Karibu nyumbani Balozi Emmanuel Nchimbi

Karibu nyumbani Balozi Emmanuel Nchimbi

Nchimbi hajui kuongea ni Domo zege huo u campaign manager alikuwa anafanyaje?

Kwa mara ya kwanza anagombea ubunge Songea Mjini akichukua nafasi ya Mzee Gama,sio tuu alikuwa hawezi kuongea Bali alikuwa anatetemeka hajui kujenga hoja na back those days alikuwa anasaidiwa na mkwe wake yaani Mzee Makamba.

Nafahamu vizuri huyo mtu ni looser tuu.

Miaka yote kakaa Brazil wenzie wanatengeneza connection za Diplomasi ya uchumi yeye yupo yupo tuu kama furushi,kiufupi huyo anatembelea Nyota ya ukoo hana lolote.
True!

Jamaa alifeli school akaenda morogoro kula Forest Hill, ndio chimbuko la vilaza kama January Makamba, Sofia Simba na wengine.
 
Tanzania kuna wana mikakati makini watatu tu, nao ni

1. Abdulrahman Kinana
2.Jakaya Kikwete
3. Emmanuel Nchimbi
Mzee Ally Hassan Mwinyi tunamtoa kwny hiyo orodha kwa kuwa kishachoka ki umri ila ni zaid ya hatare yule Mzee na style yake ile ile kama fala fulani hivi asiejua kitu ila yake na Ukoo wake yamemnyookea zama zote hadi zile zama ngumu za 2015-2021
 
Kwani waliyamaliza na rimoti ya Msoga?
Kwani waligombana ?

Kwani pamoja na kupelekwa Mahakamani unadhan JK na Kubenea ni maadui ?

Harrison Mwakyembe aliangusha Baraza la Mawaziri la Jk 2007, unadhan urafiki wao ulikoma ? the same to Mzee Samwel Sitta?

Siasa za JK unaweza ukachukua PhD ukizifanyia research

hata Chadema na Jk hawajakutana kwa msajili wa Vyama vya Siasa!

2005 walitumika Chadema kumtisha Mkapa asimkate JK, 2007 wakatumika tena kusafisha wanamtandao Serikalini, 2015-2021 wakatumika tena
 
Jasusi m-bobezi anarudi ,huyu kakulia mikononi mwa lowasa na kikwete na mkapa kiasa na kikazi ngoja tuone

Nilikuwa nashangaa ccm inamtegemea WASIRA kweli kurekebisha mwelekeo wa upepo (msoga hongereni)

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Baba yake Mzazi alikuwa RPC wa mikoa kadhaa na Mwana kijitonyama wa Enzi za Kambarage
 
Naona Mheshimiwa Rais wa JMT ameamua kumrudisha nyumbani Mwanasiasa nguli Emmanuel Nchimbi.

Nahisi kuna mabadiliko ya Baraza la Mawaziri siku si nyingi. Kama sio hivyo nahisi kuna mabadiliko yanakuja chamani CCM.

Nimtakie kila la kheri Komredi Emmanuel Nchimbi. Mwanasiasa wa kimkakati.
Hili litapeli si lilishaachishwagwa ubalozi huko Brazili kitambo huko tangu 2021? Unamkaribisha nyumbani kwako au? Nani hajui? Wacha ushenzi.
 
Tanzania kuna wana mikakati makini watatu tu, nao ni

1. Abdulrahman Kinana
2.Jakaya Kikwete
3. Emmanuel Nchimbi
Basi ndio maana tunakwama Daily kama hawa wapumbavu ndio wana mikakati wa nchi hii.Mikakati ya kishenzi shenzi.

Nyerere and the team (yake) ndio walikua wana mikakati.Tena katika global perspective..Mtu anaratibu mikakati ya kupandikza marais nchi za Afrika masharik, maziwa makuu mpaka baadhi ya nchi za SADC kwa maslahi mapana ya TZ kiusalama na uchumi.

Wewe unatutajia Malaya wako watatu hao waliozeeka kiakil mpaka fikra eti ndio wana mikakati .Mikakati ya kuuza nchi?

Wangese wote hao uliowataja
 
Kwani waligombana ?

Kwani pamoja na kupelekwa Mahakamani unadhan JK na Kubenea ni maadui ?

Harrison Mwakyembe aliangusha Baraza la Mawaziri la Jk 2007, unadhan urafiki wao ulikoma ? the same to Mzee Samwel Sitta?

Siasa za JK unaweza ukachukua PhD ukizifanyia research

hata Chadema na Jk hawajakutana kwa msajili wa Vyama vya Siasa!

2005 walitumika Chadema kumtisha Mkapa asimkate JK, 2007 wakatumika tena kusafisha wanamtandao Serikalini, 2015-2021 wakatumika tena
Chadema kwakwel mambo yao kwasasa hayana mantik hata....Wamebaki na agenda zao kama magasho hiv wanavizia mabasha.Wananikera kurukia rukia hoja. HAWANA agenda mama wao kama chama..Nilishaachana na kabisa hawa watu
 
Hili litapeli si lilishaachishwagwa ubalozi huko Brazili kitambo huko tangu 2021? Unamkaribisha nyumbani kwako au? Nani hajui? Wacha ushenzi.
Data zako ziko nyuma sana. Hivi sasa alikuwa Balozi wetu Misri
 
Basi ndio maana tunakwama Daily kama hawa wapumbavu ndio wana mikakati wa nchi hii.Mikakati ya kishenzi shenzi.

Nyerere and the team (yake) ndio walikua wana mikakati.Tena katika global perspective..Mtu anaratibu mikakati ya kupandikza marais nchi za Afrika masharik, maziwa makuu mpaka baadhi ya nchi za SADC kwa maslahi mapana ya TZ kiusalama na uchumi.

Wewe unatutajia Malaya wako watatu hao waliozeeka kiakil mpaka fikra eti ndio wana mikakati .Mikakati ya kuuza nchi?

Wangese wote hao uliowataja
Huyo Kinana hapo katengenezwa na huyo huyo Nyerere. Kwa CCM ya sasa ukimuondoa Kikwete hakuna anayezijua na kuzimudu Geopilitics kama huyo Kinana.

Wakati JK kapishana na Kagame, huyo ndo kiongozi Mtanzania pekee aliyekuwa anaweza kwenda Rwanda analala Rwanda na kukutana na Kagame na kuzungumza.

Kinana msikie tu!
 
Mzee Ally Hassan Mwinyi tunamtoa kwny hiyo orodha kwa kuwa kishachoka ki umri ila ni zaid ya hatare yule Mzee na style yake ile ile kama fala fulani hivi asiejua kitu ila yake na Ukoo wake yamemnyookea zama zote hadi zile zama ngumu za 2015-2021
Mzee Mwinyi anajua kula na vipofu. Anajua ajiposition wapi?

Ila kinana ni mwanamikakati haswa. Si ndani si nje ya Nchi. He is the Master
 
Back
Top Bottom