"Karibu Karibu Ndugu Jela ni ya Wanaume," Field Marshal John Okello Anamkaribisha Abdilatif Abdulla Kamiti Prison

"Karibu Karibu Ndugu Jela ni ya Wanaume," Field Marshal John Okello Anamkaribisha Abdilatif Abdulla Kamiti Prison

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
Nimekuwa na Abdilatif Abdulla London, Berlin, Humburg, Mombasa na Dar-es-Salaam lakini Dar-es-Salaam mara nyingi kuliko huko kote kwengine.

Nimekaa nyumbani kwake Humburg.

Kote tunapokuwa pamoja mazungumzo yetu ni vitabu na uandishi.

Siku zote sijasahau kumkumbusha kuhusu kuandika kitabu cha maisha yake.

Abdilatif Latif katika hili atanichukua safari ndefu.

Katika uzinduzi wa kitabu chake tafsiri ya "Sauti ya Dhiki," ikawa kama vile maneno aliyosema kujibu swali katika wakati wa maswali na majibu kuwa Field Marshal John Okello alimkaribisha Jela ya Kamiti kwa maneno haya, "Karibu, karibu ndugu jela ni ya wanaume," maneno haya yalimponyoka.

Maneno haya hayapo popote katika historia ya Abdilatif.

Wengi tuliokuwa katika hadhira hii tulishtushwa na maneno yale.

Tulipenda sana kusikia zaidi katika historia ile.

Msikilize mwenyewe.


View: https://youtu.be/DoJbywrdFIc?si=1WyJxxoV-h7sYr3e
 
Nimekuwa na Abdilatif Abdulla London, Berlin, Humburg, Mombasa na Dar-es-Salaam lakini Dar-es-Salaam mara nyingi kuliko huko kote kwengine.

Nimekaa nyumbani kwake Humburg.

Kote tunapokuwa pamoja mazungumzo yetu ni vitabu na uandishi.

Siku zote sijasahau kumkumbusha kuhusu kuandika kitabu cha maisha yake.

Abdilatif Latif katika hili atanichukua safari ndefu.

Katika uzinduzi wa kitabu chake tafsiri ya "Sauti ya Dhiki," ikawa kama vile maneno aliyosema kujibu swali katika wakati wa maswali na majibu kuwa Field Marshal John Okello alimkaribisha Jela ya Kamiti kwa maneno haya, "Karibu, karibu ndugu jela ni ya wanaume," maneno haya yalimponyoka.

Maneno haya hayapo popote katika historia ya Abdilatif.

Wengi tuliokuwa katika hadhira hii tulishtushwa na maneno yale.

Tulipenda sana kusikia zaidi katika historia ile.

Msikilize mwenyewe.


View: https://youtu.be/DoJbywrdFIc?si=1WyJxxoV-h7sYr3e

Hizi Habari za Field Marshal John Okello naona kama ni mambo yaliyopitwa na wakati. Hizo ni kama hadithi za 'Kibanga ampiga mkoloni,' 'Pwagu na Pwaguzi,'

Tunataka kusikia Habari mpya zenye kuendana na nyakati za Sasa, tuachane na hizi habari za enzi za kale ambazo hazina faida yoyote ile kwa nyakati za Sasa.

Tunataka kusikia Habari mpya za kisasa, zinazoendana na wakati wa Sasa.
 
Hizi Habari za Field Marshal John Okello naona kama ni mambo yaliyopitwa na wakati. Hizo ni kama hadithi za 'Kibanga ampiga mkoloni,' 'Pwagu na Pwaguzi,'

Tunataka kusikia Habari mpya zenye kuendana na nyakati za Sasa, tuachane na hizi habari za enzi za kale ambazo hazina faida yoyote ile kwa nyakati za Sasa.

Tunataka kusikia Habari mpya za kisasa, zinazoendana na wakati wa Sasa.
Mambo yangekuwa hivyo kama unavotaka kungekuwa na haja gani watu kusoma historia msimamo huo ni wako si wa JF
 
Hizi Habari za Field Marshal John Okello naona kama ni mambo yaliyopitwa na wakati. Hizo ni kama hadithi za 'Kibanga ampiga mkoloni,' 'Pwagu na Pwaguzi,'

Tunataka kusikia Habari mpya zenye kuendana na nyakati za Sasa, tuachane na hizi habari za enzi za kale ambazo hazina faida yoyote ile kwa nyakati za Sasa.

Tunataka kusikia Habari mpya za kisasa, zinazoendana na wakati wa Sasa.
Sishangai kuona majina yako yote yamekaa kimagharibi
Mtu asiyependa kujua asili yake na kudharau historia yake ni utumwa wa kifikra
Watu weupe wenyewe wana museum za mambo ya kale kabla hata ya ujio wa mtume
Mohamed na Issa Bin Mariam
Mbona hata tunafundishwa mambo mazuri ya mitume wetu waliopita na tunayaiga
Hii ni kasumba sawa na aliyekuwa waziri wa sheria na katiba Kenya Charles Njonjo
ngozi nyeusi kama mkaa lakini alikuwa na kasumba ya kuuchukia uafrica wake
Siku moja alipanda ndege alivyotua akaambiwa aliyekuwa rubani alikuwa muafrica
alisononeka sana
 
Nimekuwa na Abdilatif Abdulla London, Berlin, Humburg, Mombasa na Dar-es-Salaam lakini Dar-es-Salaam mara nyingi kuliko huko kote kwengine.

Nimekaa nyumbani kwake Humburg.

Kote tunapokuwa pamoja mazungumzo yetu ni vitabu na uandishi.

Siku zote sijasahau kumkumbusha kuhusu kuandika kitabu cha maisha yake.

Abdilatif Latif katika hili atanichukua safari ndefu.

Katika uzinduzi wa kitabu chake tafsiri ya "Sauti ya Dhiki," ikawa kama vile maneno aliyosema kujibu swali katika wakati wa maswali na majibu kuwa Field Marshal John Okello alimkaribisha Jela ya Kamiti kwa maneno haya, "Karibu, karibu ndugu jela ni ya wanaume," maneno haya yalimponyoka.

Maneno haya hayapo popote katika historia ya Abdilatif.

Wengi tuliokuwa katika hadhira hii tulishtushwa na maneno yale.

Tulipenda sana kusikia zaidi katika historia ile.

Msikilize mwenyewe.


View: https://youtu.be/DoJbywrdFIc?si=1WyJxxoV-h7sYr3e

Mzee Mohamed Said kaka yangu shikamoo(Aslam Aleikhum)
Najua wanaosema unaingiza udini ni waambie tu Aslam Aleikhum inatumiwa hata na waarabu
wakristo Maana yake amani iwe juu yenu
Twende kwenye shukrani zangu chini sasa
Nimefanikiwa kupata link ya Kwaheri ukoloni kwaheri uhuru kilichoandikwa na msomi Ghasany kina kurasa 485 nita kichapa na kusoma taratibu.
 
Nimekuwa na Abdilatif Abdulla London, Berlin, Humburg, Mombasa na Dar-es-Salaam lakini Dar-es-Salaam mara nyingi kuliko huko kote kwengine.

Nimekaa nyumbani kwake Humburg.

Kote tunapokuwa pamoja mazungumzo yetu ni vitabu na uandishi.

Siku zote sijasahau kumkumbusha kuhusu kuandika kitabu cha maisha yake.

Abdilatif Latif katika hili atanichukua safari ndefu.

Katika uzinduzi wa kitabu chake tafsiri ya "Sauti ya Dhiki," ikawa kama vile maneno aliyosema kujibu swali katika wakati wa maswali na majibu kuwa Field Marshal John Okello alimkaribisha Jela ya Kamiti kwa maneno haya, "Karibu, karibu ndugu jela ni ya wanaume," maneno haya yalimponyoka.

Maneno haya hayapo popote katika historia ya Abdilatif.

Wengi tuliokuwa katika hadhira hii tulishtushwa na maneno yale.

Tulipenda sana kusikia zaidi katika historia ile.

Msikilize mwenyewe.


View: https://youtu.be/DoJbywrdFIc?si=1WyJxxoV-h7sYr3e

Kwanini John Okello alifukuzwa Zanzibar?

Pascal Mayalla JokaKuu Gavana dega
 
1. Kwa nini historia haintambui huyo John?.
2. Je, huyo John aliitumwa kufanya mapinduzi na kulipwa?.
3. Karume hakuona umuhimu wa kumpa nafasi huyo jamaa serikalini?
4. Nani alikuwa man of the match kwenye mapinduzi?

Ni hayo tu asante!
 
1. Kwa nini historia haintambui huyo John?.
2. Je, huyo John aliitumwa kufanya mapinduzi na kulipwa?.
3. Karume hakuona umuhimu wa kumpa nafasi huyo jamaa serikalini?
4. Nani alikuwa man of the match kwenye mapinduzi?

Ni hayo tu asante!
Gavana

Inaelekea huyo Mganda alitumika tu na wakubwa na baadae akatoswa.
 
4. Nani alikuwa man of the match kwenye mapinduzi?
Okello ndio Baba wa Zanzibar shida alikua Mganda kutoka kule kwa Kabaka Mutesa I kinyume chake yeye ndio angekua rais wa kwanza wa Zenji
 
Gavana

Inaelekea huyo Mganda alitumika tu na wakubwa na baadae akatoswa.
Walimtumia tu Kama walivyotumiwa wenzake akina Mkwawa waliowatayarisha wamakonde kule Tanganyika wakawaleta mwisho akabaki kulala kwenye mabanda ya kuku
 
John okello ndiyo alifaa kuwa rais.Walimfukuza Kwa kuwa ni mganda eti ili karume aonekane ndiyo aliyepigania uhuru wakati alikuwa amekimbilia Tanganyika kujificha na baada ya kusikia waarabu wamefukuzwa na okello ndiyo akaenda kujitanngaza kuwa rais
 
John okello ndiyo alifaa kuwa rais.Walimfukuza Kwa kuwa ni mganda eti ili karume aonekane ndiyo aliyepigania uhuru wakati alikuwa amekimbilia Tanganyika kujificha na baada ya kusikia waarabu wamefukuzwa na okello ndiyo akaenda kujitanngaza kuwa rais
Wale waswahili waliofungwa na Nyerere kwa zaidi ya miaka 10, bila kufikishwa mahakamani walikuwa waarabu ?
 
Back
Top Bottom