Karibu tufahamishane kuhusu aina tofauti za bathtub, jiko, karo na vyoo

Karibu tufahamishane kuhusu aina tofauti za bathtub, jiko, karo na vyoo

Mkii, hiyo pipe ya kunapuka ina kazi gani hapo?.
Mkuu sija elewa vizuri swali lako lakini kama una uliza kuhusu hiyo bomba juu nyeupe ni over flow endapo basin lita leta shida ya waste water kuto kwenda basi yata pitia hapo hiyo basin ukitazama kwa juu kuna tundu hilo ndio over flow
IMG_20240614_195634_751.jpg
 
Wakuu hilo basin hapo lina onekana bomba nyeupe ni bottle trap hii kazi yake ni kuzuia harufu kurudi ndani .Inatumika katika mazingira ambayo mfumo wa maji taka mwili(waste water) namanisha maji ya kuogea kulazimika kupitia ndani ya choo badala ya kupitia kwenye (non trap) asa cha kuchuchumaa na maji taka ya basin kupitia kwenye bomba la kinyesi hili kuzuia harufu kurudi ndani basi kwenye basin tuna funga bottle trap pia ata jikoni...
1366963798.jpg
 
Water heater Brand Ariston Italy
Lita 10 bei 300,000/=
Lita 15 bei 350,000/=
Lita 30 bei 400,000/=
Lita 50 bei 470,000/=
Lita 80 bei 550,000/=
Lita 100 bei 620,000/=
-1206993107.jpg
 
Water heater Brand BOBO
Lita 10 bei 180,000/= to 220,000/=
Lita 15 bei 250,000/=
Lita 30 bei 320,000/= to 350,000/=
1223163509.jpg
 
Choo hiki kina p trap yake bei 120,000 mpaka 85,000 kwa bei za kariakoo angalizo hiki choo kina itaji watu wastaarabu kina itaji matumizi sahihi akichelewi kuziba View attachment 3000426
Bora hiki,vile vya kununua bila P trap ukikutana na fundi hajui kuweka hizo P trap vizuri maji hayakai ndani ni harufu mwanzo mwisho
 
Uzi mtamu sana, nilikuwa nahangaika na haya mambo nimeuona kwa kuchelewa kidogo, ila sio mbaya, nahitaji corner bathtub ukubwa uwe ni sentimita 100 kwa 100
 
Mkuu,hili ndicho choo cha P trap?? Ambacho kinababanishwa ukutani?
Faida na hasara zake ni zipi?
P trap mkuu kwa sasa tuna kiweka kama mazingira ya kiufundi yamekuwa magumu mfano Engineer anaye simamia ghorofa kasahu kulaza bomba za maji taka na zege lisha mwagwa ina maana ukitaka kutumia mfumo wa S trap kwenye vyoo utajikuta umeongeza inch 7 au 9 chooni kulificha bomba...Au tiles zisha wekwa so boss ana taka choo cha kukaa lakini hataki tiles zake ziguswe itabidi tutumie choo cha P trap..
Hasara yake hiki choo ni kuvuka kwa flexible pipe (trap ya utmbo) inayo onganisha choo na bomba la inch 4 na kusabisha uchafu au maji taka kuvuja..Pia hakina mvuto sana maana trap ina onekana saometime na bomba la jnch 4 lina onekana..
Kwa upande wangu S trap ni choo chenye mvuto na hakina mambo mengi.
 
P trap mkuu kwa sasa tuna kiweka kama mazingira ya kiufundi yamekuwa magumu mfano Engineer anaye simamia ghorofa kasahu kulaza bomba za maji taka na zege lisha mwagwa ina maana ukitaka kutumia mfumo wa S trap kwenye vyoo utajikuta umeongeza inch 7 au 9 chooni kulificha bomba...Au tiles zisha wekwa so boss ana taka choo cha kukaa lakini hataki tiles zake ziguswe itabidi tutumie choo cha P trap..
Hasara yake hiki choo ni kuvuka kwa flexible pipe (trap ya utmbo) inayo onganisha choo na bomba la inch 4 na kusabisha uchafu au maji taka kuvuja..Pia hakina mvuto sana maana trap ina onekana saometime na bomba la jnch 4 lina onekana..
Kwa upande wangu S trap ni choo chenye mvuto na hakina mambo mengi.
Naomba mfano wa choo cha s trap
 
Back
Top Bottom