Karibu nyumbani Balozi Emmanuel Nchimbi

Karibu nyumbani Balozi Emmanuel Nchimbi

Inabidi kuwainua sana viongozi wetu wafanye maamuzi yenye nufaa na amani kwa taifa zima sababu kuna falme na mamlaka katika ulimwengu wa giza huwazonga ila kwa macho ya kawaida utaona ni mtu na mwanadamu.

1timotheo2:1-3 “1 Basi, kabla ya mambo yote, nataka dua, na sala, na maombezi, na shukrani, zifanyike kwa ajili ya watu wote;
2 kwa ajili ya wafalme na wote wenye mamlaka, tuishi maisha ya utulivu na amani, katika utauwa wote na ustahivu.
3 Hili ni zuri, nalo lakubalika mbele za Mungu Mwokozi wetu;”
 
Nani mwizi? Ameiba nini?
nchi hii ina watu wapumbavu sana, majambazi yanajipanga kuja kuendeleza mauzo ya nchi wananchi wanashangilia.......

upumbavu mtupu,.... Nchimbi na wana mtandao ni majizi yaliyokubuhu
 
Naona Mheshimiwa Rais wa JMT ameamua kumrudisha nyumbani Mwanasiasa nguli Emmanuel Nchimbi.

Nahisi kuna mabadiliko ya Baraza la Mawaziri siku si nyingi. Kama sio hivyo nahisi kuna mabadiliko yanakuja chamani CCM.

Nimtakie kila la kheri Komredi Emmanuel Nchimbi. Mwanasiasa wa kimkakati.
Timu lowasa huyo tunamkumbuka sana.
Magu alimuondoa nchini kwa vigezo vile vile vya Samia kumuondoa Polepole.
Labda anakuja kuchukua nafasi ya mwandamizi aliyepwaya chamani maana chama kipo hoi bin taabani kwa kuelemewa hoja za wananchi wanaohoji mambo ya msingi.
 
Timu lowasa huyo tunamkumbuka sana.
Magu alimuondoa nchini kwa vigezo vile vile vya Samia kumuondoa Polepole.
Labda anakuja kuchukua nafasi ya mwandamizi aliyepwaya chamani maana chama kipo hoi bin taabani kwa kuelemewa hoja za wananchi wanaohoji mambo ya msingi.
Kwa nguvu yake ya ushawishi chamani Mwendazake aliona akae nae mbali akamtupia Brazil huko🤣🤣🤣

Polepole angeacha ujinga wake na ushamba nae angekuwa very resourceful chamani.
 
kutoka maktaba
Screenshot_2023-06-08-22-04-18-101_com.facebook.lite.jpg
 
Back
Top Bottom