Karibu baby sis

Karibu baby sis

Yes kwa kuamua uko sawa kabisa Mama yangu mpendwa...

Natamani sana uamue kumjua na kufuasa Mungu ninae muamini na kumtumikia awe bwana na mokozi katika kuishi kwako humu duniani na awe tarajio la furaha yako mbinguni
Ninaemjua ni mwokozi wangu ni Kristo Yesu,huyo "mokozi" unayetaka wewe ni mjue sidhani kama ninataka kumjua ....🤔
 
Kwamba sisy yake ni Shoga yake Si mnapenda kuitana Shoga nyinyi ukimuona Mwanamke mwenzio unamuita Shoga yangu nikuambie au siku hizi mmeacha kuitana mashoga?

Hata ukisikiliza Taarabu za zamani mlikua mnaimbana Shoga sijui nini na nini sikiliza usikie
Eti Bora umenisaidia....ninamaanisha shoga yangu😁
 
Karibu dear ila jiepushe na ban bwana ukiona mtu mkorofi muepuke tu umkalie kimya tena toka kabisa kwenye hiyo thread [emoji7] sawa chimamy

Mbona kuwa binti mlokole unaweza [emoji1787] kuepuka ban nini kinakushinda eti Lamomy ebu shangazi Joannah nisaidie [emoji1787]
Yaani Bora umemfunda,maana majibu yake anayajuaga mwenyewe Mtu akimchokoza anampa hapo hapo bila kumung'unya maneno...mi niliona dalili za kumtukana Mtu naachana nae chap!
 
Back
Top Bottom