Karibuni kwenye Kazi ya ualimu, lakini usiwe na matarajio makubwa

Karibuni kwenye Kazi ya ualimu, lakini usiwe na matarajio makubwa

Ila uticha ni wito aisee kuna memba alishawahi anduka huu kakopa hela ndefu nahisi M18 kama ulivoandika akaenda kufungua duka la nguo za kike kikamlambaa akawa anaomba ushauri "eti jamani nikimbie ajira ama?"mana kwa mwez alikua abaambulia 150,000 tu
Ni weengi sana wapo huku makazini, ni weengi sana.
 
Naongea kutokana na uzoefu kidogo, nineona kwenye interview vijana wakipanga mistari mirefu kupambania ugali wao, wengine wamekaa mtaani zaidi ya miaka 10, na bado wapo wanapambana kwenye usahili,

Utakapo pata nafasi ya kuingia kwenye ajira, Moja Kwa Moja na utakutana na watu uko kazini wakiwa wanawaza kuacha kazi, yaani wewe unapambana uingie utakutana na watu ambao wanataka waondoke, wakiwa na depression na mawazo tele, utakuta watu senior, wenye miaka 10 kazini wakiwa hawana nyumba, stress zikiwa nyingi mnooo, utashangaa kuona watu wakishinda na cadet mpauko, bado utakua uelewi elewi, utakaa miaka mitano bila ya kufanya jambo lolote la maana, hapo ndio utaanza kupata depression.


Nimeona vijana wengi wakisema tukishaingia tutafanya biashara au tutafanya kilimo, niamini Mimi kati ya walimu 10 waliofanya hivyo mmoja tu ndio alifanikiwa, kwasababu biashara au kilimo lazima uwepo wewe utajichanganya ufungue biashara alafu umuache mtu hapo ndio utakua Mwisho wako.

Huwezi Fanya jambo lolote la maendeo bila kukopa, mfano ukiingia na degree utakopesheka million 18, na mshahara utabaki na laki mbili au tatu, sasa inategemea hiyo million 18 umeipeleka wapi, kama umeenda kujenga chumba na sebule basi ndio mwanzo wa kuishi maisha ya kifukara maisha yako yoote. Ukiiweka kwenye biashara na umemuweka mtu basi ndio mwisho wako huo.

Kukosa matumaini ya uliowakuta kazini, na miaka yako mitano uliyofanya kazi bila kumiliki chochote, ndio kitakufanya uanze kuwaza kuacha kazi, kuvumilia mateso tena unajikuta umepangwa vijijini uko, au kigoma, sumbawanga, Rukwa n.k hapo ndio utatamani urudi tu uache kazi urudi mjini.

Ubaya wa hii kazi hakuna marupurupu au pesa za kuiba, alafu unyonge wa walimu wa miaka iliyopita ndio itasababisha Kila mtu akuchukulie poa tu, ukijitambulisha wewe ni mwalimu hakuna heshima Wala recognition ambayo utaipata kwa mtu yoyote yule.

Karibuni kwenye ualimu, lakini kama una ndoto miaka Yako 15 ya ualimu utazidiwa na mtu aliyeko TRA, TPA mwenye miaka miwili kazini.

Believe me, nioneshe mtu mwenye status yoyote Tanzania hii ambaye kasomesha mtoto wake ualimu.

Asante.
Walimu wa Tanzania tatizo lenu ni upumbavu ndiyo maana mnaona kazi ya ualimu ni ngumu au mbaya ...mnashindwa kutumia akili zenu vizuri... labda kwa sababu akili zenyewe mlizo nazo ni finyu ...hakuna kazi nyepesi na nzuri kama ualimu ila inategemea namna mnavyo endesha shule ...kwa kukosa kwenu akili badala ya kuitaka serikali ingalie maslai ya walimu kwa kuangalia ufanisi wa shule na masomo nyinyi mnataka serikali iwapatie mishahara mikubwa kwa kuangalia karatasi alizopata mtu chuoni wakati anasoma hata kama ufanisi wake kwenye ualimu shuleni ni 0
 
Kufanikiwa na akili ya mtu lakin pia kw utafit wangu mdogo wengi waliofanikiwa japo sio wote waliamua kuoa au kuolewa na wenza ambao sio walimu so kukawa na balance ya kupata muda wa kusimamia miradi waliyoanzisha
 
Kwenye ualimu huna tarajio lolote, sio tu tarajio kubwa, yaani hakuna future yoyote.
Sadakta! we kila siku unashinda na watoto utakuwa na uwezo kufikiria "out of the box" tuseme mshahara 690000/= bodi ya mikopo 15%, pay as you earn 11% , chama cha waalimu... ...., mifuko ya hifadhi ya jamii....., chama cha wafanyakazi....., kausha damu..... , unadaiwa benki..., lazima mwalimu aishi kwa shida!!!!
 
Naongea kutokana na uzoefu kidogo, nineona kwenye interview vijana wakipanga mistari mirefu kupambania ugali wao, wengine wamekaa mtaani zaidi ya miaka 10, na bado wapo wanapambana kwenye usahili,

Utakapo pata nafasi ya kuingia kwenye ajira, Moja Kwa Moja na utakutana na watu uko kazini wakiwa wanawaza kuacha kazi, yaani wewe unapambana uingie utakutana na watu ambao wanataka waondoke, wakiwa na depression na mawazo tele, utakuta watu senior, wenye miaka 10 kazini wakiwa hawana nyumba, stress zikiwa nyingi mnooo, utashangaa kuona watu wakishinda na cadet mpauko, bado utakua uelewi elewi, utakaa miaka mitano bila ya kufanya jambo lolote la maana, hapo ndio utaanza kupata depression.

Nimeona vijana wengi wakisema tukishaingia tutafanya biashara au tutafanya kilimo, niamini Mimi kati ya walimu 10 waliofanya hivyo mmoja tu ndio alifanikiwa, kwasababu biashara au kilimo lazima uwepo wewe utajichanganya ufungue biashara alafu umuache mtu hapo ndio utakua Mwisho wako.

Huwezi Fanya jambo lolote la maendeo bila kukopa, mfano ukiingia na degree utakopesheka million 18, na mshahara utabaki na laki mbili au tatu, sasa inategemea hiyo million 18 umeipeleka wapi, kama umeenda kujenga chumba na sebule basi ndio mwanzo wa kuishi maisha ya kifukara maisha yako yoote. Ukiiweka kwenye biashara na umemuweka mtu basi ndio mwisho wako huo.

Kukosa matumaini ya uliowakuta kazini, na miaka yako mitano uliyofanya kazi bila kumiliki chochote, ndio kitakufanya uanze kuwaza kuacha kazi, kuvumilia mateso tena unajikuta umepangwa vijijini uko, au kigoma, sumbawanga, Rukwa n.k hapo ndio utatamani urudi tu uache kazi urudi mjini.

Ubaya wa hii kazi hakuna marupurupu au pesa za kuiba, alafu unyonge wa walimu wa miaka iliyopita ndio itasababisha Kila mtu akuchukulie poa tu, ukijitambulisha wewe ni mwalimu hakuna heshima Wala recognition ambayo utaipata kwa mtu yoyote yule.

Karibuni kwenye ualimu, lakini kama una ndoto miaka Yako 15 ya ualimu utazidiwa na mtu aliyeko TRA, TPA mwenye miaka miwili kazini.

Believe me, nioneshe mtu mwenye status yoyote Tanzania hii ambaye kasomesha mtoto wake ualimu.

Asante.
Duh 18M?

Diploma holder wa TCB anakopa 35M baada ya kuthibitishwa kwa mkopo wa Mortgage kisha anaweza kukopa 60M miezi kadhaa baada ya kukopa hiyo 35M.

Kwahiyo huyu wa 18M anapoandikiwa maximum amount kukopa ni 200M na hawa NMB maana yake ni nini hapo?
 
Back
Top Bottom