Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Nina uwezo wa kushawishi, vyombo vya dola wanatumia watu waliopoteza ushawishi.Tumia wewe basi vyombo vya dola
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina uwezo wa kushawishi, vyombo vya dola wanatumia watu waliopoteza ushawishi.Tumia wewe basi vyombo vya dola
Alimnyooshaje? Una kumbukumbu vizuri?JPM alimnyoosha yeye na kina Makamba, wakabaki kimya.
Thubutu, kwa JPM wote walinyweha.....Alimnyooshaje? Una kumbukumbu vizuri?
Huyu aligoma kuomba msamaha JPM akaishia kumgwaya tu!
Thubutu, kwa JPM wote walinyweha.....Alimnyooshaje? Una kumbukumbu vizuri?
Huyu aligoma kuomba msamaha JPM akaishia kumgwaya tu!
Narudia tena huyo unayemsifia jeuri yake ni anapokuwa kwenye madaraka. Unakumbuka Magufuli alivyomfanya kama mtoto? Mbona alinywea? Unasifia watu wanaotegemea vyombo vya dola kufanya siasa?Humjui Kinana. Endelea kumuona ivo ivo tu.
Muulize Absalom Kibanda, Who is Kinana? Aliwahi kupandisha uzi humu back in those days where JF was JF
Thubutu, kwa JPM wote walinyweha.....
Narudia tena huyo unayemsifia jeuri yake ni anapokuwa kwenye madaraka. Unakumbuka Magufuli alivyomfanya kama mtoto? Mbona alinywea? Unasifia watu wanaotegemea vyombo vya dola kufanya siasa?
Huyo JPM alirudisha mpira kwa kipa kwa Kinana. Huyo mtu msikie tuNarudia tena huyo unayemsifia jeuri yake ni anapokuwa kwenye madaraka. Unakumbuka Magufuli alivyomfanya kama mtoto? Mbona alinywea? Unasifia watu wanaotegemea vyombo vya dola kufanya siasa?
Hujui lolote wewe..labda kufanya kazi ya mkia hii unayofanya hapa..Huyo JPM alirudisha mpira kwa kipa kwa Kinana. Huyo mtu msikie tu
Thubutu, huyo alijisalimisha mwenyewe, na kwakuwa Magufuli alijua huyo Kinana ni kundi la JK, akawa anawasogeza maadui zake karibu. Ni kama alikuwa anajaribu kupunguza maadui, hivyo hao waliokuwa wanakubali kumsujudia shetani aliwapa fahari ya dunia.Huyo JPM alirudisha mpira kwa kipa kwa Kinana. Huyo mtu msikie tu
Huyo kila siku anastaafu ila wanamrudisha kwa nguvu. Ni moto wa kuotea mbali. Sehemu nyingine duniani ndo wanaitwaga Deep State!Hujui lolote wewe..labda kufanya kazi ya mkia hii unayofanya hapa..
Kwa umri huo alio nao option yenye afya kwake ni retirement, sasa mtu asiyetambua kinachomfaa kulingana na umri alionao ni wa kumhurumia..
Rejea uzi wa Absalom Kibanda wa mwaka 2012. Najua ulikuwa mtoto sana kipindi icho.Thubutu, huyo alijisalimisha mwenyewe, na kwakuwa Magufuli alijua huyo Kinana ni kundi la JK, akawa anawasogeza maadui zake karibu. Ni kama alikuwa anajaribu kupunguza maadui, hivyo hao waliokuwa wanakubali kumsujudia shetani aliwapa fahari ya dunia.
JPM ndo alijisalimisha kwake na kuomba yaisheThubutu, huyo alijisalimisha mwenyewe, na kwakuwa Magufuli alijua huyo Kinana ni kundi la JK, akawa anawasogeza maadui zake karibu. Ni kama alikuwa anajaribu kupunguza maadui, hivyo hao waliokuwa wanakubali kumsujudia shetani aliwapa fahari ya dunia.
Tunaimaaani na mammmviii oyaa oyaa oyaaa. Kweeeli kwelii, kwelii kweli, kweli kweli kweli daimaaa.Anti JK, pro Lowassa.
Wakati huo kinana alikuwa akitamba kwani alikuwa kwenye madaraka. Unapokuwa na madarakani kwa nchi hii ni rahisi kuonekana ni madhubuti.Rejea uzi wa Absalom Kibanda wa mwaka 2012. Najua ulikuwa mtoto sana kipindi icho.
Kinana sio wa kawaida
Endelea kubisha. Ndo kipaji chako hichoWakati huo kinana alikuwa akitamba kwani alikuwa kwenye madaraka. Unapokuwa na madarakani kwa nchi hii ni rahisi kuonekana ni madhubuti.
Vipi bado ni team Edo?Naona Mheshimiwa Rais wa JMT ameamua kumrudisha nyumbani Mwanasiasa nguli Emmanuel Nchimbi.
Nahisi kuna mabadiliko ya Baraza la Mawaziri siku si nyingi. Kama sio hivyo nahisi kuna mabadiliko yanakuja chamani CCM.
Nimtakie kila la kheri Komredi Emmanuel Nchimbi. Mwanasiasa wa kimkakati.
Kumbe Brazil alihamishwa?Alikuwa Balozi Misri