Karibu kila mkoa hapa Tanzania una sifa ya uchawi, kwanini mkoa wa Kilimanjaro umeshika mkia?

Karibu kila mkoa hapa Tanzania una sifa ya uchawi, kwanini mkoa wa Kilimanjaro umeshika mkia?

sema aina ya uchawi ukienda Dodoma kuna uchawi wa fisi watu wanatumia fisi na ukija pwani ni uchawi wa mapaka ,zogo .

Kilimanjaro ni watumiaji wa uchawi wa makafara yakiwa ni kumwaga damu na kutoa watoto akili yaani kuwafnya mazezeta.

Kigoma ndo hatari kabisa unaweza kupigwa na radi kweny jua la Saa 7 .
[emoji23][emoji23][emoji23] unaweza pigwa na radi jua la saa 7 mchana[emoji119]
 
ile ni mila tuu ya kawaida katika koo nyingi ila sasa kuna wenye hela zao za moto ndio huchinja bila kufwata maswala ya mila utaambia ni ya kula tuu kila siku ni nyama sasa wewe nenda kula nawa mikono yale maji mlionawia mikono hawamwagi hapo ndo utajua hujui.
Hii nimeogopa ninavyopenda kualikwa kula nyama choma kwa watu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii nimeogopa ninavyopenda kualikwa kula nyama choma kwa watu [emoji23][emoji23][emoji23]
maji hawamwagi mtani yanapelekwa kwa msisi ama handeni wakati wanarudi dar hio january mnasema mambo magumu watu wanapiga hela balaa. nyota zenu zimesombwa kwa ho njia
 
Na hapa nikiwa specific zaidi ni sehemu walizopo wachaga maana Mkoa huu hata wapare wanaishi na habari za uchawi zipo huko kwao Same.

Na kweli nikifikiria uchawi hauna maendeleo na nikiona vijiji vya huko vilivyoendelea watu wanashusha mijengo bila hofu ya kupigwa vipapai nazidi kuona huku uchawi si tatizo kama sehemu zingine.

Uchawi una lengo la kuua, kuharibu, kufarakanisha, n.k, uchawi haunaga maendeleo na ukiwa na maendeleo basi ni ya machoni tu ila kuna masharti magumu.

Naomba pia tutofautishe Uchawi na Matambiko ya kimila, hivi ni vitu viwili tofauti, matambiko ya kimila hata waIsrael waliyafanya kwa kuchinja wanyama kuondoa dhambi na hata sasa ujio wa kanisa la tatu walishaelekezwa wakija kupata ngombe wekundu watatu wachinje iwe tambiko.

Sasa tukija kwenye huu uchawi ni kwanini mkoa wa Kilimanjaro upo nyuma sana ? Yani huko hata kupata mganga tu ni ishu, mtu akitaka uchawi labda anunue
Mnama sasa hiv tunazungumzia bandari bana
 
Sehemu inayofanywa matambiko, mshirikina hawezi kuishi. Ndivyo kulivyo uchagani.

Ukizingua wazee wanakuita wanakukanya, anachinjwa mnyama mambo yanaisha. Sasa wewe jifanye nunda uone.kitachokupata.
 
Na hapa nikiwa specific zaidi ni sehemu walizopo wachaga maana Mkoa huu hata wapare wanaishi na habari za uchawi zipo huko kwao Same.

Na kweli nikifikiria uchawi hauna maendeleo na nikiona vijiji vya huko vilivyoendelea watu wanashusha mijengo bila hofu ya kupigwa vipapai nazidi kuona huku uchawi si tatizo kama sehemu zingine.

Uchawi una lengo la kuua, kuharibu, kufarakanisha, n.k, uchawi haunaga maendeleo na ukiwa na maendeleo basi ni ya machoni tu ila kuna masharti magumu.

Naomba pia tutofautishe Uchawi na Matambiko ya kimila, hivi ni vitu viwili tofauti, matambiko ya kimila hata waIsrael waliyafanya kwa kuchinja wanyama kuondoa dhambi na hata sasa ujio wa kanisa la tatu walishaelekezwa wakija kupata ngombe wekundu watatu wachinje iwe tambiko.

Sasa tukija kwenye huu uchawi ni kwanini mkoa wa Kilimanjaro upo nyuma sana ? Yani huko hata kupata mganga tu ni ishu, mtu akitaka uchawi labda anunue
Sisi tunatafuta hela kwa jasho hatuamini hayo makitu.
Na tunazitumia kama hatuna akili ndio furaha yetu.
Wee anagalia wanaotumia huo uchawi maendelea yao kama wanayafaidi zaidi ya majanga na mateso nabhata matumizi hawafurahi jasho lao
 
Naapa naaapa naaapa tena I swear hakuna uchawi uchagani, wachawi na wanga wapo huko kwenu, kilimanjaro ni sehem salama sana hakuna mfano tz yote
 
Na hapa nikiwa specific zaidi ni sehemu walizopo wachaga maana Mkoa huu hata wapare wanaishi na habari za uchawi zipo huko kwao Same.

Na kweli nikifikiria uchawi hauna maendeleo na nikiona vijiji vya huko vilivyoendelea watu wanashusha mijengo bila hofu ya kupigwa vipapai nazidi kuona huku uchawi si tatizo kama sehemu zingine.

Uchawi una lengo la kuua, kuharibu, kufarakanisha, n.k, uchawi haunaga maendeleo na ukiwa na maendeleo basi ni ya machoni tu ila kuna masharti magumu.

Naomba pia tutofautishe Uchawi na Matambiko ya kimila, hivi ni vitu viwili tofauti, matambiko ya kimila hata waIsrael waliyafanya kwa kuchinja wanyama kuondoa dhambi na hata sasa ujio wa kanisa la tatu walishaelekezwa wakija kupata ngombe wekundu watatu wachinje iwe tambiko.

Sasa tukija kwenye huu uchawi ni kwanini mkoa wa Kilimanjaro upo nyuma sana ? Yani huko hata kupata mganga tu ni ishu, mtu akitaka uchawi labda anunue
wachagga ni waisrael,walitokea maeneo ya kaskazini mwa ethiopia walipokimbia vita,na ata kuna koo kama mushi majina yake yapo ndani ya biblia,,,,ata mila za waisrael wa kale ndo hizohizo wanazofanya wachagga,ndo manake unaona wachagga wengi wanapenda sana kumtumikia MUNGU!!
 
Na hapa nikiwa specific zaidi ni sehemu walizopo wachaga maana Mkoa huu hata wapare wanaishi na habari za uchawi zipo huko kwao Same.

Na kweli nikifikiria uchawi hauna maendeleo na nikiona vijiji vya huko vilivyoendelea watu wanashusha mijengo bila hofu ya kupigwa vipapai nazidi kuona huku uchawi si tatizo kama sehemu zingine.

Uchawi una lengo la kuua, kuharibu, kufarakanisha, n.k, uchawi haunaga maendeleo na ukiwa na maendeleo basi ni ya machoni tu ila kuna masharti magumu.

Naomba pia tutofautishe Uchawi na Matambiko ya kimila, hivi ni vitu viwili tofauti, matambiko ya kimila hata waIsrael waliyafanya kwa kuchinja wanyama kuondoa dhambi na hata sasa ujio wa kanisa la tatu walishaelekezwa wakija kupata ngombe wekundu watatu wachinje iwe tambiko.

Sasa tukija kwenye huu uchawi ni kwanini mkoa wa Kilimanjaro upo nyuma sana ? Yani huko hata kupata mganga tu ni ishu, mtu akitaka uchawi labda anunue
Wanatunziana siri wanakulana kimya kimya, nimewasikia wakiambiana kule kwetu nikienda siku nakuondoka hakuna kuaga kwana kukaa pale haizi siku 3, nikamuuliza kumbe nahuko mnageuzana usiku? [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wewe UCHAGANI kuna uchawi balaa asikwambie mtu tena kwa matambiko usipime
Alpkwambia WACHAGA hawatumii uchawi kakuongopea
Wapo tofauti na wengine kwa7bu wao ELIMU ni kipaumbele kwao tangu ENziI ya ukoloni
Ni siri ndiyo maana hawapendi kuoa makabila mengine ili wasivujishe siri [emoji3][emoji3] kuna siku nilipita duka moja halafu tunafahamiana nakuta mwenye duka anafanya yake nilipigwa na mshangao mkubwa [emoji30][emoji30], sikuwahi kununua tena, sahizi kafa sijui aliumwa nini!
 
Back
Top Bottom