Kariakoo the busiest business Centre in East Africa

Kariakoo the busiest business Centre in East Africa

lwiva joto la jiwe jibu hili swali[emoji23][emoji23][emoji23]
Swali LA kijinga road zinajengwa kutokana na maitaji tunazo barabara nyingi tu tatizo nimegundua wakenya masikini sana hivyo video tunazo post mnashingwa kuziangalia kwa sababu ya kukosa Pesa ya internet nilifanya utafiti kupost video za YouTube hapa nione kama view wataongwzeka kutoka kwa wakenya nikagundua view wanaongezeka wachache awazidi 10 hivi ni kwanini wakenya mnashindwa kumudu mb za kuangalia video sasa nakupostia hizi video utizame na wewe ulete video za ukweli zisizo editiwa hii ni ya msiba ulitokea tz icheki kisha na nyinyi mlete video yenye ulefu kama huo ya tukio la kweli ili tuone jiji la Nairobi na barabara zake.
 
Huenda ni render but that shit is operational. The biggest east and central Africa has ever seen.
Kariakoo mle ndani ni giza its like at the middle of the jungle but concrete jungle, the buildings shadows are everywhere and it's the fascinating spot for urban tourists from abroad.
 
aa wapi? mara c.b.d mara residential area,, sasa which one is which?
very disorganized place. unapata watu sijui ni wendawazimu mita chache kando ya barabara wanang'ang'ana na kupika vitu visivyoeleweka na cha ajabu, hawakosi wateja
Karioakoo ni kila kitu. Ni residential, ni market ni cbd, yani hakueleweki! Kule sio nadra kupata wanawake waluofunga leso wakipiga gumzo kando ya barabara kwenye mikeka wakingoja waume zao watoke kazi mida za jioni. Planning ya Dar ni ya kutia huruma. Just 500 meters from TPA utakuta nyumba za makazi hapo karioakoo. Kuna picha fulani niliona kwenye huu uzi ya wanawake ambao wamebeba mitungi za maji vichwani hapo mbele ya TPA
 
The difference is that, that is the single operational building but in Kariakoo its the whole busy and hurry district not a certain building or compound
Kizungu yako ni ngumu kuelewa. Tumia tu kiswahili, tutaelewsna vizuri tu
 
N
Tatizo Watanzania mna hulka ya kukusanyika kwenye kitu kimoja, hamjui jinsi gani ya kufanya diversification kama sisi. Hapa Kenya tuna business centres nyingi ambazo kuna uhuru wa kuchagua. Nyie hiyo Kariokoo barabara moja tu ile ya Uhuru basi, pachafu na pamejaa ujanja ujanja tu halafu mnakusanyika nyote humo.

Ona vitu vya Kenya.... vitu largest in East and Central Africa

23-two-rivers-mall-nairobi-kenya-akinyi-adongo.jpg


0fgjhs50pbr1813m.jpg



0fgjhs33r7v9g66hm.jpg





0fgjhs4260bn2fnbk.jpg




0fgjhs759jf3qerkm.jpg



0fgjhs2la2l8gki3ag.jpg



0fgjhs1ik2fuq48vko.jpg



0fgjhs3b0jcikm0s0g.jpg



0fgjhsbp8o66eicae.jpg
Ninadhani mada ni kuwa Kariako ni the busiest CBD in East Africa. Sasa hayo ya uchafu na ujanja ujanja yanatoka wapi???? Wafanyabiashara wengi toka Zambia,Malawi,Zimbabwe na DRC sehemu yao kubwa ya biashara ni Kariakoo sasa sijui tatizo ni nini???? Au kwa vile kariakoo iko Tanzania???
 
Ukisema Bussiest unamaanisha nini? Unamaanisha iko na watu wengi wanafanya biashara au inatengeneza hela nyingi kuliko sehemu yoyote EA? Manake GDP ya Nairobi ni $58B na GDP ya Dar ni $26B.... Common logic itaonyesha haiwezekani eti bussiest business center ikawa iko Dar!
 
Karioakoo ni kila kitu. Ni residential, ni market ni cbd, yani hakueleweki! Kule sio nadra kupata wanawake waluofunga leso wakipiga gumzo kando ya barabara kwenye mikeka wakingoja waume zao watoke kazi mida za jioni. Planning ya Dar ni ya kutia huruma. Just 500 meters from TPA utakuta nyumba za makazi hapo karioakoo. Kuna picha fulani niliona kwenye huu uzi ya wanawake ambao wamebeba mitungi za maji vichwani hapo mbele ya TPA
Kumbe huijui Kariokoo mzee baba, maana umechanganya madesa tuu hapo
Maana TPA na Kariakoo wako mbali sana, wameachana na kaumbali hivi
 
Tatizo Watanzania mna hulka ya kukusanyika kwenye kitu kimoja, hamjui jinsi gani ya kufanya diversification kama sisi. Hapa Kenya tuna business centres nyingi ambazo kuna uhuru wa kuchagua. Nyie hiyo Kariokoo barabara moja tu ile ya Uhuru basi, pachafu na pamejaa ujanja ujanja tu halafu mnakusanyika nyote humo.

Ona vitu vya Kenya.... vitu largest in East and Central Africa

23-two-rivers-mall-nairobi-kenya-akinyi-adongo.jpg


0fgjhs50pbr1813m.jpg



0fgjhs33r7v9g66hm.jpg





0fgjhs4260bn2fnbk.jpg




0fgjhs759jf3qerkm.jpg



0fgjhs2la2l8gki3ag.jpg



0fgjhs1ik2fuq48vko.jpg



0fgjhs3b0jcikm0s0g.jpg



0fgjhsbp8o66eicae.jpg
Waambie hao.....,
 
Oii.....buda githurai hakuna mitaa ya mabanda,its a concrete jungle,one of the densiest estates in nairobi,but we kenyans have very high standards we like to reside in spacious suburbs..hio kariakoo na githu hakuna tofauti
 
Ati githu na kariakoo hamna tofauti [emoji23][emoji23][emoji23].
Alafu ni ubishi by nature ndo kinachokusumbua, kariakoo nchi mbalimbali zinakuja kununua bidhaa pale alafu unasema Nairobi mnapenda vitu high standard hivi unapafahamu kariakoo wewe.
Oii.....buda githurai hakuna mitaa ya mabanda,its a concrete jungle,one of the densiest estates in nairobi,but we kenyans have very high standards we like to reside in spacious suburbs..hio kariakoo na githu hakuna tofauti
 
Ukisema Bussiest unamaanisha nini? Unamaanisha iko na watu wengi wanafanya biashara au inatengeneza hela nyingi kuliko sehemu yoyote EA? Manake GDP ya Nairobi ni $58B na GDP ya Dar ni $26B.... Common logic itaonyesha haiwezekani eti bussiest business center ikawa iko Dar!
pesa ni namba tu buda,nikikwambia tunazembea katika ukusanyaji wa mapato na kuweka rekodi sawa za kihasibu namaanisha.

jaribu kufika hapo hata siku moja utagundua kuna sehemu tunazembea katika kukusanya mapato.kariakoo serikali inaibiwa si kawaida.
 
babayao 255 kwani tofauti ipo wapi,si zote ni concrete jungle,halafu pia pale githu kuna raia pia kutoka nje ya inchi kama vile wanaija(nigerians),sudanese etc etc
 
Back
Top Bottom