mathsjery
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 2,249
- 1,813
Nyumba ya vyumba vutatu kabisa na inaweza Baki tatizo ni kutaka mbwembwe, vingine vitafataDuh hapa najiuliza kwa 28m naweza kujenga nini!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyumba ya vyumba vutatu kabisa na inaweza Baki tatizo ni kutaka mbwembwe, vingine vitafataDuh hapa najiuliza kwa 28m naweza kujenga nini!
akikujibu nichekiUna kampuni yako au ni fundi Michael? Nimeuliza sababu nipo interested
aiseee mzeya nina million 243 zimekaa beki nikikupa ssii tunatoa nyumba ata 6 hivi tule kodiNyumba ya vyumba vutatu kabisa na inaweza Baki tatizo ni kutaka mbwembwe, vingine vitafata
ebo!! kumbe sie ndio fursa yenyewe mwanawaneUTAPELI, UTAPELI, UTAPELI..... Mwisho I mtu anaibiwa kiwanja kisa marejesho kabla ya miezi 6 ya mwanzo.. ACHENI WIZI WAZEEE. !!!!
Mnatajataja hela tu kama mnavotaja matakoaiseee mzeya nina million 243 zimekaa beki nikikupa ssii tunatoa nyumba ata 6 hivi tule kodi
oya mzee una juice ya tende nataka nikashushie mandi ya mbuzi leo ijummaaa.Mnatajataja hela tu kama mnavotaja matako
kwa hiyo kajumba hako million 5 kanaisha?Tuanze hapa
-tofali ngapi zinaenda
- mawe,fundi&mchanga
-cement, bati,nondo -
-msdirisha,mlango
Ila watu bana unadhani wengine hawajui thamani ya pesa ama ujenzi ukoje , b
lakini sii unalipa kwa muda mrefu, miaka minne broBei imechangamka sana
Jamaa wanachukua faida mara tatulakini sii unalipa kwa muda mrefu, miaka minne bro
Kiwanja chako au changu?
VIGEZO;-
Uwe Mtanzania
Uwe na kiwanja chenye hati au nyaraka ya mauziano.
ebo! mara tatu maana yake hapo ukisimamia show mwenyewe 15 mil ngoma kwishney au sioJamaa wanachukua faida mara tatu
Milioni 15 hapo unatoa nyumba classic pamoja na hizo Tanganyika stonesebo! mara tatu maana yake hapo ukisimamia show mwenyewe 15 mil ngoma kwishney au sio
Wezi tu haoMilioni 15 hapo unatoa nyumba classic pamoja na hizo Tanganyika stones
Uwaziaiseee mzeya nina million 243 zimekaa beki nikikupa ssii tunatoa nyumba ata 6 hivi tule kodi
Nakazia. Si hivyo tuu bali pia ni bladifuu. Milioni 28 kizembe-zembe hivyo?Bladi hell.....☹️
etto la kugegedea waremboUwazi