Karibu nyumbani Balozi Emmanuel Nchimbi

Karibu nyumbani Balozi Emmanuel Nchimbi

Alikuwa baloz nch gni Mara ya mwisho nilimsikia akiwa Brazilian na Kisha Egyptian SAS sijui alikuwa wapi
 
Anaweza kuteuliwa mambo ya nje. Na tax akabilishiwa wizara. Au anaweza kuwa mkuu wa kampeni wa chama chao uchaguzi mkuu ujao akianzia wa serikali
 
Wapi jack zokaaa
Naona line up inapasha kabla ya substitution

Pale attacking midfielder Nchimbi na kanali Ngemera, Defence midfielder Kinana , namba 10 Jakaya, 11 January, namba 6 Tunampa gotham, halafu 11 ya Asisat oshoala yupo Hangaya vitu kambani ni miwa juu ya gademu miwa 2025. Halafu box to box midfielder ana pewa Polepole 8 mgongoni alisaidiwa na Vuai shamsi. Hatari 2025
 
Wapi jack zokaaa
Hivi hawa wazee wakistaafu huwa hawana ulinzi kama majenerali wa jeshi. Marehemu mzee Apson tulikwa tunapishana nae shoppers , ma ATM peke yake wala hana mpambe. Ila mzee Mboma namuonaga asubuhi akipiga jogging lazima kuna mtu baridi wa moscow pembeni anavaa gwanda au siku zingine anavaa track suit. Hii imekaaje
 
Hivi hawa wazee wakistaafu huwa hawana ulinzi kama majenerali wa jeshi. Marehemu mzee Apson tulikwa tunapishana nae shoppers , ma ATM peke yake wala hana mpambe. Ila mzee Mboma namuonaga asubuhi akipiga jogging lazima kuna mtu baridi wa moscow pembeni anavaa gwanda au siku zingine anavaa track suit. Hii imekaaje
Ulinzi anatoa Mungu mkuu.
 
Tanzania kuna wana mikakati makini watatu tu, nao ni

1. Abdulrahman Kinana
2.Jakaya Kikwete
3. Emmanuel Nchimbi
Kinana "strategic planning" Harvard...
Na bado nyumbu wanamchukulia poa Sana . ..
Watu wasiomjua Kinana ndo wanaweza Fanya mistake ya kumchukulia poa...
Mkapa kampeni alianza na Paul Sozigwa ..ikabidi wam replace haraka akaletwa Kinana....and the rest is history...
Hata Samia kama unakumbuka mkutano wa Kwanza na Mbowe alikuwa peke yake...halafu next meeting akaja Kinana...and the rest is history....😅
 
Kinana "strategic planning" Harvard...
Na bado nyumbu wanamchukulia poa Sana . ..
Watu wasiomjua Kinana ndo wanaweza Fanya mistake ya kumchukulia poa...
Mkapa kampeni alianza na Paul Sozigwa ..ikabidi wam replace haraka akaletwa Kinana....and the rest is history...
Hata Samia kama unakumbuka mkutano wa Kwanza na Mbowe alikuwa peke yake...halafu next meeting akaja Kinana...and the rest is history....😅
CCM hakuna na hatotokea kama Kinana.

Strength ya CCM ndani na nje ya nchi imechangiwa sana na huyu mzee.

Hawa watoto wa juzi waache waendelee kumchukulia poa tu. Huyu ndo Master wa Siasa za Tz. Itachukua muda mrefu sana kuwa na mtu kama huyu.

Hata mzee Magu na ubabe wake wote ila aligundua pale aligusa sipo. Akaamua kumuacha tu
 
Back
Top Bottom