Karibu kila mkoa hapa Tanzania una sifa ya uchawi, kwanini mkoa wa Kilimanjaro umeshika mkia?

Karibu kila mkoa hapa Tanzania una sifa ya uchawi, kwanini mkoa wa Kilimanjaro umeshika mkia?

R-K-O

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2023
Posts
482
Reaction score
2,178
Na hapa nikiwa specific zaidi ni sehemu walizopo wachaga maana Mkoa huu hata wapare wanaishi na habari za uchawi zipo huko kwao Same.

Na kweli nikifikiria uchawi hauna maendeleo na nikiona vijiji vya huko vilivyoendelea watu wanashusha mijengo bila hofu ya kupigwa vipapai nazidi kuona huku uchawi si tatizo kama sehemu zingine.

Uchawi una lengo la kuua, kuharibu, kufarakanisha, n.k, uchawi haunaga maendeleo na ukiwa na maendeleo basi ni ya machoni tu ila kuna masharti magumu.

Naomba pia tutofautishe Uchawi na Matambiko ya kimila, hivi ni vitu viwili tofauti, matambiko ya kimila hata waIsrael waliyafanya kwa kuchinja wanyama kuondoa dhambi na hata sasa ujio wa kanisa la tatu walishaelekezwa wakija kupata ngombe wekundu watatu wachinje iwe tambiko.

Sasa tukija kwenye huu uchawi ni kwanini mkoa wa Kilimanjaro upo nyuma sana ? Yani huko hata kupata mganga tu ni ishu, mtu akitaka uchawi labda anunue
 
Una uhakika?


Moshi vijjini ndo wilaya inayoongoza kwa mazezeta Tanzania nzima...

Kinachofanya moshi isijulikane ni unafiki...wanajifanya wapenda dini sana kumbe wachafu na washirikina wakubwa...

download%20(2).jpg
 
sema aina ya uchawi ukienda Dodoma kuna uchawi wa fisi watu wanatumia fisi na ukija pwani ni uchawi wa mapaka ,zogo .

Kilimanjaro ni watumiaji wa uchawi wa makafara yakiwa ni kumwaga damu na kutoa watoto akili yaani kuwafnya mazezeta.

Kigoma ndo hatari kabisa unaweza kupigwa na radi kweny jua la Saa 7 .
 
sema aina ya uchawi ukienda Dodoma kuna uchawi wa fisi watu wanatumia fisi na ukija pwani ni uchawi wa mapaka ,zogo .

Kilimanjaro ni watumiaji wa uchawi wa makafara yakiwa ni kumwaga damu na kutoa watoto akili yaani kuwafnya mazezeta.

Kigoma ndo hatari kabisa unaweza kupigwa na radi kweny jua la Saa 7 .
kigoma kiboko
 
Nakuelekeza chimbo la waganga wa Wachaga. Ukifika stendi panda magari ya TPC. Ukishuka TPC chukua boda mwambie akupeleke kwa mtaalam barabara ya kuelekea Simanjiro ukivuka daraja tu kata kulia. Yaani hawana aibu wanapiga ndumba mchana kweupe.
Uchawi mkubwa ni wa wazee kuharibiana vijana baada ya kutambiana siku za Xmass. Uchawi mwingine ni kupigana vipapai kwa ugomvi wa mipaka ya mashamba.
Usiniulize nilijuaje hili chimbo.
 
Wewe UCHAGANI kuna uchawi balaa asikwambie mtu tena kwa matambiko usipime
Alpkwambia WACHAGA hawatumii uchawi kakuongopea
Wapo tofauti na wengine kwa7bu wao ELIMU ni kipaumbele kwao tangu ENziI ya ukoloni
Uchawi unarudisha maendeleo nyuma watu wanaogopa hata kujenga vizuri kwa hofu ya kupigwa vipapai, ingekuwa hivi vijiji vya moshi wangekuwa wanajenga vizuri ?
 
sema aina ya uchawi ukienda Dodoma kuna uchawi wa fisi watu wanatumia fisi na ukija pwani ni uchawi wa mapaka ,zogo .

Kilimanjaro ni watumiaji wa uchawi wa makafara yakiwa ni kumwaga damu na kutoa watoto akili yaani kuwafnya mazezeta.

Kigoma ndo hatari kabisa unaweza kupigwa na radi kweny jua la Saa 7 .

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unazingua
 
Wachaga ukiwaona Dar utadhani hawajui uchawi.
Hebu fika kwao mwezi wa desemba halafu chezea Yule mbuzi wa kafara ndio utajua HUJUI.
Uchawi na matambiko ya mila ni vitu viwili tofauti.

Waisrael wanaotafuta ngombe watatu wekundu hadi sasa kwajili ya kafara ya kujenga kanisa la tatu kwa maelekezo ya Mungu wao ni wachawi ?
 
Uchawi unarudisha maendeleo nyuma watu wanaogopa hata kujenga vizuri kwa hofu ya kupigwa vipapai, ingekuwa hivi vijiji vya moshi wangekuwa wanajenga vizuri ?
Mkuu....hizo nyumba wanaishi au ni pride tu?

Mkuu kujenga vijijini hadi siku huko singida na shinyanga wanajenga vijijini sana...

Kuna sehemu kama Bukoba au mbeya kule kuna majumba na mahekalu...

Hio sio big deal siku hiz kuwafanya watu wakuroge kisa ujenzi
 
Uchawi na matambiko ya mila ni vitu viwili tofauti.

Waisrael wanaotafuta ngombe watatu wekundu hadi sasa kwajili ya kafara ya kujenga kanisa la tatu kwa maelekezo ya Mungu wao ni wachawi ?
Matambiko ya kumfanya mtoto mmoja kichaa au zezeta?

Huo ni uchawi mbaya sana...bora ule wa sumbawanga utarogwa usipofuata utaratibu...ila huu wa kumfanya zezeta mtu asiye na hatia ni uuaji...

Ndo maana watu wa moshi wengi hawanaga utu hata ule wa kawaida
 
Wachaga ukiwaona Dar utadhani hawajui uchawi.
Hebu fika kwao mwezi wa desemba halafu chezea Yule mbuzi wa kafara ndio utajua HUJUI.
ile ni mila tuu ya kawaida katika koo nyingi ila sasa kuna wenye hela zao za moto ndio huchinja bila kufwata maswala ya mila utaambia ni ya kula tuu kila siku ni nyama sasa wewe nenda kula nawa mikono yale maji mlionawia mikono hawamwagi hapo ndo utajua hujui.
 
Back
Top Bottom