Lemaitre
Senior Member
- Aug 25, 2020
- 123
- 168
- Thread starter
- #41
Unanunua kiasi gani ?Mchele,unga wa ugali ,ngano ,mafuta ,sukari ,maharagwe ,samaki ,dagaa ,njegele,karoti ,hoho,nyanya maji,vitunguu saumu,vitunguu maji,matunda,viazi mviringo,tambi,mayai,viungo vya mboga,pilau na chai e.t.c
Nyama na maini huwa nanunua fresh