Nilipe nisepe
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 446
- 971
Mkuu MSIGWA anafanya nini kwenye hiyo list yako?Yaan Una Lissu, Heche, Lema, Msigwa, Pambalu , Akina Lwaitama na Wazee wenzake.
CHADEMA ipotee??.
Ninakupa Onyo wewe na Dola, LISSU KUA KWAKE MWENYEKITI KUMEBADILI PROFILE YAKE, SASA KIMATAIFA ANAJULIKANA.
Msije kujichanganya , narudia msije kujichanganya.
Kwa bahati mbaya sana, LISSU anawajua udhaifu wenu ulipo, Njia za mwerevu na Mwenye Haki, Huwa hazitegeshwi Miiba.
Unachoshindwa kujua ni kuwa .CHADEMA ipo mioyoni mwa watu,kusambaratika kwake ni labda kuuwa miyo ya watu mkuu..Chungu tamu....furaha ya wengi kwa Lissu kuchaguliwa itageuka chungu kwa sababu Chadema kinakwenda kusambaratika. Sababu za kusambaratika ziko wazi. Siwapongezi nawapa pole.
Kwa heri Chadema
Pole mkuu, taratibu utazoea.Chungu tamu....furaha ya wengi kwa Lissu kuchaguliwa itageuka chungu kwa sababu Chadema kinakwenda kusambaratika. Sababu za kusambaratika ziko wazi. Siwapongezi nawapa pole.
Kwa heri Chadema
Kanyeutawaze Mwasi Kitoko kabisa weweChungu tamu....furaha ya wengi kwa Lissu kuchaguliwa itageuka chungu kwa sababu Chadema kinakwenda kusambaratika. Sababu za kusambaratika ziko wazi. Siwapongezi nawapa pole.
Kwa heri Chadema
Umeandika ukweli mtupu Lisu asipojirekebisha atakiua chamaChungu tamu....furaha ya wengi kwa Lissu kuchaguliwa itageuka chungu kwa sababu Chadema kinakwenda kusambaratika. Sababu za kusambaratika ziko wazi. Siwapongezi nawapa pole.
Kwa heri Chadema
Ajirekebishe aache mihemukoYaan Una Lissu, Heche, Lema, Msigwa, Pambalu , Akina Lwaitama na Wazee wenzake.
CHADEMA ipotee??.
Ninakupa Onyo wewe na Dola, LISSU KUA KWAKE MWENYEKITI KUMEBADILI PROFILE YAKE, SASA KIMATAIFA ANAJULIKANA.
Msije kujichanganya , narudia msije kujichanganya.
Kwa bahati mbaya sana, LISSU anawajua udhaifu wenu ulipo, Njia za mwerevu na Mwenye Haki, Huwa hazitegeshwi Miiba.
yuko njiani katanguliza begi ile ilikuwa hasira tuMsigwa amerudi CHADEMA?
HILI BANGO KIBOKO !Hatimaye sultan na washindia mashati ya ccm wame ondoka
View attachment 3209981
Chizi huyu alishanunuliwa siku nyingi na CCM akaondoka CHADEMA eti saivi ndo anajifanya kaondoka CHADEMA.Bado hujasema, Lissu wapelekee moto
Tuondolee utaahira wako hapa. Shwaini wa kijani weweChungu tamu....furaha ya wengi kwa Lissu kuchaguliwa itageuka chungu kwa sababu Chadema kinakwenda kusambaratika. Sababu za kusambaratika ziko wazi. Siwapongezi nawapa pole.
Kwa heri Chadema
hii nakuunga mkonoChungu tamu....furaha ya wengi kwa Lissu kuchaguliwa itageuka chungu kwa sababu Chadema kinakwenda kusambaratika. Sababu za kusambaratika ziko wazi. Siwapongezi nawapa pole.
Kwa heri Chadema
kimataifa, ile package ya mabalozi iliyohudhuria si ya kubezaYaan Una Lissu, Heche, Lema, Msigwa, Pambalu , Akina Lwaitama na Wazee wenzake.
CHADEMA ipotee??.
Ninakupa Onyo wewe na Dola, LISSU KUA KWAKE MWENYEKITI KUMEBADILI PROFILE YAKE, SASA KIMATAIFA ANAJULIKANA.
Msije kujichanganya , narudia msije kujichanganya.
Kwa bahati mbaya sana, LISSU anawajua udhaifu wenu ulipo, Njia za mwerevu na Mwenye Haki, Huwa hazitegeshwi Miiba.
Asichojua huyo nguruwe wa kijani ni kuwa ndani ya dola kuna watu wanaichukia CCM hii kuliko hata sisi tunavyoichukia kwani wao wanayajua maovu mengi ya utawala huu kuliko tunayoyajua.Hoja yake huyo Mzee ni kua, Lisssu MTU wa misimamo ataipelekesha Dola, hivo Dola itarespond Kwa kujaribu kuivunjavunja vipande .
Na Hilo ndo litakua kosa la Dola.
Mtakufa nyie wachawi wa CCMUmeandika ukweli mtupu Lisu asipojirekebisha atakiua chama
Ukisikia uchawi ndio huu.Chungu tamu....furaha ya wengi kwa Lissu kuchaguliwa itageuka chungu kwa sababu Chadema kinakwenda kusambaratika. Sababu za kusambaratika ziko wazi. Siwapongezi nawapa pole.
Kwa heri Chadema
Utapiga mno ramli lakini cdm ipo sana tuChungu tamu....furaha ya wengi kwa Lissu kuchaguliwa itageuka chungu kwa sababu Chadema kinakwenda kusambaratika. Sababu za kusambaratika ziko wazi. Siwapongezi nawapa pole.
Kwa heri Chadema