dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
cha 25 kinatengeneza kama utando ivi baada ya mda, cha 35k hakuna huo ujingaHapo tofauti yake na hivyo vya 25 ni kipi mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
cha 25 kinatengeneza kama utando ivi baada ya mda, cha 35k hakuna huo ujingaHapo tofauti yake na hivyo vya 25 ni kipi mkuu?
Kwanini hiki bei kubwa?Hivi ni aina ya vyoo vya kuchuchimaa vyenye bei kubwa kidogo laki na kumiView attachment 2475474View attachment 2475475
Vibonge hawawezi shusha chini?Hung-wall toilet hapa Grohe hawana mpinzaniView attachment 2475737
🤣🤣🤣 Hata awe mcheza sumo hawezi kukishushaVibonge hawawezi shusha chini?
Kinafungwa kwenye frame ambayo inajengewa ndani ya ukutaVibonge hawawezi shusha chini?
200,000Pia naomba kujua heater ya maji ya moto kama hii bei yake ipoje?
Ukubwa na ubora pia brand ina changiaKwanini hiki bei kubwa?
Jacuzz bei zuri bei milioni 3 mpaka tano bath tub hayana mbwembwe bei milioni mojaMkuu hizo bath tub nan Jaccuzi bei zake zipoje?
Haya[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hata awe mcheza sumo hawezi kukishusha
Moto gani mzee wa propaganda?Haya
Mmeuona moto?
Asante sana mkuu.Jacuzz bei zuri bei milioni 3 mpaka tano bath tub hayana mbwembwe bei milioni moja
Pamoja mkuuAsante sana mkuu.
Nitoe ushamba hii inakuaje.
Huu ni mfumo wa kawaida kilicho leta utofauti ni bath tub sehemu ya kuogea una weza kuliagiza nje au ukalinunua kariakoo vile vile uka mtafuta fundi mzuri wa almnium akatungenezea..Mkuu kwenye bomba mifumo ni ile ile kinacho badilika material yanakuwa na urembo wa aina mbalibaliNitoe ushamba hii inakuaje.