Karibu tufahamishane kuhusu aina tofauti za bathtub, jiko, karo na vyoo

Karibu tufahamishane kuhusu aina tofauti za bathtub, jiko, karo na vyoo

Hivi ni aina ya vyoo vya kuchuchimaa vyenye bei kubwa kidogo laki na kumiView attachment 2475474
IMG-20221209-WA0013.jpg
 
Mkuu plumbing ya awali nilishafanya kabla ya Tiles, saivi nasubiri Kazi ya Tiles ikamilike ndiyo nianze kufunga hizo finishings accessories kama shower, masink ya choo Cha kukaa n.k
Duh, maana uliposema plumbing nikajua unaweka mabomba! Hivi kufunga ma-sink nayo inaitwa plumbing? Ila hongera mkuu kwa kujikomboa maana vijana wenzio wanamalizia hela kwenye Pombe!
 
Duh, maana uliposema plumbing nikajua unaweka mabomba! Hivi kufunga ma-sink nayo inaitwa plumbing? Ila hongera mkuu kwa kujikomboa maana vijana wenzio wanamalizia hela kwenye Pombe!
Plumbing ni mfumo wote wa maji taka na safi vikiwemo vifaa vyake vyote vya usafi (sanitary)vyoo n.k na vya maji safi cock n.k
 
Duh, maana uliposema plumbing nikajua unaweka mabomba! Hivi kufunga ma-sink nayo inaitwa plumbing? Ila hongera mkuu kwa kujikomboa maana vijana wenzio wanamalizia hela kwenye Pombe!
Pombe na ujenzi wapi na wapi mkuu? Nikinywa chupa tatu za bia za buku mbili mbili nikarudi zangu home kulala, chupa tatu ni buku sita sawa nimekunywa tofali sita. Haya tofali sita nitajenga nyumba? Alafu Kumbuka kulewa siyo kuanzia jumatatu Hadi jumapili. Me nafikiri kujenga Ni swala la utashi wa mtu na siyo maswala ya starehe na ulevi. Kuna ambao hawanywi pombe Wala starehe ila wanastruggle miaka na miaka wanashindwa hata kununua kiwanja.

Mliojenga mnamchukulia kila asiyejenga Ni mzembe na mlevi. Siyo sawa mnatuonea.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Pombe na ujenzi wapi na wapi mkuu? Nikinywa chupa tatu za bia za buku mbili mbili nikarudi zangu home kulala, chupa tatu ni buku sita sawa nimekunywa tofali sita. Haya tofali sita nitajenga nyumba? Alafu Kumbuka kulewa siyo kuanzia jumatatu Hadi jumapili. Me nafikiri kujenga Ni swala la utashi wa mtu na siyo maswala ya starehe na ulevi. Kuna ambao hawanywi pombe Wala starehe na wanastruggle miaka na miaka wanashindwa hata kununua kiwanja.

Mliojenga mnamchukulia kila asiyejenga Ni mzembe na mlevi. Siyo sawa mnatuonea.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Pombe na ujenzi wapi na wapi mkuu? Nikinywa chupa tatu za bia za buku mbili mbili nikarudi zangu home kulala, chupa tatu ni buku sita sawa nimekunywa tofali sita. Haya tofali sita nitajenga nyumba? Alafu Kumbuka kulewa siyo kuanzia jumatatu Hadi jumapili. Me nafikiri kujenga Ni swala la utashi wa mtu na siyo maswala ya starehe na ulevi. Kuna ambao hawanywi pombe Wala starehe na wanastruggle miaka na miaka wanashindwa hata kununua kiwanja.

Mliojenga mnamchukulia kila asiyejenga Ni mzembe na mlevi. Siyo sawa mnatuonea.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
πŸ˜„πŸ˜„ Hao hua Ni motivational speakers mkuu,usiwamaindi.
 
Back
Top Bottom