Karibu tufahamishane kuhusu aina tofauti za bathtub, jiko, karo na vyoo

Karibu tufahamishane kuhusu aina tofauti za bathtub, jiko, karo na vyoo

Heater lita 50
FB_IMG_16741835745257008.jpg
 
Milioni nane mpaka kumi inategemeana na fitting zake kama kuna sauna n.k
Duh kumbe kuna maliwato ya zaidi ya Tsh 10,000,000/= tena kwa single item? Mbona kuna thread ulisema ni laki mbili tu, watu wakakomenti kuwa huwa wanaskia story za kutishwa na waliokwishajenga kuongeza sifuri kibao. Muwe mnafafanua kuwa madaraja ya nyumba yapo tena yenye gepu kubwa baina ya nyumba ya kiwango flani na flani
 
Duh kumbe kuna maliwato ya zaidi ya Tsh 10,000,000/= tena kwa single item? Mbona kuna thread ulisema ni laki mbili tu, watu wakakomenti kuwa huwa wanaskia story za kutishwa na waliokwishajenga kuongeza sifuri kibao. Muwe mnafafanua kuwa madaraja ya nyumba yapo tena yenye gepu kubwa baina ya nyumba ya kiwango flani na flani
shopping

Hii hapa milioni 40.
 
Duh kumbe kuna maliwato ya zaidi ya Tsh 10,000,000/= tena kwa single item? Mbona kuna thread ulisema ni laki mbili tu, watu wakakomenti kuwa huwa wanaskia story za kutishwa na waliokwishajenga kuongeza sifuri kibao. Muwe mnafafanua kuwa madaraja ya nyumba yapo tena yenye gepu kubwa baina ya nyumba ya kiwango flani na flani
Ilo ni bath tub so gharama yake ni kubwa sana..Laki mbili una kamilisha choo flesh tu lakini ukitaka mambo makubwa zaidi ni gharama zaidi..Angalia hiyo picha hicho choo gharama yake ni laki mbili kwa material yote ya bomba choo, single shower, cock, shatafu flush tank,mabomba na viungo vyake ...
IMG_20220717_174434_1.jpg
 
Ilo ni bath tub so gharama yake ni kubwa sana..Laki mbili una kamilisha choo flesh tu lakini ukitaka mambo makubwa zaidi ni gharama zaidi..Angalia hiyo picha hicho choo gharama yake ni laki mbili kwa material yote ya bomba choo, single shower, cock, shatafu flush tank,mabomba na viungo vyake ...View attachment 2490981
Ndio madaraja sasa haya tunayosema. Kila mmoja anaingia daraja analofit
 
Back
Top Bottom