jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Hawana mikakati zaidi ya mbeleko ya vyombo vya dola na tume ya mchongo ya uchaguzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka link ya huo uziHumjui Kinana. Endelea kumuona ivo ivo tu.
Muulize Absalom Kibanda, Who is Kinana? Aliwahi kupandisha uzi humu back in those days where JF was JF
Nautafuta siupatiWeka link ya huo uzi
NimeupataWeka link ya huo uzi
Alikuwa MisriAlikuwa baloz nch gni Mara ya mwisho nilimsikia akiwa Brazilian na Kisha Egyptian SAS sijui alikuwa wapi
Ila kwa sasa hakuna nyakati ngumu. Ni wakati wake tu kwa mujibu wa succession plan ya Chama Chao nahisiSilaha za CCM nyakati ngumu.
Vyenu vyetu. Vyetu ni vyetu ndiyo udini eti. Angalia pattern yenyewe!Hao wote wezi wa kura, tena wanaiba kwa mbinu zile zile updated, chawa umedumaa akili.
Acheni udini nyie watu. Udini unawasaidia nini?Vyenu vyetu. Vyetu ni vyetu ndiyo udini eti. Angalia pattern yenyewe!
Mzee kastaafu anakula zake pensheniWapi jack zokaaa
Naona line up inapasha kabla ya substitutionWapi jack zokaaa
Hivi hawa wazee wakistaafu huwa hawana ulinzi kama majenerali wa jeshi. Marehemu mzee Apson tulikwa tunapishana nae shoppers , ma ATM peke yake wala hana mpambe. Ila mzee Mboma namuonaga asubuhi akipiga jogging lazima kuna mtu baridi wa moscow pembeni anavaa gwanda au siku zingine anavaa track suit. Hii imekaajeWapi jack zokaaa
Ulinzi anatoa Mungu mkuu.Hivi hawa wazee wakistaafu huwa hawana ulinzi kama majenerali wa jeshi. Marehemu mzee Apson tulikwa tunapishana nae shoppers , ma ATM peke yake wala hana mpambe. Ila mzee Mboma namuonaga asubuhi akipiga jogging lazima kuna mtu baridi wa moscow pembeni anavaa gwanda au siku zingine anavaa track suit. Hii imekaaje
Kinana "strategic planning" Harvard...Tanzania kuna wana mikakati makini watatu tu, nao ni
1. Abdulrahman Kinana
2.Jakaya Kikwete
3. Emmanuel Nchimbi
CCM hakuna na hatotokea kama Kinana.Kinana "strategic planning" Harvard...
Na bado nyumbu wanamchukulia poa Sana . ..
Watu wasiomjua Kinana ndo wanaweza Fanya mistake ya kumchukulia poa...
Mkapa kampeni alianza na Paul Sozigwa ..ikabidi wam replace haraka akaletwa Kinana....and the rest is history...
Hata Samia kama unakumbuka mkutano wa Kwanza na Mbowe alikuwa peke yake...halafu next meeting akaja Kinana...and the rest is history....😅
Mjema ni nafasi NDOGO SANA SANA KWAKEKaja kuokoa lichama lao lilopoteza mvuto[emoji1787]may b atachukua nafasi ya mjema.