Karibu kila mkoa hapa Tanzania una sifa ya uchawi, kwanini mkoa wa Kilimanjaro umeshika mkia?

Karibu kila mkoa hapa Tanzania una sifa ya uchawi, kwanini mkoa wa Kilimanjaro umeshika mkia?

Mkuu....hizo nyumba wanaishi au ni pride tu?

Mkuu kujenga vijijini hadi siku huko singida na shinyanga wanajenga vijijini sana...

Kuna sehemu kama Bukoba au mbeya kule kuna majumba na mahekalu...

Hio sio big deal siku hiz kuwafanya watu wakuroge kisa ujenzi
Huko Bukoba, Mbeya, n.k. mtu anajenga peke yake nyumba kali kijiji kizima🤣🤣, hadi kuipata nyumba nyingine ya kisasa ni mbali sana,

Vijiji vya moshi nyumba kibao tu kali mitaani na hakuna kuhofia kupigwa kipapai
 
ile ni mila tuu ya kawaida katika koo nyingi ila sasa kuna wenye hela zao za moto ndio huchinja bila kufwata maswala ya mila utaambia ni ya kula tuu kila siku ni nyama sasa wewe nenda kula nawa mikono yale maji mlionawia mikono hawamwagi hapo ndo utajua hujui.
Mila ni kafara ya kichawi...

Unachinja unaongea na watu waliokufa mizimu ili iweje...

Sio kawaida
 
Yuko mama mmoja huku Dar wilaya ya Ubungo ana jiko kwenye bar moja maarufu.
Yule mama anaweka nyama moja pembeni, kila mhudumu akitumwa Oda ya supu, mama anaweka supu halafu anachukua ka nyama kiduchu toka Ile nyama iliyopembeni na kutumbukiza kwenye supu.
Hata ukiagiza nyama choma maarufu pande na ugali lazima akuwekee ka pisi upate ladha. Ila juzi niliagiza kongoro tu bila ndizi Wala nini, nilimfuatilia Yule mhudumu na hakika sikuwekewa pisi la Ile nyama
 
Yuko mama mmoja huku Dar wilaya ya Ubungo ana jiko kwenye bar moja maarufu.
Yule mama anaweka nyama moja pembeni, kila mhudumu akitumwa Oda ya supu, mama anaweka supu halafu anachukua ka nyama kiduchu toka Ile nyama iliyopembeni na kutumbukiza kwenye supu.
Hata ukiagiza nyama choma maarufu pande na ugali lazima akuwekee ka pisi upate ladha. Ila juzi niliagiza kongoro tu bila ndizi Wala nini, nilimfuatilia Yule mhudumu na hakika sikuwekewa pisi la Ile nyama
Kabla ya kula omba MUNGU...

Watu wanafanya biashara za kishirikiana ..
 
Tatizo la wachaga ni unafiki. Kanisani wapo active kinyama ila nyuma ya pazia ni DANGER. Siku moja niko geto kwa jamaa yangu Arusha akaniambia leo inabidi usepe mapema kwa sababu kuna mganga flani anakuja kutoka sehemu flani kuonana na mteja ambaye ni jimama moja la kichaga lenye hela zake na mfuasi makini wa kanisa katoliki la mitume..... bahati mbaya wakati natoka yule mama nae ndo anafika nikapishana nae mlangoni. Nikiwa njiani nikapishana na yule mganga nae anaenda hapo. Baadae yule jamaa yangu akaniambia ilibidi wahamie hotel flani katikati ya mji kufanya shughuli yao ya kiganga kwasababu mimi kuonekana pale ilichafua hali ya hewa. Huo ni mfano mmoja tu ila wachaga nao hawako nyuma kwenye hayo mambo.
 
Waisrael wanachinja kwa Mungu...

Wachaga wanachinja kwa miungu...
we mungu wao unamjua wao ndo walituhadithia sisi tulichelewa kuwahadithia yakwetu. ulishawaza wanaweza wakawa wanafanya kinyume na mungu?
 
Wewe UCHAGANI kuna uchawi balaa asikwambie mtu tena kwa matambiko usipime
Alpkwambia WACHAGA hawatumii uchawi kakuongopea
Wapo tofauti na wengine kwa7bu wao ELIMU ni kipaumbele kwao tangu ENziI ya ukoloni
Mzimu wa kolelo
 
Tatizo la wachaga ni unafiki. Kanisani wapo active kinyama ila nyuma ya pazia ni DANGER. Siku moja niko geto kwa jamaa yangu Arusha akaniambia leo inabidi usepe mapema kwa sababu kuna mganga flani anakuja kutoka sehemu flani kuonana na mteja ambaye ni jimama moja la kichaga lenye hela zake na mfuasi makini wa kanisa katoliki la mitume..... bahati mbaya wakati natoka yule mama nae ndo anafika nikapishana nae mlangoni. Nikiwa njiani nikapishana na yule mganga nae anaenda hapo. Baadae yule jamaa yangu akaniambia ilibidi wahamie hotel flani katikati ya mji kufanya shughuli yao ya kiganga kwasababu mimi kuonekana pale ilichafua hali ya hewa. Huo ni mfano mmoja tu ila wachaga nao hawako nyuma kwenye hayo mambo.
same time maisha ndio yanaamua sababu za mishemishe hupendi ila kwenye riziki unakutana na mpare huku muha kule mkinga ukirudi huku jamaa wa handeni afu gafla mambo hayaendi huku na huku unajikuta kumbe wanakuchora anyway tuyaache.
 
Uchagani kuna yake pia nimeishi huko.Kule uchawi hakuna na hata kama upo ni ule wa0kununua. Sema kafara na matambiko ya damu ndio kipaumbele katika kulinda mali na utajiri. Na pia kwenye ishu za kutoa kafara kwa ajili ya mali kunategemea na uchagani ipi. Kwa mfano wachaga wa kuanzia hapo mwika , marangu na baadhi ya maeneo ya kibosho huko hawanaga sana harakati za makafara ya kupata mali .Ndiyo maeneo yenye wasomi wengi. Ila uchagani ya kuanzia mamsera kurudi mkuu .Mashati ,useri hadi tarakea pandisha hadi kikelelwa kule ni noma kwenye hizi mambo za makafara ya damu kwenye ishu za pesa na ni wakwepaji wazuri wa kodi plus biashara za magendo mpakani. Huu ni utafiti wangu binafsi japo naweza nisiwe correct.
 
Huko Bukoba, Mbeya, n.k. mtu anajenga peke yake nyumba kali kijiji kizima[emoji1787][emoji1787], hadi kuipata nyumba nyingine ya kisasa ni mbali sana,

Vijiji vya moshi nyumba kibao tu kali mitaani na hakuna kuhofia kupigwa kipapai
Sorry uliwahi kufika huko?
Tembea kidogo uone sio kila siku Dar moshi..

Hapa ni muleba Bukoba vijijini ...vijiji vya wahaya huko...



FyhB1PYaYAA1-MK.jpg
 
Mbona nyumba chache sana hivyo, [emoji23][emoji23][emoji23]
Acha upumbavu..huo.hicho ni kijiji na kule nyuma kuna ziwa...

Ndo maana wamekupa za uso unaposema moshi hakuna uchawi...kumbe ndo wanafanya uchawi kuliko wote nchi hii...

Hayo mambo ya kujiona bora kuliko jamii nyingine ni ushamba na ulimbukeni...Achana na hiz tabia
 
sema aina ya uchawi ukienda Dodoma kuna uchawi wa fisi watu wanatumia fisi na ukija pwani ni uchawi wa mapaka ,zogo .

Kilimanjaro ni watumiaji wa uchawi wa makafara yakiwa ni kumwaga damu na kutoa watoto akili yaani kuwafnya mazezeta.

Kigoma ndo hatari kabisa unaweza kupigwa na radi kweny jua la Saa 7 .
Mzee unaposema ddm wanatumia uchawi wa fisi Ni Kweli IPO maeneo gani ,mm Niko ihumwa mm

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Nakuelekeza chimbo la waganga wa Wachaga. Ukifika stendi panda magari ya TPC. Ukishuka TPC chukua boda mwambie akupeleke kwa mtaalam barabara ya kuelekea Simanjiro ukivuka daraja tu kata kulia. Yaani hawana aibu wanapiga ndumba mchana kweupe.
Uchawi mkubwa ni wa wazee kuharibiana vijana baada ya kutambiana siku za Xmass. Uchawi mwingine ni kupigana vipapai kwa ugomvi wa mipaka ya mashamba.
Usiniulize nilijuaje hili chimbo.
Nimelisikiaga Hilo chimbo Kuna demu wangu ex wangu alipata kunieleza Hilo Jambo alpelekwa na bwna ake kwenda kutoa kafara mtot ili wapate pesa dunia hi inamaajabu mno

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom