The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 1,497
- 2,681
Unakopa kisha unamuweka ndugu unategemea nini lazima akuubie tu hauna muda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wewe Una miaka mingapi kwenye mfumoUkiwa haupo kwenye mfumo unakua smart sana, subiri uingie urudi na haya maneno.
Nilipofika sometimes naona kheri uishi tu maisha ya kawaida. Dreaming big ni mzigo, na kheri waalimu ambao hawatarajii mengi kuliko wengine ambao wasipopata walivyotaraji wanaweza hata kujiua.Sure, lakini Mungu akutuweka duniani kufanya vitu vidogo vidogo, Bora kupambana Mimi nipo humu ndani naowaona hawana matumani kabisa.
Watu wanasema TRA wote wako vizuri.mimi ninaowafahamu wote wako vizuriKufanikiwa maisha ni akili ya mtu kwani hakuna hao TRA ambao ni choka mbaya maendeleo uletwa na fikra na sio kipato
Umeongea kweli, kila mtu duniani yupo na malengo yake kwa mfano Mimi sipendi kua chini ya mtu, na hii kazi lazima uwe chini ya watu, madharau n.k mpaka diwani, au mwenyekiti wa mtaa anaweza kukutukana na kukupelekesha.Nilipofika sometimes naona kheri uishi tu maisha ya kawaida. Dreaming big ni mzigo, na kheri waalimu ambao hawatarajii mengi kuliko wengine ambao wasipopata walivyotaraji wanaweza hata kujiua.
Hata mimi ndoto yangu nikifika pahala flani, niishi maisha tu ya utulivu mikoani huko. Fresh food, fresh air na hakuna mahangaiko
Sisi kamati ya roho mbaya tupo nje ya uwanja tunawaombea kiwakute kama kilichowakuta wale USAID kuna jamaa ameitwa hapa mtaani sasa hivi anajifanya hataki tena kukaa na sisi kijiweni anasema eti utumishi wa umma kuna "standards" inabidi azifuate🐼
Hujaingia private sector ukutane na boss anaejua kupelekesha watu. Kiufupi hakuna hiyo freedom na kama umekaa miaka miwili kazini bhasi inabidi jangalee options zako.Umeongea kweli, kila mtu duniani yupo na malengo yake kwa mfano Mimi sipendi kua chini ya mtu, na hii kazi lazima uwe chini ya watu, madharau n.k mpaka diwani, au mwenyekiti wa mtaa anaweza kukutukana na kukupelekesha.
Asante mkuu, kwa upande wangu ni kutoka hapa na kusoma kada nyingine, au kujiajiri tu, nimeshaanza upande wa kujiajiri ninamiliki ekari nyingi , na kati ya hizo chache nimeanza kupanda zao la kudumu, mawazo ya kufanya yoote hayo nimeyapata baada ya kuona hali halisi kwenye kada hii,.Hujaingia private sector ukutane na boss anaejua kupelekesha watu. Kiufupi hakuna hiyo freedom na kama umekaa miaka miwili kazini bhasi inabidi jangalee options zako.
Aidha uswitch kwenye NGO's za masuala ya elimu au ujiandae kufungua shule yako mwenyewe ama utoke kabisa katika hiyo kada yako. Lakini katika yote usisahau kila kitu ni mchakato na pengine hata hapo ulipo panaweza kukufikisha sehemu
Achana na kuangalia issue yako collectively kama "waalimu".. Angalia wewe kama wewe utafanya nini
Pambana mkuu utatoboaNina miaka miwili tu, lakini sioni nikikaa kabisa, kwa kujua ilo nimefanya vitu ambayo senior niliowakuta hawajafanya mzee, nafanya maandalizi ya kuondoka na kurudi mjini.
Kwa hela ya kazi au mishe zingineNinaowafahamu woote Wana maisha Bora.
Em fafanua kidogo bas.Mwalimu hasa Alie mjini umaskini ni anautaka mwenyewe na hayo maisha magumu ni uvivu na ujinga wake binafsi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora hiyo!!
DFP baadhi yao sasa hv wamenyong'onyea [emoji23][emoji23][emoji23] hawezi kutumia laki tano kwa siku 30