Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora ufanye hivyo atulienjoo pm nikutongoze tena
Yes kwa kuamua uko sawa kabisa Mama yangu mpendwa...Hata kujuana inawezekana ni maamuzi tu prophet
Safi sana..wahiNakuja.
Hahahahaha. Hahahaha. HahahahahaHata kujuana inawezekana ni maamuzi tu prophet
Hata mie nakuchosha ?Umeona eeeeh wananichosha..
Hahahahaha kwani hata mie uliyesema wanijua nadanganya ?Sikudanganyi
Ninaemjua ni mwokozi wangu ni Kristo Yesu,huyo "mokozi" unayetaka wewe ni mjue sidhani kama ninataka kumjua ....🤔Yes kwa kuamua uko sawa kabisa Mama yangu mpendwa...
Natamani sana uamue kumjua na kufuasa Mungu ninae muamini na kumtumikia awe bwana na mokozi katika kuishi kwako humu duniani na awe tarajio la furaha yako mbinguni
Ni Mungu yule yule halisi wa jana, leo daima na Milele..Ninaemjua ni mwokozi wangu ni Kristo Yesu,huyo "mokozi" unayetaka wewe ni mjue sidhani kama ninataka kumjua ....🤔
Eti Bora umenisaidia....ninamaanisha shoga yangu😁Kwamba sisy yake ni Shoga yake Si mnapenda kuitana Shoga nyinyi ukimuona Mwanamke mwenzio unamuita Shoga yangu nikuambie au siku hizi mmeacha kuitana mashoga?
Hata ukisikiliza Taarabu za zamani mlikua mnaimbana Shoga sijui nini na nini sikiliza usikie
Yaani Bora umemfunda,maana majibu yake anayajuaga mwenyewe Mtu akimchokoza anampa hapo hapo bila kumung'unya maneno...mi niliona dalili za kumtukana Mtu naachana nae chap!
ili hatimae maskio ya rohoni mwako yawe tayari kuskia sauti ya wito wa Mungu katika maisha ya sasa, baadae na hata milele...Mokozi?