πππKesho divai zikiisha tuonane chimbo nina mazungumzo na weweπ
AminaaWatanzania wote tuwe na mwaka wenye heri.
Ahsante sana kwako pia Deo Gratius
AmenWatanzania wote tuwe na mwaka wenye heri.
Bora yeye kadata kuliko wewe uliyedatishwa na wazungu kibuyu mkubwa weeh πΉNaona Django Doer anatembeza dislike kweli kadata π
Shukrani habity uishi maisha marefu sana yaani sanaAhsante sana kwako pia Deo Gratius
Ameeen,. Na tukafanikiwe soteπHappy New Year
2025 ukawe mwaka wa Baraka na Mafanikio ππ» Bantu Lady
Leejay49 Manyanza min -me Mr Q ephen_ Carleen
View attachment 3189656
Kumbe mganga njaa naye hutambuliwa?Happy new year Dr Restart tajiri yangu huna baya
View: https://youtu.be/v5nfmtFzvvk?si=Yoyr_RFnnTGa_MVG
Shukrani sana kakaKumbe mganga njaa naye hutambuliwa?
Ubarikiwe sana Mkuu. Shukrani mno.
Kheri ya mwaka mpya kwako pia tajiri wa Kigamboni, Prince Charles.
Wachache watakuelewaWhatever the wish,as the years goes on I learn to be KATILI SANA,na nitakuwa KATILI HASWAAA.
TWENDENI TU
Mkuu asante kwa kunielewa,wengi hawatanielewaWachache watakuelewa
Bado tu unanoa panga? Niambie nije PM fasterπΉπΉπΉ
Ngoja ninoe panga ninyoe kichaka kwanza