Ndiye aliwaimbisha wajumbe tuna imani na lowasa.Hivi huyo si alikuwa timu ile .....
Karibu nyumbani Mhe. Balozi
Ndumba haikufua dafu?Huyu na Ndumba anazijua,ila sema JK aliwakomesha kumkata jina Lowassa.
Huna ulijualoHuyo Kinana alicheza vibaya kete zake ye na kina Kingunge. Akaongoza mapinduzi mbele ya mwenyekiti wake kikwete wakati huo.
Ana nguvu ya ushawishi sana chamaniNdiye aliwaimbisha wajumbe tuna imani na lowasa.
JK mtoto wa mjini yule. Anakuchekea kama mjinga fulani hivi ila anachokuwazia ndani anakijua yeye!! Walipigwa chenga ya mwili hadi hawakuaminiNdumba haikufua dafu?
nchi hii ina watu wapumbavu sana, majambazi yanajipanga kuja kuendeleza mauzo ya nchi wananchi wanashangilia.......
upumbavu mtupu,.... Nchimbi na wana mtandao ni majizi yaliyokubuhu
Ushawishi ulitokana na ukwasi aliokuwa nao na usanii wa kitapeli.Ana nguvu ya ushawishi sana chamani
Hapana huyu jamaa hana ukwasi wowote. Alitokea uvccm kama sikosei. Ni mmoja wa watu ambao wakiongea wanaaminika sana chamaniUshawishi ulitokana na ukwasi aliokuwa nao na usanii wa kitapeli.
Timu lowasa huyo tunamkumbuka sana.Naona Mheshimiwa Rais wa JMT ameamua kumrudisha nyumbani Mwanasiasa nguli Emmanuel Nchimbi.
Nahisi kuna mabadiliko ya Baraza la Mawaziri siku si nyingi. Kama sio hivyo nahisi kuna mabadiliko yanakuja chamani CCM.
Nimtakie kila la kheri Komredi Emmanuel Nchimbi. Mwanasiasa wa kimkakati.
Ooh, nilimaanisha mzee tuliyeambiwa ana nywele nyeupe na roho nyeupe.Hapana huyu jamaa hana ukwasi wowote. Alitokea uvccm kama sikosei. Ni mmoja wa watu ambao wakiongea wanaaminika sana chamani
Kwa nguvu yake ya ushawishi chamani Mwendazake aliona akae nae mbali akamtupia Brazil huko🤣🤣🤣Timu lowasa huyo tunamkumbuka sana.
Magu alimuondoa nchini kwa vigezo vile vile vya Samia kumuondoa Polepole.
Labda anakuja kuchukua nafasi ya mwandamizi aliyepwaya chamani maana chama kipo hoi bin taabani kwa kuelemewa hoja za wananchi wanaohoji mambo ya msingi.
Musiba hakuwahi kuwa na akili.kutoka maktaba
View attachment 2714759
hali ilikuwa mbaya sanaMusiba hakuwahi kuwa na akili.
Ulikuwa bado unanuka maziwa piga chini.Huna ulijualo
Amepoa ka chuzi la mbwa, huyo na yule mkoa wa mwanza siwaelewi hata siku 1Amerudi kuchukua nafasi ya Katibu Mkuu wa CCM. Maana aliyepo ni kama uji ulio poa halafu hauna sukari.
Huyu Katibu Mkuu wa sasa anapelekwa kuwa Mkuu wa Mkoa wakati Makongoro akistaafu.
Kama hawa ndio Wana mikakati TOP 3[emoji1787][emoji1787]SISHANGAI KWANINI HII NCHI NI MASIKINI...Tanzania kuna wana mikakati makini watatu tu, nao ni
1. Abdulrahman Kinana
2.Jakaya Kikwete
3. Emmanuel Nchimbi