Ohoo..kishanukaπ€£Pombe na ujenzi wapi na wapi mkuu? Nikinywa chupa tatu za bia za buku mbili mbili nikarudi zangu home kulala, chupa tatu ni buku sita sawa nimekunywa tofali sita. Haya tofali sita nitajenga nyumba? Alafu Kumbuka kulewa siyo kuanzia jumatatu Hadi jumapili. Me nafikiri kujenga Ni swala la utashi wa mtu na siyo maswala ya starehe na ulevi. Kuna ambao hawanywi pombe Wala starehe na wanastruggle miaka na miaka wanashindwa hata kununua kiwanja.
Mliojenga mnamchukulia kila asiyejenga Ni mzembe na mlevi. Siyo sawa mnatuonea.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ndio mkuu. Nilinununua milioni 3++ nyingi +nyingi nyingi. Ila kwangu kuna tatizo la maji moto. Kwa hiyo badala ya likae tu bora nilitoe. Muundo na ukubwa ni huo huo. Linachukua watu wawili wazima kwa nafasi kabisa.Bei nzuri kabisa
Maji moto hawakuweka au shida kubwa ni hipi kwenye mfumo wa maji moto?Ndio mkuu. Nilinununua milioni 3++ nyingi +nyingi nyingi. Ila kwangu kuna tatizo la maji moto. Kwa hiyo badala ya likae tu bora nilitoe. Muundo na ukubwa ni huo huo. Linachukua watu wawili wazima kwa nafasi kabisa.
Samahani pia kuingilia Uzi wako mkuu.
Bidhaa nzuri.Habari ndugu zangu wa Jf. Uzi maalum wa picha aina mbali mbali za vyoo kitchen sink majakuzi vyoo mabeseni bath..Pia material mapya yanayo ingia sokoni aina mbali mbali za cock n.k pia unaweza uliza chochote kinacho husiana na bomba kwa ujumla....View attachment 2475283View attachment 2475285View attachment 2475284
Mkuu umenichekesha! Eti tunawaonea! Huwa tunawaona mtaani mkuu! Wewe unasema bia 3 wakati wenzio wanazungusha Meza!Mliojenga mnamchukulia kila asiyejenga Ni mzembe na mlevi. Siyo sawa mnatuonea.
Vizuri niliweka mfumo wa maji moto ya heter ya sorah ya jua. Sasa heter inapasha maji kidogo sana kwa muda mrefu. Kwa hiyo inakuwa ngumu maji ya heter ya sorah kulijaza hilo kwa wakati mmoja.Maji moto hawakuweka au shida kubwa ni hipi kwenye mfumo wa maji moto?
Mkuu motivesheni spikazi huwapendi kabisa. Naonaga replies zako nyingi kuwakandia. Ila ni watu wanatukatisha tamaa kuliko kutufanya tupambane. Imajini mtu anaisingizia pombe kisa vijana wengi hawajajenga. So anataka tuhitimishe kwamba vijana hawajengi kisa wanakunywa Sana pombe?ππ Hao hua Ni motivational speakers mkuu,usiwamaindi.
Kujenga ni utashi haiusiani na pombe wala nini wanywa pombe wana mijengo mikali tu kujenga ni maamuzi tu na wakati ukifika ni kama kuoa ni hamu tu inakuja una oaMkuu motivesheni spikazi huwapendi kabisa. Naonaga replies zako nyingi kuwakandia. Ila ni watu wanatukatisha tamaa kuliko kutufanya tupambane. Imajini mtu anaisingizia pombe kisa vijana wengi hawajajenga. So anataka tuhitimishe kwamba vijana hawajengi kisa wanakunywa Sana pombe?
Kuanzia Leo na Mimi naanza kuwachukia motivensheni spikazi.
Zote ni plumbing MkuuDuh, maana uliposema plumbing nikajua unaweka mabomba! Hivi kufunga ma-sink nayo inaitwa plumbing? Ila hongera mkuu kwa kujikomboa maana vijana wenzio wanamalizia hela kwenye Pombe!
Kila mtu ana starehe yake Mkuu, Ukiona mtu hanywi unaweza Kuta starehe yake ni Chini. Mwingine starehe yake ni kunywa, mwingine anapiga vyote kilevi na Chini πPombe na ujenzi wapi na wapi mkuu? Nikinywa chupa tatu za bia za buku mbili mbili nikarudi zangu home kulala, chupa tatu ni buku sita sawa nimekunywa tofali sita. Haya tofali sita nitajenga nyumba? Alafu Kumbuka kulewa siyo kuanzia jumatatu Hadi jumapili. Me nafikiri kujenga Ni swala la utashi wa mtu na siyo maswala ya starehe na ulevi. Kuna ambao hawanywi pombe Wala starehe na wanastruggle miaka na miaka wanashindwa hata kununua kiwanja.
Mliojenga mnamchukulia kila asiyejenga Ni mzembe na mlevi. Siyo sawa mnatuonea.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Kama umesema wewe,basi sikupingi.Kila mtu ana starehe yake Mkuu, Ukiona mtu hanywi unaweza Kuta starehe yake ni Chini. Mwingine starehe yake ni kunywa, mwingine anapiga vyote kilevi na Chini π
Kama ulivyosema suala la Ujenzi ni utashi wa mtu ila hivyo vitu viwili vinaweza kuchangia Kutofikia Malengo kwa vijana wengi na watu wazima.
Kwamba Mkuu Mimi nina Nini? ππKama umesema wewe,basi sikupingi.
Kwa sababu umejenga.Kwamba Mkuu Mimi nina Nini? ππ
Ni Neema tu Mkuu, wengine tumetokea familia Duni kupindukia kwahiyo ilitulazimu kujinyima vingi kuweza kufikia lengo la kujenga.Kwa sababu umejenga.
Mimi na miaka yangu 50 bado Sina kiwanja. Tatizo kubwa Sana hili.Ni Neema tu Mkuu, wengine tumetokea familia Duni kupindukia kwahiyo ilitulazimu kujinyima vingi kuweza kufikia lengo la kujenga.
Fortunately nimejenga nyumba yangu ya kwanza nikiwa na 32
Haina kukata tamaa, huku Afrika wanasema maisha yanaanza ukiwa na miaka 40. Let's keep hustling πͺ
0785707660Bidhaa nzuri.
Wale wa mikoani utaratibu ukoje?
Mkuu hizo bath tub nan Jaccuzi bei zake zipoje?Mkuu me ni fundi lakini kariakoo bidhaa ni nafuu sana uta okoa kiasi kikubwa cha pesa kuliko mtaani nitakupa namba pm ya wauzaji kariakoo
Bei nzuri kabisa
Pia naomba kujua heater ya maji ya moto kama hii bei yake ipoje?