Unaumia ukiwa wapi mkuu?TANZANIA KUNA UJINGA MWINGI SANA.
1. MWANAUME MZIMA ANASHEHEREKEA SIKU YA KUZALIWA HUO MUDA UNAUTOA WAPI.
2. Diamond akiwa Simba amefanya nini??????
JE huko yanga Atapewa Namba Ngapi???????
Mbona Dirisha la usajili lilifungwa?????
Amekimbilia kwa wakwepa kodi wenzake [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kwenye Marvel huna mpinzani Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumlaWonderful.
And you're a marvel fan...ila huko mm ndio mbabe zaid
Bro mi nilihama kutoka Liverpool kwenda ManU na mapenzi yapo sana tu! Amka! Wajanja wanahamia utopolo hakuna stress Wala pressure! Unbeaten team!Hakuna mshabiki wa kweli anahama, huyu Haji Manara mwenyewe hadi leo mapenzi yake ya dhati yako Simba huko Yanga yupo kazini tu.
Anacheza nafasi gani uwanjani huyu jamaa?
Kiwango chako cha wivu kimevuka mipaka. Kama Manara sio maarufu inabidi wanazuoni wajadili tena kupata maana mpya ya UMAARUFU.Ha haa, hapo Manara anajitahidi kujifanya mtu maarufu ili akidhania labda yule mke wake atarudi, ukimtizama hana furaha kabisa, ila si wanasema Diamond ndio anamla? Ha haa waswahili husema Kikulacho ki nguoni mwako au adui yako sio wa mbali ni mtu wa karibu yako..
Haji ana matatizo ya kujifanya mtu maarufu of which he is not at all.
Anacheza namba ngapi huko yanga?