ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Na mama ntilie Wapatie wapi hela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imani tuu hizo,na kama sio imani embu tuambie ni mechanism gan inasababisha zisisinyae?Hazisinyai kabisa
..duh...Yani wabongo! Hii nchi jamani haina njaa ...ebu tuambie hizo kilo 25 za Mchele na kilo 10 za unga ndio utazitafuna Kwa maharage kilo 3 kweli?...na ebu fafanua ulaji wako WA chumvi!...maana Kwa mwezi unakula kilo ya chumvi na kilo ya sukari..hivi Kwa uhalisia hivi viwili kipi kinatumika Sana Kwa wakati mmoja? ...yaani we unatafuna chumvi Sawa na sukari kweli! ..maajabu ya bongo haya...Mkuu hawa wanakuletea habari za nyama na sato utafikili una ajira TRA,
Uzoefu wangu
Jifunze kupika matembele, mboga ya mayai, viazi mviringo mixa na nyanya, nyama nunua kwa wanao zungusha mtaani in case ukijisikia lakini
- Mchele kilo 45 (unatoboa miezi minne)
- Unga kilo 10 (usiongeze utaharibika)
- Maharage ya njano kilo 3 (nunua mapya huwa yanatumia mkaa kidogo kuiva)
- Sukari kilo 1
- Chumvi pakti mbili za 500
- Hakikisha gas iko full
- Mkaa nunua kidogo kidogo
Utatoboa zaidi ya mwezi
NB: Epuka mademu wale wanaotaka pesa kupitiliza tongoza wengi wengi utampata mmoja asiye tumia pesa sana
Wewe unaona elfu kumi ni ndogo 😃 huku sisi nyama huwa tunanunua nusu elfu mbili kwa wale wanaotembeza mitaani kwenye ndoo, unaweza ishi kwa miatano kwa siku hapo mboga ni tembele la miambili nyanya mia mbili kitunguu mia 😃Hapana bwana usijitese hivyo,kama unapenda kula hivyo vitu,nyama kilo moja 9000,samaki badala ya kununua sato,unanunua sangala kilo moja 8500,ukikata kata vipande unapata vingi tu halafu sangala nyama yake inavimba tofauti na sato.
Sukari, nyama, ketchup, mayonnaise, blueband na jam hivyo sio vitu vya muhimu ni anasa.Mchele,maharage,nyama,sukari,unga wa ngano,mafuta ya kupikia,chumvi,maziwa,ketchup,mayonnaise,blueband,jam,Tambi .
Kilo tatu za maharage means unakuwa unakula baadhi ya siku, unapima kikombe kimoja unanunua mkaa wa miatano unabandika yakiiva unayaunga unakula siku nzima na kesho yake asubuhi unayamalizia,..duh...Yani wabongo! Hii nchi jamani haina njaa ...ebu tuambie hizo kilo 25 za Mchele na kilo 10 za unga ndio utazitafuna Kwa maharage kilo 3 kweli?...na ebu fafanua ulaji wako WA chumvi!...maana Kwa mwezi unakula kilo ya chumvi na kilo ya sukari..hivi Kwa uhalisia hivi viwili kipi kinatumika Sana Kwa wakati mmoja? ...yaani we unatafuna chumvi Sawa na sukari kweli! ..maajabu ya bongo haya...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unanunua vyakula kwa jumla kwani Tanzania kuna vita?
..we MTU Una akili njaa Sana...Yani unawezaje kuweza kununua Mchele kilo 25 na unga kilo 10 alafu unashindwa kunywa chai Kama kawaida?...plan yako ya mlo ni muflisi sana...we hata mboga za majani utakua unapika bila mafuta...hata huo Mchele..maana hata mafuta hujaweka bajeti .inaonyesha we MTU Kwa kichemsha vitu Tu....Kilo tatu za maharage means unakuwa unakula baadhi ya siku, unapima kikombe kimoja unanunua mkaa wa miatano unabandika yakiiva unayaunga unakula siku nzima na kesho yake asubuhi unayamalizia,
Mboga mboga ndio za kununua kidogo kidogo ili zisiharibike
Kuhusu chumvi hata huwa haitumiki sana pakti usishangae ikatoboa mwezi na siku kadhaa
Kuhusu sukari chai unakunywa mara moja moja
Yote ni maisha tu mkuu,kikubwa uhaiWewe unaona elfu kumi ni ndogo [emoji2] huku sisi nyama huwa tunanunua nusu elfu mbili kwa wale wanaotembeza mitaani kwenye ndoo, unaweza ishi kwa miatano kwa siku hapo mboga ni tembele la miambili nyanya mia mbili kitunguu mia [emoji2]
Unapika ugali wako safi siku inaisha
Mafuta yapo ya alizeti lita tano...we MTU Una akili njaa Sana...Yani unawezaje kuweza kununua Mchele kilo 25 na unga kilo 10 alafu unashindwa kunywa chai Kama kawaida?...plan yako ya mlo ni muflisi sana...we hata mboga za majani utakua unapika bila mafuta...hata huo Mchele..maana hata mafuta hujaweka bajeti .inaonyesha we MTU Kwa kichemsha vitu Tu....
Ukikaanga chips lazima ketchup na mayo viwepo. Tena hapo nimesahau kuweka mayai,black pepper. Jam ,blue band ukioka mkate jam ,siagi lazima viwepo. Au wewe hauna watoto ?Sukari, nyama, ketchup, mayonnaise, blueband na jam hivyo sio vitu vya muhimu ni anasa.
Elimu mpya hiiHazisinyai kabisa
Dah sina watoto ila hata nikiwa nao nitawafundisha kuwa hizo ni anasa. 😂😂Ukikaanga chips lazima ketchup na mayo viwepo. Tena hapo nimesahau kuweka mayai,black pepper. Jam ,blue band ukioka mkate jam ,siagi lazima viwepo. Au wewe hauna watoto ?
..duh...Yani wabongo! Hii nchi jamani haina njaa ...ebu tuambie hizo kilo 25 za Mchele na kilo 10 za unga ndio utazitafuna Kwa maharage kilo 3 kweli?...na ebu fafanua ulaji wako WA chumvi!...maana Kwa mwezi unakula kilo ya chumvi na kilo ya sukari..hivi Kwa uhalisia hivi viwili kipi kinatumika Sana Kwa wakati mmoja? ...yaani we unatafuna chumvi Sawa na sukari kweli! ..maajabu ya bongo haya...
Imani tuu hizo,na kama sio imani embu tuambie ni mechanism gan inasababisha zisisinyae?
Kijiko kinawekwaje, nimekua interested hapa. Zikiwa kwenye mfuka au bakuli.?Hazisinyai kabisa
Tikiti na papai mwambie sio anasa pia [emoji3]Dah sina watoto ila hata nikiwa nao nitawafundisha kuwa hizo ni anasa. [emoji23][emoji23]
Hahaha kuliko mtu ananunue kilo ya nyama bora anaunue tikiti moja kubwa na papai nne.Tikiti na papai mwambie sio anasa pia [emoji3]