Karibu kwenye saluni ya jf

Karibu kwenye saluni ya jf

shosti yaani nimecheka hadi machozi. etii mie dume la mbegu. na mume wangu Kaizer atakuwa nani? btw naomba uniulizie kwa Washawasha kusuka sangita bei gani?
Tunachaji Tsh 4100/= lakini inategemea ukubwa wa kichwa chako,kichwa kikiwa kikubwa bei inazidi na kikiwa kidogo bei inapungua.
Nalog off
 

bora saluni ya kike umbea unaruhusiwa
maana nilivyo mmbea,kila siku mi na saluni
ili ninyake yaliyojiri duniani!!
Basi msusi wetu farkhina atakuwa anakuvuta sana ikifika zamu yako,maana yeye haupendi umbea.
Nalog off
 
Last edited by a moderator:
hahaha mzee wa nalog off naona hajasoma mchezo bado....asante kwa kunijuza Free Thinker.... @Washawasha, FYI DEMBA ni kichuna wangu wa ukwee.....mbabes wangu nampenda sana
Ni kweli ujue wakati naingalia picha ya my wife wako nilikuwa nimefumba jicho moja baada ya kukatwa kibao na mteja mmoja niliyemuharibu style aliyokuwa akiitaka,basi nikajikuta naandika sivyo ndivyo,niwie radhi mkuu.
Nalog off
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli ujue wakati naingalia picha ya my wife wako nilikuwa nimefumba jicho moja baada ya kukatwa kibao na mteja mmoja niliyemuharibu style aliyokuwa akiitaka,basi nikajikuta naandika sivyo ndivyo,niwie radhi mkuu.
Nalog off
mecheka sana wallah

yaani mteja anaruhusiwa kukkata kibao ukiharibu style? alikuwa Free Thinker nini?
 
Last edited by a moderator:
huwaga sinyoi kwenye saloon za kilala hoi
bei yake utafikiri nampa paka wangu aende nunua pipi?
Basi mlete huyo paka wako tuwe tunamnyoa,bei ni maelewano ukitaka zaidi ya hapo tunakuchaji pia.
Nalog off
 
Back
Top Bottom