plumber hydrogen
JF-Expert Member
- Feb 17, 2022
- 881
- 1,537
- Thread starter
- #141
Kweli kabisa kwenye bomba gharama ina weza kuwa kubwa au ndogo kulingana mahitaji ya bossNdio madaraja sasa haya tunayosema. Kila mmoja anaingia daraja analofit
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa kwenye bomba gharama ina weza kuwa kubwa au ndogo kulingana mahitaji ya bossNdio madaraja sasa haya tunayosema. Kila mmoja anaingia daraja analofit
Heater lita thelathiniView attachment 2490879
Jakuzi bei gan kakaBei kwa ya vyoo
*Kukaa laki moja na kuendelea kulinga na brand
*Cha kuchuchumaa elfu 26 mpaka laki tatu
*Mixer shower laki na 35 na kiendelea
*Single ahower elfu 40 na kuendelea
Mnapatikana wapi au hizi bidhaa zinauzwa wapiBei kwa ya vyoo
*Kukaa laki moja na kuendelea kulinga na brand
*Cha kuchuchumaa elfu 26 mpaka laki tatu
*Mixer shower laki na 35 na kiendelea
*Single ahower elfu 40 na kuendelea
Kariakoo ndugu 0785707660Mnapatikana wapi au hizi bidhaa zinauzwa wapi
Je brand gan ni nzuri
Jaccuz lipo la kuanzia laki nane hili ni lakawaida sana zuri lenye mbwembwe ni millioni 2 na nusu, mpaka milioni sabaJakuzi bei gan kaka
Bei ya hii laki nne na nusu la lita 10 bei laki mbili na 80 na lita 15 laki tatu na nusuMkuu hii ina bei gani?
Fundi amefunga hii kwenye bomba linalotoa maji kwenye tank, ajabu maji ya mamlaka yakitoka, yanasukuma hadi kwenye tank na unasikia kabisa jinsi yanavyoshindana na yale yanayotokea kwenye tank.Hii ina itwa non return valve kazi yake ni kupeleka maji mwelekeo mmoja bila kurudi nyuma au kublock maji..Sehem inapo wekwa hii non return valve zipo za aina mbali mbali kwa maumbo hipo ndogo kabisa ina kaa ndani ya mita kuzuia maji yasirudi nyuma...Pia ina tumika kutenganisha mfumo maji ya tank na ya mamlaka ili kila maji yaende kwa njia yake pia ina saidia kuongeza kiasi flani cha pressure japo kwa kiasi kidogo kwenye kuingiza maji kwenye tank maana hii sifa yake ni kupereka maji mbele tu...Ufungaji ni kuilekeza maji unapo taka yaende kwani ina mshale wa kuelekeza kama hakuna mshale ipulize panapo toa hewa ndio mbele pasipoa hewa ni nyuma...View attachment 2493786
Amefunga kwa minajili ya kutenganisha maji ya tank na mamlaka? au kafunga tu kwenye bomba la kutoa maji kwenye tank?...Hii kazi yake ni kusaidia kutenganisha mifumo maji ya mamlaka yaende kivyake na ya tank yaende kivyake au inafungwa kwenye bomba la kuingiza maji ya tank(inlet) kuongeza pressure..Fundi amefunga hii kwenye bomba linalotoa maji kwenye tank, ajabu maji ya mamlaka yakitoka, yanasukuma hadi kwenye tank na unasikia kabisa jinsi yanavyoshindana na yale yanayotokea kwenye tank.
Ameifunga ili maji ya mamlaka yasiende kwenye tank kupitia bomba la kutolea maji kwenye tank maana ameunga maji ya tank yawe yanatoka kwenye tap ya kukingia maji ya mamlaka pindi yanapokatika.Amefunga kwa minajili ya kutenganisha maji ya tank na mamlaka? au kafunga tu kwenye bomba la kutoa maji kwenye tank?...Hii kazi yake ni kusaidia kutenganisha mifumo maji ya mamlaka yaende kivyake na ya tank yaende kivyake au inafungwa kwenye bomba la kuingiza maji ya tank(inlet) kuongeza pressure..
Oky nimekuelewa...Ameifunga ili maji ya mamlaka yasiende kwenye tank kupitia bomba la kutolea maji kwenye tank maana ameunga maji ya tank yawe yanatoka kwenye tap ya kukingia maji ya mamlaka pindi yanapokatika.
Hebu liwekee bajeti hili bafu, nimelielewa sana. Nipe bajeti yake kwa vifaa vya kawaida mkuu
Itakuwa amejichanganya kiaina, labda anamaanisha kufunga tu hivyo vitu😁😁 ila mtandao ameshausetPlumbing baada ya tiles?😁😁😁😂😂😂
Mkuu una taka liwe hiyo lilivyo au unataka mfumo uwe hivyo ila sehemu ya bath tub utaweka tu mfumo wa bomba la mvua (shower rose)Hebu liwekee bajeti hili bafu, nimelielewa sana. Nipe bajeti yake kwa vifaa vya kawaida mkuu