The-unknown
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 1,228
- 1,447
Au labda alitaka kusema 2,800,000
Milioni 28 unajenga nyumba kubwa na si kibanda kama hicho
Milioni 28 unajenga nyumba kubwa na si kibanda kama hicho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ah nilishakufaNiko occupied kwa miaka mitatu ijayo.
Wapi huko mnajenga nyumba kubwa ya mil28 na mie mnielekeze28m unajenga nyumba kubwa sana acheni uhuni labda usikute unaongelea dubai
Amenijibu kwamba anajenga apartment zake so ana mafundi wakeakikujibu nicheki
Numbers should be crunched to draw out conclusion or the truth, my mind alone can't figure it out even though EGO may tempt me that am better at prediction or estimationkwa hiyo kajumba hako million 5 kanaishha
Fundi weka Mawasiliano yako sasa, hapa umesha mtoa mwenzio kwenye reli.Vyumba viwili, kimoja master
Jiko kubwa, na vibaraza viwili
25,000,000
Complete maji yanaflow ndani
Tiles
Slidding window.
Umeme ndani.
Mje niwajengee jamani.
Mm sio fundi, ni mmiliki wa nyumba kama wewe. Ukihitaji kujengewa naweza kukushauri. Kutokana na ramani ukapata na bei.Fundi weka Mawasiliano yako sasa, hapa umesha mtoa mwenzio kwenye reli.
Daah eti chumba kimoja millioni 28 huku kutishana sasa
Kwa Dar 28m unajenga nyumba kubwa na unahamia kabisa!MKOPO MKOPO wa ujenzi,
Nyumba hii inasifa zifuatazo.
Chumba kimoja kikubwa chenye washroom, sitting room kubwa,kitchen na public washroom.
Nyumba hii ni maalum kwa vijana wanaoanza maisha au kwa wanaojenga nyumba zakupangisha ni nzuri sana na haina gharama kubwa.
Gharama yake ni kiasi cha shiling million 28,000,000 tu mpaka finishing,Nyumba inakua na kila kitu kinachoitajika,maji,umeme,rangi ndani na nje,tiles,madirisha ya aluminum nk.
Namna ya malipo kwa Nyumba hii nikama ifuatavyo.
📍Malipo ya awali huanza na 30%=8,400,000
📍Deni 19,600,000
📍Mrabaha ni 10%=1,960,000
📍Jumla ya deni litakuwa 21,560,000
📍Muda wa marejesho ni miaka 4 Sawa na miezi 48.
📍Rejesho kwa mwezi litakuwa ni 449,000
Muda wakukabidhi Nyumba ni miezi sita tu.
VIGEZO;-
Uwe Mtanzania
Uwe na kiwanja chenye hati au nyaraka ya mauziano.
Kwa maelezo zaidi tembelelea office zetu zilizopo kitunda
0743257669
Nitafute whatsappView attachment 3226242
Upumbavu tu! Atawaokota wapumbavu wenzake!UTAPELI, UTAPELI, UTAPELI..... Mwisho I mtu anaibiwa kiwanja kisa marejesho kabla ya miezi 6 ya mwanzo.. ACHENI WIZI WAZEEE. !!!!
Dar mkuu!Wapi huko mnajenga nyumba kubwa ya mil28 na mie mnielekeze
Wanafikiri kila mtu ni BoyaKaaah...Chumba kimoja kwa milioni 28 na Pesa ya mrabaha 10% ya deni??? Hampo serious nyie....hiyo millioni 28 ananunua kiwanja na anajenga na pesa inabaki.....Ninyi mlivyo wapumbavu eti kwa hiyo pesa mnataka mkute na kiwanja kabisa! Acheni unaniliu
Na chenji inabaki mkuu!kwa hiyo kajumba hako million 5 kanaisha?
Huu bado pia ni wizi,Vyumba viwili, kimoja master
Jiko kubwa, na vibaraza viwili
25,000,000
Complete maji yanaflow ndani
Tiles
Slidding window.
Umeme ndani.
Mje niwajengee jamani.