Karibu Lissu, kwaheri CHADEMA

Karibu Lissu, kwaheri CHADEMA

Chungu tamu, furaha ya wengi kwa Lissu kuchaguliwa itageuka chungu kwa sababu Chadema kinakwenda kusambaratika. Sababu za kusambaratika ziko wazi. Siwapongezi nawapa pole.

Kwaheri CHADEMA.
Pole sana.
Katika hatua ya kukubaliana na kushindwa hii ni moja wapo ya stage lazima uipitie.

Endelea kuvuta oxygen utakaa sawa tuu.
 
Chungu tamu, furaha ya wengi kwa Lissu kuchaguliwa itageuka chungu kwa sababu Chadema kinakwenda kusambaratika. Sababu za kusambaratika ziko wazi. Siwapongezi nawapa pole.

Kwaheri CHADEMA.
Kawajense, kirando, kantalamba, Milanzi, Chipu.?
 
Chungu tamu, furaha ya wengi kwa Lissu kuchaguliwa itageuka chungu kwa sababu Chadema kinakwenda kusambaratika. Sababu za kusambaratika ziko wazi. Siwapongezi nawapa pole.

Kwaheri CHADEMA.
Kwaheri CCM.
 
Chungu tamu, furaha ya wengi kwa Lissu kuchaguliwa itageuka chungu kwa sababu Chadema kinakwenda kusambaratika. Sababu za kusambaratika ziko wazi. Siwapongezi nawapa pole.

Kwaheri CHADEMA.
Atawaburuza Hadi akili ziwakae sawa,tuko palee
 
... ni kweli, sasa CHADEMA haina mwenyewe, na kwa sababu haina dola na isipoipata kwa muda mrefu, basi itatafunwa kama shirika la umma lolote! (IT'S NO LONGER AN EFFICIENT, CHAGA BUSINESS IT WAS!)
NB: DON'T TAKE MY CHAGA LINES ABOVE AS TRIBALISTIC, ... JUST BUSINESS!
 
Chungu tamu, furaha ya wengi kwa Lissu kuchaguliwa itageuka chungu kwa sababu Chadema kinakwenda kusambaratika. Sababu za kusambaratika ziko wazi. Siwapongezi nawapa pole.

Kwaheri CHADEMA.
Huna akili wewe labda wewe ndio mkeo akusambaratishe na uwezo wako mdogo wa maono.
 
01JJ6FS6ZTKNBR96AA2GP4QFCN.jpg

STRONGER TOGETHER
 
Lissu Hana uwezo kukiendesha chama!
Lema na Heche wajiandae kwenda Jela mapema, na hakuna cha 4R tena
 
Yaan Una Lissu, Heche, Lema, Msigwa, Pambalu , Akina Lwaitama na Wazee wenzake.

CHADEMA ipotee??.


Ninakupa Onyo wewe na Dola, LISSU KUA KWAKE MWENYEKITI KUMEBADILI PROFILE YAKE, SASA KIMATAIFA ANAJULIKANA.


Msije kujichanganya , narudia msije kujichanganya.

Kwa bahati mbaya sana, LISSU anawajua udhaifu wenu ulipo, Njia za mwerevu na Mwenye Haki, Huwa hazitegeshwi Miiba.
Huyu usingemjibu. Ni mwendo wa kushuhudia kwa macho yake namna chadema itakavyotamba
 
Chungu tamu, furaha ya wengi kwa Lissu kuchaguliwa itageuka chungu kwa sababu Chadema kinakwenda kusambaratika. Sababu za kusambaratika ziko wazi. Siwapongezi nawapa pole.

Kwaheri CHADEMA.
Ujinga nao ni kipaji! Tumia akili acha kupiga ramli!
 
mkuu tulia hiyo ni falsafa ya 4R in positive and real way sio ile ya propaganda.
 
Chadema haiwezi kusambaratika this time, badala yake inaenda kuimarika na kupokea wanachama/mashabiki wapya.
 
Back
Top Bottom