Karibu Lissu, kwaheri CHADEMA

Karibu Lissu, kwaheri CHADEMA

Yaan Una Lissu, Heche, Lema, Msigwa, Pambalu , Akina Lwaitama na Wazee wenzake.

CHADEMA ipotee??.


Ninakupa Onyo wewe na Dola, LISSU KUA KWAKE MWENYEKITI KUMEBADILI PROFILE YAKE, SASA KIMATAIFA ANAJULIKANA.


Msije kujichanganya , narudia msije kujichanganya.

Kwa bahati mbaya sana, LISSU anawajua udhaifu wenu ulipo, Njia za mwerevu na Mwenye Haki, Huwa hazitegeshwi Miiba.
Mkuu MSIGWA anafanya nini kwenye hiyo list yako?
 
Chungu tamu....furaha ya wengi kwa Lissu kuchaguliwa itageuka chungu kwa sababu Chadema kinakwenda kusambaratika. Sababu za kusambaratika ziko wazi. Siwapongezi nawapa pole.
Kwa heri Chadema
Unachoshindwa kujua ni kuwa .CHADEMA ipo mioyoni mwa watu,kusambaratika kwake ni labda kuuwa miyo ya watu mkuu..
 
Chungu tamu....furaha ya wengi kwa Lissu kuchaguliwa itageuka chungu kwa sababu Chadema kinakwenda kusambaratika. Sababu za kusambaratika ziko wazi. Siwapongezi nawapa pole.
Kwa heri Chadema
Pole mkuu, taratibu utazoea.
 
Chungu tamu....furaha ya wengi kwa Lissu kuchaguliwa itageuka chungu kwa sababu Chadema kinakwenda kusambaratika. Sababu za kusambaratika ziko wazi. Siwapongezi nawapa pole.
Kwa heri Chadema
Umeandika ukweli mtupu Lisu asipojirekebisha atakiua chama
 
Yaan Una Lissu, Heche, Lema, Msigwa, Pambalu , Akina Lwaitama na Wazee wenzake.

CHADEMA ipotee??.


Ninakupa Onyo wewe na Dola, LISSU KUA KWAKE MWENYEKITI KUMEBADILI PROFILE YAKE, SASA KIMATAIFA ANAJULIKANA.


Msije kujichanganya , narudia msije kujichanganya.

Kwa bahati mbaya sana, LISSU anawajua udhaifu wenu ulipo, Njia za mwerevu na Mwenye Haki, Huwa hazitegeshwi Miiba.
Ajirekebishe aache mihemuko
 
Chungu tamu....furaha ya wengi kwa Lissu kuchaguliwa itageuka chungu kwa sababu Chadema kinakwenda kusambaratika. Sababu za kusambaratika ziko wazi. Siwapongezi nawapa pole.
Kwa heri Chadema
Tuondolee utaahira wako hapa. Shwaini wa kijani wewe
 
Yaan Una Lissu, Heche, Lema, Msigwa, Pambalu , Akina Lwaitama na Wazee wenzake.

CHADEMA ipotee??.


Ninakupa Onyo wewe na Dola, LISSU KUA KWAKE MWENYEKITI KUMEBADILI PROFILE YAKE, SASA KIMATAIFA ANAJULIKANA.


Msije kujichanganya , narudia msije kujichanganya.

Kwa bahati mbaya sana, LISSU anawajua udhaifu wenu ulipo, Njia za mwerevu na Mwenye Haki, Huwa hazitegeshwi Miiba.
kimataifa, ile package ya mabalozi iliyohudhuria si ya kubeza
 
Hoja yake huyo Mzee ni kua, Lisssu MTU wa misimamo ataipelekesha Dola, hivo Dola itarespond Kwa kujaribu kuivunjavunja vipande .

Na Hilo ndo litakua kosa la Dola.
Asichojua huyo nguruwe wa kijani ni kuwa ndani ya dola kuna watu wanaichukia CCM hii kuliko hata sisi tunavyoichukia kwani wao wanayajua maovu mengi ya utawala huu kuliko tunayoyajua.
 
Chungu tamu....furaha ya wengi kwa Lissu kuchaguliwa itageuka chungu kwa sababu Chadema kinakwenda kusambaratika. Sababu za kusambaratika ziko wazi. Siwapongezi nawapa pole.
Kwa heri Chadema
Ukisikia uchawi ndio huu.
 
Chungu tamu....furaha ya wengi kwa Lissu kuchaguliwa itageuka chungu kwa sababu Chadema kinakwenda kusambaratika. Sababu za kusambaratika ziko wazi. Siwapongezi nawapa pole.
Kwa heri Chadema
Utapiga mno ramli lakini cdm ipo sana tu
 
Utakufa wewe utaiacha cdm ikiwatumikia watz kwa uzalendo mkubwa
 
Back
Top Bottom