Karibu tushauriane na kupeana uzoefu wa manunuzi ya chakula kwa ajili ya mwezi mzima

Karibu tushauriane na kupeana uzoefu wa manunuzi ya chakula kwa ajili ya mwezi mzima

Mkuu hawa wanakuletea habari za nyama na sato utafikili una ajira TRA,

Uzoefu wangu
  1. Mchele kilo 45 (unatoboa miezi minne)
  2. Unga kilo 10 (usiongeze utaharibika)
  3. Maharage ya njano kilo 3 (nunua mapya huwa yanatumia mkaa kidogo kuiva)
  4. Sukari kilo 1
  5. Chumvi pakti mbili za 500
  6. Hakikisha gas iko full
  7. Mkaa nunua kidogo kidogo
Jifunze kupika matembele, mboga ya mayai, viazi mviringo mixa na nyanya, nyama nunua kwa wanao zungusha mtaani in case ukijisikia lakini

Utatoboa zaidi ya mwezi
NB: Epuka mademu wale wanaotaka pesa kupitiliza tongoza wengi wengi utampata mmoja asiye tumia pesa sana
..duh...Yani wabongo! Hii nchi jamani haina njaa ...ebu tuambie hizo kilo 25 za Mchele na kilo 10 za unga ndio utazitafuna Kwa maharage kilo 3 kweli?...na ebu fafanua ulaji wako WA chumvi!...maana Kwa mwezi unakula kilo ya chumvi na kilo ya sukari..hivi Kwa uhalisia hivi viwili kipi kinatumika Sana Kwa wakati mmoja? ...yaani we unatafuna chumvi Sawa na sukari kweli! ..maajabu ya bongo haya...
 
Hapana bwana usijitese hivyo,kama unapenda kula hivyo vitu,nyama kilo moja 9000,samaki badala ya kununua sato,unanunua sangala kilo moja 8500,ukikata kata vipande unapata vingi tu halafu sangala nyama yake inavimba tofauti na sato.
Wewe unaona elfu kumi ni ndogo 😃 huku sisi nyama huwa tunanunua nusu elfu mbili kwa wale wanaotembeza mitaani kwenye ndoo, unaweza ishi kwa miatano kwa siku hapo mboga ni tembele la miambili nyanya mia mbili kitunguu mia 😃
Unapika ugali wako safi siku inaisha
 
..duh...Yani wabongo! Hii nchi jamani haina njaa ...ebu tuambie hizo kilo 25 za Mchele na kilo 10 za unga ndio utazitafuna Kwa maharage kilo 3 kweli?...na ebu fafanua ulaji wako WA chumvi!...maana Kwa mwezi unakula kilo ya chumvi na kilo ya sukari..hivi Kwa uhalisia hivi viwili kipi kinatumika Sana Kwa wakati mmoja? ...yaani we unatafuna chumvi Sawa na sukari kweli! ..maajabu ya bongo haya...
Kilo tatu za maharage means unakuwa unakula baadhi ya siku, unapima kikombe kimoja unanunua mkaa wa miatano unabandika yakiiva unayaunga unakula siku nzima na kesho yake asubuhi unayamalizia,

Mboga mboga ndio za kununua kidogo kidogo ili zisiharibike

Kuhusu chumvi hata huwa haitumiki sana pakti usishangae ikatoboa mwezi na siku kadhaa

Kuhusu sukari chai unakunywa mara moja moja
 
Kilo tatu za maharage means unakuwa unakula baadhi ya siku, unapima kikombe kimoja unanunua mkaa wa miatano unabandika yakiiva unayaunga unakula siku nzima na kesho yake asubuhi unayamalizia,

Mboga mboga ndio za kununua kidogo kidogo ili zisiharibike

Kuhusu chumvi hata huwa haitumiki sana pakti usishangae ikatoboa mwezi na siku kadhaa

Kuhusu sukari chai unakunywa mara moja moja
..we MTU Una akili njaa Sana...Yani unawezaje kuweza kununua Mchele kilo 25 na unga kilo 10 alafu unashindwa kunywa chai Kama kawaida?...plan yako ya mlo ni muflisi sana...we hata mboga za majani utakua unapika bila mafuta...hata huo Mchele..maana hata mafuta hujaweka bajeti .inaonyesha we MTU Kwa kichemsha vitu Tu....
 
Wewe unaona elfu kumi ni ndogo [emoji2] huku sisi nyama huwa tunanunua nusu elfu mbili kwa wale wanaotembeza mitaani kwenye ndoo, unaweza ishi kwa miatano kwa siku hapo mboga ni tembele la miambili nyanya mia mbili kitunguu mia [emoji2]
Unapika ugali wako safi siku inaisha
Yote ni maisha tu mkuu,kikubwa uhai
 
..we MTU Una akili njaa Sana...Yani unawezaje kuweza kununua Mchele kilo 25 na unga kilo 10 alafu unashindwa kunywa chai Kama kawaida?...plan yako ya mlo ni muflisi sana...we hata mboga za majani utakua unapika bila mafuta...hata huo Mchele..maana hata mafuta hujaweka bajeti .inaonyesha we MTU Kwa kichemsha vitu Tu....
Mafuta yapo ya alizeti lita tano.

Wewe itakuwa hauishi kwako au huenda huwa unapikiwa ndio maana huelewi vitu vingi
 
..duh...Yani wabongo! Hii nchi jamani haina njaa ...ebu tuambie hizo kilo 25 za Mchele na kilo 10 za unga ndio utazitafuna Kwa maharage kilo 3 kweli?...na ebu fafanua ulaji wako WA chumvi!...maana Kwa mwezi unakula kilo ya chumvi na kilo ya sukari..hivi Kwa uhalisia hivi viwili kipi kinatumika Sana Kwa wakati mmoja? ...yaani we unatafuna chumvi Sawa na sukari kweli! ..maajabu ya bongo haya...

Maharage yanachemshwa kg Moja yanaliwa Mara 6
 
Swala la bajet ndani kwako linategemea na matumizi yako,KI bongo bongo vitu vya mwezi kwangu mimi naona sio Poa,kwanza vitu vya mwezi mzigo wake ni wa Kerry.

Ukiufunga huo mzigo stock yake utafkiri muha aanapeleka dukani kwake stoo.
Vitu vya mwezi utazalisha panya wengi na utawanenepesha.

Binafsi yangu bajet yangu ni ya wiki 1 Na siku tatu hiv...

Mchele hapa maskani tunakula kg 1 mpaka nusu
Maharage nusu
Mafuta robo
Ngano kg1
Mkaa kiroba kimoja cha 17000 kwa kipimo kila siku 2000

Kwa hiyo basi

Mchele kg35
Maharage kg5
Mafuta lit 3
Ngano kg15
Mkaa kiroba kimoja
Hamila mkanda mmoja
Chumvi pakt 5 za 200

Nikiwa na hivi vitu ndani,vitu hivyo vingine kuvikosa haviniumiz kichwa.
 
Acha umasikini wewe, piga kazi mpaka ukose muda wa kupika, baadala yake unakuwa na cash ya kutosha mfukoni unakula chochote, popote wakati wowote...
 
Back
Top Bottom