kuwa Tanzania inazungukwa na nchi [ukiondoa Kenya] karibu 7. halafu ongeza Zim.Si lakini ni ukweli, ama unapinga hilo? Nyinyi ndo mmeanzisha mada ya "bigger than ours", I'am just responding in kind 😎
Halafu TPA posta sio kariakooKumbe huijui Kariokoo mzee baba, maana umechanganya madesa tuu hapo
Maana TPA na Kariakoo wako mbali sana, wameachana na kaumbali hivi
Punctuate your litter. Pthooooo..! Na hujajua kuandika ..ulefu..ndio nini?Swali LA kijinga road zinajengwa kutokana na maitaji tunazo barabara nyingi tu tatizo nimegundua wakenya masikini sana hivyo video tunazo post mnashingwa kuziangalia kwa sababu ya kukosa Pesa ya internet nilifanya utafiti kupost video za YouTube hapa nione kama view wataongwzeka kutoka kwa wakenya nikagundua view wanaongezeka wachache awazidi 10 hivi ni kwanini wakenya mnashindwa kumudu mb za kuangalia video sasa nakupostia hizi video utizame na wewe ulete video za ukweli zisizo editiwa hii ni ya msiba ulitokea tz icheki kisha na nyinyi mlete video yenye ulefu kama huo ya tukio la kweli ili tuone jiji la Nairobi na barabara zake.
Daaaaah mashmukh man mashmukh!!!!!!
Kama CBD imekua kariakoo basi posta na upanga nini .Karioakoo ni kila kitu. Ni residential, ni market ni cbd, yani hakueleweki! Kule sio nadra kupata wanawake waluofunga leso wakipiga gumzo kando ya barabara kwenye mikeka wakingoja waume zao watoke kazi mida za jioni. Planning ya Dar ni ya kutia huruma. Just 500 meters from TPA utakuta nyumba za makazi hapo karioakoo. Kuna picha fulani niliona kwenye huu uzi ya wanawake ambao wamebeba mitungi za maji vichwani hapo mbele ya TPA