Karibu tukujengee hii nyumba ya chumba kimoja kwa mkopo

Fundi weka Mawasiliano yako sasa, hapa umesha mtoa mwenzio kwenye reli.

Daah eti chumba kimoja millioni 28 huku kutishana sasa
Mm sio fundi, ni mmiliki wa nyumba kama wewe. Ukihitaji kujengewa naweza kukushauri. Kutokana na ramani ukapata na bei.
 
Kaaah...Chumba kimoja kwa milioni 28 na Pesa ya mrabaha 10% ya deni??? Hampo serious nyie....hiyo millioni 28 ananunua kiwanja na anajenga na pesa inabaki.....Ninyi mlivyo wapumbavu eti kwa hiyo pesa mnataka mkute na kiwanja kabisa! Acheni unaniliu
 
Kwa Dar 28m unajenga nyumba kubwa na unahamia kabisa!
 
Kaaah...Chumba kimoja kwa milioni 28 na Pesa ya mrabaha 10% ya deni??? Hampo serious nyie....hiyo millioni 28 ananunua kiwanja na anajenga na pesa inabaki.....Ninyi mlivyo wapumbavu eti kwa hiyo pesa mnataka mkute na kiwanja kabisa! Acheni unaniliu
Wanafikiri kila mtu ni Boya
 
Vyumba viwili, kimoja master
Jiko kubwa, na vibaraza viwili
25,000,000
Complete maji yanaflow ndani
Tiles
Slidding window.
Umeme ndani.
Mje niwajengee jamani.
Huu bado pia ni wizi,
Utawaokota makolo na malofa
25m ni pesa nyingi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…