Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tubuni mkabatizwe🤣🤣🤣Kwa hiyo tufanyaje sasa
Ova
Unamzungumzia Murtaza Dewji?Bado MO
Kuna watu wamejifungia ndani wanaumia mda huu, hii ngumu na Mambo mengine kuyaelewa inataka moyoHii nchi ni ngumu,mambo mengine yakipumbavu sana..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dada gaidi wewe[emoji28]
Sikujua kama DQ nae ni team 💛💚[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tunampa tahadhari mapema.
Wananchiiiiiiiiiiiii[emoji172][emoji169]
Aaah mie teynaaaaa,Sikujua kama DQ nae ni team [emoji169][emoji172]
Pesa yote aliyotumia kuandaa hiyo shughuli imerudi na imezidi, hukuona waalikwa walivyokua wanashindana kutunza? Pia amezindua online TV yake.Nje ya mada...
Kuna watu wana fedha ya kuchezea kweli, utu uzima wote huo bado mtu anaandaa birthday party...
Ningejaaliwa pesa kama hiyo, ingetumika kutunza wenye uhitaji na yatima...
Kuhusu ongezeko la umri ningemshukuru tu Maulana yatosha...
Wonderful.Aaah mie teynaaaaa,
Mwanachama hai na kadi ninayo.
[emoji169][emoji172]