Joseph Ludovick
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 364
- 468
Relax tuuu naona matarajio yamekudhurumuChungu tamu....furaha ya wengi kwa Lissu kuchaguliwa itageuka chungu kwa sababu Chadema kinakwenda kusambaratika. Sababu za kusambaratika ziko wazi. Siwapongezi nawapa pole.
Kwa heri Chadema
peleka mbali uchuro wakoChungu tamu....furaha ya wengi kwa Lissu kuchaguliwa itageuka chungu kwa sababu Chadema kinakwenda kusambaratika. Sababu za kusambaratika ziko wazi. Siwapongezi nawapa pole.
Kwa heri Chadema
pole japo inakuuma chadema itakwepo sanaChungu tamu....furaha ya wengi kwa Lissu kuchaguliwa itageuka chungu kwa sababu Chadema kinakwenda kusambaratika. Sababu za kusambaratika ziko wazi. Siwapongezi nawapa pole.
Kwa heri Chadema
Yaan Una Lissu, Heche, Lema, Msigwa, Pambalu , Akina Lwaitama na Wazee wenzake.Chungu tamu....furaha ya wengi kwa Lissu kuchaguliwa itageuka chungu kwa sababu Chadema kinakwenda kusambaratika. Sababu za kusambaratika ziko wazi. Siwapongezi nawapa pole.
Kwa heri Chadema
Chadema inakwenda kuwasha Moto tulia dawa ikuingie,hiyo ndiyo Chadema buana.Chungu tamu....furaha ya wengi kwa Lissu kuchaguliwa itageuka chungu kwa sababu Chadema kinakwenda kusambaratika. Sababu za kusambaratika ziko wazi. Siwapongezi nawapa pole.
Kwa heri Chadema
Hoja yake huyo Mzee ni kua, Lisssu MTU wa misimamo ataipelekesha Dola, hivo Dola itarespond Kwa kujaribu kuivunjavunja vipande .Kwa nini kitasambaratika?
Karibu Lisu Nawiri Chadema.Nawasalimu wote waliokuja Chadema kwa mkopo ili kuwapigia kampeni wagombea wao kutoka chama jiraniChungu tamu....furaha ya wengi kwa Lissu kuchaguliwa itageuka chungu kwa sababu Chadema kinakwenda kusambaratika. Sababu za kusambaratika ziko wazi. Siwapongezi nawapa pole.
Kwa heri Chadema
Bado hujasema, Lissu wapelekee motoChungu tamu....furaha ya wengi kwa Lissu kuchaguliwa itageuka chungu kwa sababu Chadema kinakwenda kusambaratika. Sababu za kusambaratika ziko wazi. Siwapongezi nawapa pole.
Kwa heri Chadema
Msigwa amerudi CHADEMA?Yaan Una Lissu, Heche, Lema, Msigwa, Pambalu , Akina Lwaitama na Wazee wenzake.
CHADEMA ipotee??.
Ninakupa Onyo wewe na Dola, LISSU KUA KWAKE MWENYEKITI KUMEBADILI PROFILE YAKE, SASA KIMATAIFA ANAJULIKANA.
Msije kujichanganya , narudia msije kujichanganya.
Kwa bahati mbaya sana, LISSU anawajua udhaifu wenu ulipo, Njia za mwerevu na Mwenye Haki, Huwa hazitegeshwi Miiba.
Wewe ndiye tukupe kwa heri. Ulilopanga halijawa na halitakuwa.Chungu tamu....furaha ya wengi kwa Lissu kuchaguliwa itageuka chungu kwa sababu Chadema kinakwenda kusambaratika. Sababu za kusambaratika ziko wazi. Siwapongezi nawapa pole.
Kwa heri Chadema
Anarudi .Msigwa amerudi CHADEMA?
Jikande kwanzaChungu tamu....furaha ya wengi kwa Lissu kuchaguliwa itageuka chungu kwa sababu Chadema kinakwenda kusambaratika. Sababu za kusambaratika ziko wazi. Siwapongezi nawapa pole.
Kwa heri Chadema