Wakilimsomitz
Senior Member
- Jul 1, 2023
- 134
- 208
[emoji23][emoji23][emoji23] unaweza pigwa na radi jua la saa 7 mchana[emoji119]sema aina ya uchawi ukienda Dodoma kuna uchawi wa fisi watu wanatumia fisi na ukija pwani ni uchawi wa mapaka ,zogo .
Kilimanjaro ni watumiaji wa uchawi wa makafara yakiwa ni kumwaga damu na kutoa watoto akili yaani kuwafnya mazezeta.
Kigoma ndo hatari kabisa unaweza kupigwa na radi kweny jua la Saa 7 .
Asiee ujinga sna huu mm sielewi kbsa yaniUchawi unarudisha maendeleo nyuma watu wanaogopa hata kujenga vizuri kwa hofu ya kupigwa vipapai, ingekuwa hivi vijiji vya moshi wangekuwa wanajenga vizuri ?
Hii nimeogopa ninavyopenda kualikwa kula nyama choma kwa watu [emoji23][emoji23][emoji23]ile ni mila tuu ya kawaida katika koo nyingi ila sasa kuna wenye hela zao za moto ndio huchinja bila kufwata maswala ya mila utaambia ni ya kula tuu kila siku ni nyama sasa wewe nenda kula nawa mikono yale maji mlionawia mikono hawamwagi hapo ndo utajua hujui.
maji hawamwagi mtani yanapelekwa kwa msisi ama handeni wakati wanarudi dar hio january mnasema mambo magumu watu wanapiga hela balaa. nyota zenu zimesombwa kwa ho njiaHii nimeogopa ninavyopenda kualikwa kula nyama choma kwa watu [emoji23][emoji23][emoji23]
Je wanaochinja kila Mwaka kule Makkah utawasemaje?Mila ni kafara ya kichawi...
Unachinja unaongea na watu waliokufa mizimu ili iweje...
Sio kawaida
Mnama sasa hiv tunazungumzia bandari banaNa hapa nikiwa specific zaidi ni sehemu walizopo wachaga maana Mkoa huu hata wapare wanaishi na habari za uchawi zipo huko kwao Same.
Na kweli nikifikiria uchawi hauna maendeleo na nikiona vijiji vya huko vilivyoendelea watu wanashusha mijengo bila hofu ya kupigwa vipapai nazidi kuona huku uchawi si tatizo kama sehemu zingine.
Uchawi una lengo la kuua, kuharibu, kufarakanisha, n.k, uchawi haunaga maendeleo na ukiwa na maendeleo basi ni ya machoni tu ila kuna masharti magumu.
Naomba pia tutofautishe Uchawi na Matambiko ya kimila, hivi ni vitu viwili tofauti, matambiko ya kimila hata waIsrael waliyafanya kwa kuchinja wanyama kuondoa dhambi na hata sasa ujio wa kanisa la tatu walishaelekezwa wakija kupata ngombe wekundu watatu wachinje iwe tambiko.
Sasa tukija kwenye huu uchawi ni kwanini mkoa wa Kilimanjaro upo nyuma sana ? Yani huko hata kupata mganga tu ni ishu, mtu akitaka uchawi labda anunue
Vipi kuhusu Abrahamu, baba wa imani?Mila ni kafara ya kichawi...
Unachinja unaongea na watu waliokufa mizimu ili iweje...
Sio kawaida
Sisi tunatafuta hela kwa jasho hatuamini hayo makitu.Na hapa nikiwa specific zaidi ni sehemu walizopo wachaga maana Mkoa huu hata wapare wanaishi na habari za uchawi zipo huko kwao Same.
Na kweli nikifikiria uchawi hauna maendeleo na nikiona vijiji vya huko vilivyoendelea watu wanashusha mijengo bila hofu ya kupigwa vipapai nazidi kuona huku uchawi si tatizo kama sehemu zingine.
Uchawi una lengo la kuua, kuharibu, kufarakanisha, n.k, uchawi haunaga maendeleo na ukiwa na maendeleo basi ni ya machoni tu ila kuna masharti magumu.
Naomba pia tutofautishe Uchawi na Matambiko ya kimila, hivi ni vitu viwili tofauti, matambiko ya kimila hata waIsrael waliyafanya kwa kuchinja wanyama kuondoa dhambi na hata sasa ujio wa kanisa la tatu walishaelekezwa wakija kupata ngombe wekundu watatu wachinje iwe tambiko.
Sasa tukija kwenye huu uchawi ni kwanini mkoa wa Kilimanjaro upo nyuma sana ? Yani huko hata kupata mganga tu ni ishu, mtu akitaka uchawi labda anunue
Abrahamu alikuwa anachinja kumtolea sadaka Mungu sio hao watoa sadaka kwa wafu au mizimuVipi kuhusu Abrahamu, baba wa imani?
Na wao wanatoa sadaka kwa Ruwa ambaye ni Mungu pia.Abrahamu alikuwa anachinja kumtolea sadaka Mungu sio hao watoa sadaka kwa wafu au mizimu
Mkoa wa MusomaNi sahihi.Kama vile mkoa wa Songea na mkoa wa Kibaha.Oops!Sorry nipo sehemu Ina kelele sana ndiyo nikachanganya mambo.
wachagga ni waisrael,walitokea maeneo ya kaskazini mwa ethiopia walipokimbia vita,na ata kuna koo kama mushi majina yake yapo ndani ya biblia,,,,ata mila za waisrael wa kale ndo hizohizo wanazofanya wachagga,ndo manake unaona wachagga wengi wanapenda sana kumtumikia MUNGU!!Na hapa nikiwa specific zaidi ni sehemu walizopo wachaga maana Mkoa huu hata wapare wanaishi na habari za uchawi zipo huko kwao Same.
Na kweli nikifikiria uchawi hauna maendeleo na nikiona vijiji vya huko vilivyoendelea watu wanashusha mijengo bila hofu ya kupigwa vipapai nazidi kuona huku uchawi si tatizo kama sehemu zingine.
Uchawi una lengo la kuua, kuharibu, kufarakanisha, n.k, uchawi haunaga maendeleo na ukiwa na maendeleo basi ni ya machoni tu ila kuna masharti magumu.
Naomba pia tutofautishe Uchawi na Matambiko ya kimila, hivi ni vitu viwili tofauti, matambiko ya kimila hata waIsrael waliyafanya kwa kuchinja wanyama kuondoa dhambi na hata sasa ujio wa kanisa la tatu walishaelekezwa wakija kupata ngombe wekundu watatu wachinje iwe tambiko.
Sasa tukija kwenye huu uchawi ni kwanini mkoa wa Kilimanjaro upo nyuma sana ? Yani huko hata kupata mganga tu ni ishu, mtu akitaka uchawi labda anunue
Nani kakudanganya wachawi wakubwa huko wanatumia uchawi wa mizimu...
Wapare hao...
Wanaamsha maiti kwa ngoma za madogori...
Ni hatari sana...
Shigheni vuthavi...[emoji1787]Uongo
Wanatunziana siri wanakulana kimya kimya, nimewasikia wakiambiana kule kwetu nikienda siku nakuondoka hakuna kuaga kwana kukaa pale haizi siku 3, nikamuuliza kumbe nahuko mnageuzana usiku? [emoji3][emoji3][emoji3]Na hapa nikiwa specific zaidi ni sehemu walizopo wachaga maana Mkoa huu hata wapare wanaishi na habari za uchawi zipo huko kwao Same.
Na kweli nikifikiria uchawi hauna maendeleo na nikiona vijiji vya huko vilivyoendelea watu wanashusha mijengo bila hofu ya kupigwa vipapai nazidi kuona huku uchawi si tatizo kama sehemu zingine.
Uchawi una lengo la kuua, kuharibu, kufarakanisha, n.k, uchawi haunaga maendeleo na ukiwa na maendeleo basi ni ya machoni tu ila kuna masharti magumu.
Naomba pia tutofautishe Uchawi na Matambiko ya kimila, hivi ni vitu viwili tofauti, matambiko ya kimila hata waIsrael waliyafanya kwa kuchinja wanyama kuondoa dhambi na hata sasa ujio wa kanisa la tatu walishaelekezwa wakija kupata ngombe wekundu watatu wachinje iwe tambiko.
Sasa tukija kwenye huu uchawi ni kwanini mkoa wa Kilimanjaro upo nyuma sana ? Yani huko hata kupata mganga tu ni ishu, mtu akitaka uchawi labda anunue
Ni siri ndiyo maana hawapendi kuoa makabila mengine ili wasivujishe siri [emoji3][emoji3] kuna siku nilipita duka moja halafu tunafahamiana nakuta mwenye duka anafanya yake nilipigwa na mshangao mkubwa [emoji30][emoji30], sikuwahi kununua tena, sahizi kafa sijui aliumwa nini!Wewe UCHAGANI kuna uchawi balaa asikwambie mtu tena kwa matambiko usipime
Alpkwambia WACHAGA hawatumii uchawi kakuongopea
Wapo tofauti na wengine kwa7bu wao ELIMU ni kipaumbele kwao tangu ENziI ya ukoloni